You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
ulishindwa, alitazama kwa Mungu peke <strong>ya</strong>ke. Aliweza kuegemea katika usalama juu <strong>ya</strong> ule<br />
mkono ulio wa guvu zote.<br />
Kwa rafiki Luther akaandika: “Kazi <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kwanza ni kuanza na ombi. ... Usitumaini<br />
kitu kwa kazi zako mwenyewe, kwa ufahamu wako mwenyewe: Tumaini tu katika Mungu,<br />
na katika mvuto wa Roho Mtakatifu.” Hapa kuna fundisho la maana kwa wale wanaojisikia<br />
kwamba Mungu amewaita kutoa kwa wengine ibada <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> kweli kwa wakati huu. Katika<br />
vita pamoja na mamlaka <strong>ya</strong> uovu kunakuwa na mahitaji <strong>ya</strong> kitu kingine zaidi kuliko akili na<br />
hekima <strong>ya</strong> kibinadamu.<br />
Luther Alikimbilia Tu kwa Biblia<br />
Wakati adui walikimbilia kwa desturi na desturi <strong>ya</strong> asili, Luther alikutana nao anapokuwa<br />
na Biblia tu, bishano ambayo hawakuweza kujibu. kutoka mahubiri <strong>ya</strong> Luther na maandiko<br />
kulitoka n<strong>ya</strong>li za nuru ambazo ziliamsha na kuangazia maelfu. Neno la Mungu lilikuwa kama<br />
upanga unaokata ngambo mbili, unaokata njia<strong>ya</strong>ke kwa mioyo <strong>ya</strong> watu. Macho <strong>ya</strong> watu, kwa<br />
mda mrefu <strong>ya</strong>liongozwa kwa kawaida za kibinadamu na waombezi wa kidunia, sasa<br />
walimugeukia Kristo katika imani na Yeye aliyesulubishwa.<br />
Usikizi huu ukaamsha woga kwa mamlaka <strong>ya</strong> Papa. Luther akapokea mwito kuonekana<br />
huko Roma. Rafiki zake walijua vizuri hatari ile iliyomngoja katika mji mwovu huo,<br />
uliokwisha kunywa damu <strong>ya</strong> wafia dini wa Yesu. Wakauliza kwamba apokee mashindano<br />
<strong>ya</strong>ke katika Ujeremani.<br />
Jambo hili likatendeka, na mjumbe wa Papa akachaguliwa kusikiliza mambo yenyewe.<br />
Katika maagizo kwa mkubwa huyu, alijulishwa kwamba Luther alikwisha kutangazwa kama<br />
mpingaji wa imani <strong>ya</strong> dini. Mjumbe alikuwa basi ni “kutenda na kulazimisha bila kukawia.”<br />
Mjumbe akapewa uwezo wa “kumufukuza katika kila upande wa Ujeremani; kumfukuzia<br />
mbali, kumlaani, na kutenga wale wote walioambatana naye”, Kuwatenga na cheo cho chote<br />
kikiwa cha kanisa ao cha serkali, ila tu mfalme, hatajali kumkamata Luther na wafuasi wake<br />
na kuwatoa kwa kisasi cha Roma.<br />
Hakuna alama <strong>ya</strong> kanuni <strong>ya</strong> kikristo ao hata haki <strong>ya</strong> kawaida inapaswa kuonekana katika<br />
maandiko ha<strong>ya</strong>. Luther hakuwa na nafasi <strong>ya</strong> kueleza wala kutetea musimamo wake; lakini<br />
alikuwa amekwisha kutangazwa kuwa mpingaji wa imani <strong>ya</strong> dini na kwa siku ile ile<br />
alishauriwa, kushitakiwa, kuhukumiwa, na kulaumiwa. Wakati Luther alihitaji sana shauri la<br />
rafiki wa kweli, Mungu akamtuma Melanchthon kule Wittenberg. Shida <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong><br />
Melanchthon, ikachanganyika na usafi (utakatifu) na unyofu wa tabia, ikashinda sifa <strong>ya</strong> watu<br />
wote. Kwa upesi akawa rafiki mwaminifu sana wa Luther--upole wake, uangalifu, na usahihi<br />
ikawazidisho la bidii na nguvu za Luther.<br />
Augsburg palitajwa kuwa mahali pa hukumu, na Mtengenezaji (Reformateur) akaenda<br />
huko kwa miguu. Vitisho vilifanywa kwamba angeuawa njiani, na rafiki zake wakamuomba<br />
asijihatarishe. Lakini maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa, “Ninakuwa kama Yeremia, mtu wa ushindano,<br />
51