Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti waliozuru kanisa na waliofanya maungamo. Jambo moja la mhimu sana la nyakati hizi, sikukuu ya Watakatifu Wote, ilikuwa ikikaribia. Luther, alipoungana na makundi yaliyo jitayarisha kwenda kanisani, akabandika kwa mlango wa kanisa mashauri makumi tisa na tano juu ya kupinga ya uuzishaji wa vyeti (musamaha). Makusudi yake yakavuta uangalifu wa watu wote. Yakasomwa na kuyakariri po pote, yakasitusha sana watu katika mji wote. Kwa maelezo haya yalionyeshwa kwamba uwezo kwa kutoa masamaha ya zambi na kuachiliwa malipizi yake haukutolewa kwa Papa ao kwa mtu ye yote. Ilionyeshwa wazi wazi kwamba neema ya Mungu ilitolewa bure kwa wote wanaoitafuta kwa toba na imani. Mambo yaliyoandikwa na Luther yakatawanyika pote katika Ujeremani na baada ya majuma machache yakasikilika pote katika Ulaya. Wengi waliojifanya kuwa watu wa kanisa la Roma wakasoma mashauri haya (mambo yalioandikwa na Luther) kwa furaha, kutambua ndani yao sauti ya Mungu. Walijisikia kwamba Bwana aliweka mkono wake kufunga maji yaliyotomboka ya uovu ulioletwa kutoka kwa Roma. Waana wa wafalme na waamuzi kwa siri wakafurahi kwamba kizuio kilipashwa kuwekwa juu ya mamlaka ya kiburi ambayo ilikataa kuacha maamuzi yake. Wapadri wa hila, kuona faida zao kuwa hatarini, wakakasirika. Mtengenezaji (Reformateur) alikuwa na washitaki wakali wakushindana naye. “Nani asiyejua, ” akajibu, “kwamba si mara nyingi mtu kuleta mawazo mpya bila. kushitakiwa kukaamsha mabishano? ... Sababu gani Kristo na wafia dini wote waliuawa? Kwa sababu ... walileta mambo mapya bila kupata kwanza shauri la unyenyekevu la mtu wa hekima na maoni ya zamani.” Makaripio ya adui za Luther, masingizio yao juu ya makusudi yake, mawazo yao ya uovu juu ya tabia yake yakawajuu yake kama garika. Alikuwa ameamini kwamba waongozi watajiunga naye kwa furaha katika matengenezo. Mbele ya wakati aliona siku bora zikipambazuka kwa kanisa. Lakini kutiia moyo kukageuka kuwa karipio. Wakuu wengi wa kanisa na jamii ya watu wa serkali kwa upesi wakaona kwamba ukubali wa mambo haya ya kweli karibu ungaliharibu mamlaka ya Roma, kuzuia maelfu ya vijito vinavyotiririka sasa katika nyumba ya hazina yake, na vivi hivi kupunguza anasa ya waongozi wa Papa. Kufundisha watu kumutazama Kristo peke yake kwa ajili ya wokovu kungeangusha kiti cha askofu na baadaye kuharibu mamlaka yao wenyewe. Kwa hiyo wakajiunga wao wenyewe kupinga Kristo na kweli kuwa wapinzani kwa mtu aliyetumwa kwa kuwaangazia. Luther akatetemeka wakati alipojiangalia mwenyewe--mtu mmoja akapinga watu wa nguvu nyingi wa dunia. “Mimi nilikuwa nani?” akaandika, “kupinga enzi ya Papa, mbeie yake ... wafalme wa dunia na ulimwengu wote ulitetemeka? ... Hakuna mtu anaweza kujua namna gani moyo wangu uliteseka mda wa miaka hii miwili ya kwanza na katika kukata tamaa, naweza kusema katika kufa moyo, nilizama.” Lakini wakati usaada wa kibinadamu 50
Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa, alitazama kwa Mungu peke yake. Aliweza kuegemea katika usalama juu ya ule mkono ulio wa guvu zote. Kwa rafiki Luther akaandika: “Kazi yako ya kwanza ni kuanza na ombi. ... Usitumaini kitu kwa kazi zako mwenyewe, kwa ufahamu wako mwenyewe: Tumaini tu katika Mungu, na katika mvuto wa Roho Mtakatifu.” Hapa kuna fundisho la maana kwa wale wanaojisikia kwamba Mungu amewaita kutoa kwa wengine ibada ya dini ya kweli kwa wakati huu. Katika vita pamoja na mamlaka ya uovu kunakuwa na mahitaji ya kitu kingine zaidi kuliko akili na hekima ya kibinadamu. Luther Alikimbilia Tu kwa Biblia Wakati adui walikimbilia kwa desturi na desturi ya asili, Luther alikutana nao anapokuwa na Biblia tu, bishano ambayo hawakuweza kujibu. kutoka mahubiri ya Luther na maandiko kulitoka nyali za nuru ambazo ziliamsha na kuangazia maelfu. Neno la Mungu lilikuwa kama upanga unaokata ngambo mbili, unaokata njiayake kwa mioyo ya watu. Macho ya watu, kwa mda mrefu yaliongozwa kwa kawaida za kibinadamu na waombezi wa kidunia, sasa walimugeukia Kristo katika imani na Yeye aliyesulubishwa. Usikizi huu ukaamsha woga kwa mamlaka ya Papa. Luther akapokea mwito kuonekana huko Roma. Rafiki zake walijua vizuri hatari ile iliyomngoja katika mji mwovu huo, uliokwisha kunywa damu ya wafia dini wa Yesu. Wakauliza kwamba apokee mashindano yake katika Ujeremani. Jambo hili likatendeka, na mjumbe wa Papa akachaguliwa kusikiliza mambo yenyewe. Katika maagizo kwa mkubwa huyu, alijulishwa kwamba Luther alikwisha kutangazwa kama mpingaji wa imani ya dini. Mjumbe alikuwa basi ni “kutenda na kulazimisha bila kukawia.” Mjumbe akapewa uwezo wa “kumufukuza katika kila upande wa Ujeremani; kumfukuzia mbali, kumlaani, na kutenga wale wote walioambatana naye”, Kuwatenga na cheo cho chote kikiwa cha kanisa ao cha serkali, ila tu mfalme, hatajali kumkamata Luther na wafuasi wake na kuwatoa kwa kisasi cha Roma. Hakuna alama ya kanuni ya kikristo ao hata haki ya kawaida inapaswa kuonekana katika maandiko haya. Luther hakuwa na nafasi ya kueleza wala kutetea musimamo wake; lakini alikuwa amekwisha kutangazwa kuwa mpingaji wa imani ya dini na kwa siku ile ile alishauriwa, kushitakiwa, kuhukumiwa, na kulaumiwa. Wakati Luther alihitaji sana shauri la rafiki wa kweli, Mungu akamtuma Melanchthon kule Wittenberg. Shida ya hukumu ya Melanchthon, ikachanganyika na usafi (utakatifu) na unyofu wa tabia, ikashinda sifa ya watu wote. Kwa upesi akawa rafiki mwaminifu sana wa Luther--upole wake, uangalifu, na usahihi ikawazidisho la bidii na nguvu za Luther. Augsburg palitajwa kuwa mahali pa hukumu, na Mtengenezaji (Reformateur) akaenda huko kwa miguu. Vitisho vilifanywa kwamba angeuawa njiani, na rafiki zake wakamuomba asijihatarishe. Lakini maneno yake yalikuwa, “Ninakuwa kama Yeremia, mtu wa ushindano, 51
- Page 7 and 8: Shukrani Kitabu hiki ni kujitolea k
- Page 9 and 10: Kupinga ya Kiprotestanti
- Page 11 and 12: Kupinga ya Kiprotestanti Yaliyomo S
- Page 13 and 14: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 1. Un
- Page 15 and 16: Kupinga ya Kiprotestanti lilitukuzw
- Page 17 and 18: Kupinga ya Kiprotestanti Majeshi ya
- Page 19 and 20: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa. Na
- Page 21 and 22: Kupinga ya Kiprotestanti Shetani ba
- Page 23 and 24: Kupinga ya Kiprotestanti Wenye haki
- Page 25 and 26: Kupinga ya Kiprotestanti wakakatazw
- Page 27 and 28: Kupinga ya Kiprotestanti Injili ili
- Page 29 and 30: Kupinga ya Kiprotestanti Malaika wa
- Page 31 and 32: Kupinga ya Kiprotestanti Sasa roho
- Page 33 and 34: Kupinga ya Kiprotestanti fundi wa k
- Page 35 and 36: Kupinga ya Kiprotestanti Ujumbe wa
- Page 37 and 38: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 5. Nu
- Page 39 and 40: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 41 and 42: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 43 and 44: Kupinga ya Kiprotestanti wateteaji
- Page 45 and 46: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 47 and 48: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenendo w
- Page 49 and 50: Kupinga ya Kiprotestanti mwenyewe k
- Page 51 and 52: Kupinga ya Kiprotestanti Jerome aka
- Page 53 and 54: Kupinga ya Kiprotestanti Waongozi w
- Page 55 and 56: Kupinga ya Kiprotestanti Kutafuta A
- Page 57: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
- Page 63 and 64: Kupinga ya Kiprotestanti Mungu haku
- Page 65 and 66: Kupinga ya Kiprotestanti “Ni wana
- Page 67 and 68: Kupinga ya Kiprotestanti Kukaribia
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
- Page 83 and 84: Kupinga ya Kiprotestanti Wapadri wa
- Page 85 and 86: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 11. U
- Page 87 and 88: Kupinga ya Kiprotestanti nafasi ya
- Page 89 and 90: Kupinga ya Kiprotestanti watawala w
- Page 91 and 92: Kupinga ya Kiprotestanti kukaimaris
- Page 93 and 94: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mti
- Page 95 and 96: Kupinga ya Kiprotestanti Calvin hak
- Page 97 and 98: Kupinga ya Kiprotestanti Tena mkuta
- Page 99 and 100: Kupinga ya Kiprotestanti Ngurumo ya
- Page 101 and 102: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 13. K
- Page 103 and 104: Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Ka
- Page 105 and 106: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 14. U
- Page 107 and 108: Kupinga ya Kiprotestanti hawa walio
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
waliozuru kanisa na waliofan<strong>ya</strong> maungamo. Jambo moja la mhimu sana la n<strong>ya</strong>kati hizi,<br />
sikukuu <strong>ya</strong> Watakatifu Wote, ilikuwa ikikaribia. Luther, alipoungana na makundi <strong>ya</strong>liyo<br />
jita<strong>ya</strong>risha kwenda kanisani, akabandika kwa mlango wa kanisa mashauri makumi tisa na tano<br />
juu <strong>ya</strong> kupinga <strong>ya</strong> uuzishaji wa vyeti (musamaha).<br />
Makusudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kavuta uangalifu wa watu wote. Yakasomwa na ku<strong>ya</strong>kariri po pote,<br />
<strong>ya</strong>kasitusha sana watu katika mji wote. Kwa maelezo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lionyeshwa kwamba uwezo kwa<br />
kutoa masamaha <strong>ya</strong> zambi na kuachiliwa malipizi <strong>ya</strong>ke haukutolewa kwa Papa ao kwa mtu<br />
ye yote. Ilionyeshwa wazi wazi kwamba neema <strong>ya</strong> Mungu ilitolewa bure kwa wote<br />
wanaoitafuta kwa toba na imani.<br />
Mambo <strong>ya</strong>liyoandikwa na Luther <strong>ya</strong>katawanyika pote katika Ujeremani na baada <strong>ya</strong><br />
majuma machache <strong>ya</strong>kasikilika pote katika Ula<strong>ya</strong>. Wengi waliojifan<strong>ya</strong> kuwa watu wa kanisa<br />
la Roma wakasoma mashauri ha<strong>ya</strong> (mambo <strong>ya</strong>lioandikwa na Luther) kwa furaha, kutambua<br />
ndani <strong>ya</strong>o sauti <strong>ya</strong> Mungu. Walijisikia kwamba Bwana aliweka mkono wake kufunga maji<br />
<strong>ya</strong>liyotomboka <strong>ya</strong> uovu ulioletwa kutoka kwa Roma. Waana wa wafalme na waamuzi kwa<br />
siri wakafurahi kwamba kizuio kilipashwa kuwekwa juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> kiburi ambayo<br />
ilikataa kuacha maamuzi <strong>ya</strong>ke.<br />
Wapadri wa hila, kuona faida zao kuwa hatarini, wakakasirika. Mtengenezaji<br />
(Reformateur) alikuwa na washitaki wakali wakushindana naye. “Nani asiyejua, ” akajibu,<br />
“kwamba si mara nyingi mtu kuleta mawazo mp<strong>ya</strong> bila. kushitakiwa kukaamsha mabishano?<br />
... Sababu gani Kristo na wafia dini wote waliuawa? Kwa sababu ... walileta mambo map<strong>ya</strong><br />
bila kupata kwanza shauri la unyenyekevu la mtu wa hekima na maoni <strong>ya</strong> zamani.”<br />
Makaripio <strong>ya</strong> adui za Luther, masingizio <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> makusudi <strong>ya</strong>ke, mawazo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uovu<br />
juu <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kawajuu <strong>ya</strong>ke kama garika. Alikuwa ameamini kwamba waongozi<br />
watajiunga naye kwa furaha katika matengenezo. Mbele <strong>ya</strong> wakati aliona siku bora<br />
zikipambazuka kwa kanisa.<br />
Lakini kutiia moyo kukageuka kuwa karipio. Wakuu wengi wa kanisa na jamii <strong>ya</strong> watu<br />
wa serkali kwa upesi wakaona kwamba ukubali wa mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kweli karibu ungaliharibu<br />
mamlaka <strong>ya</strong> Roma, kuzuia maelfu <strong>ya</strong> vijito vinavyotiririka sasa katika nyumba <strong>ya</strong> hazina<br />
<strong>ya</strong>ke, na vivi hivi kupunguza anasa <strong>ya</strong> waongozi wa Papa. Kufundisha watu kumutazama<br />
Kristo peke <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu kungeangusha kiti cha askofu na baadaye kuharibu<br />
mamlaka <strong>ya</strong>o wenyewe. Kwa hiyo wakajiunga wao wenyewe kupinga Kristo na kweli kuwa<br />
wapinzani kwa mtu aliyetumwa kwa kuwaangazia.<br />
Luther akatetemeka wakati alipojiangalia mwenyewe--mtu mmoja akapinga watu wa<br />
nguvu nyingi wa dunia. “Mimi nilikuwa nani?” akaandika, “kupinga enzi <strong>ya</strong> Papa, mbeie <strong>ya</strong>ke<br />
... wafalme wa dunia na ulimwengu wote ulitetemeka? ... Hakuna mtu anaweza kujua namna<br />
gani moyo wangu uliteseka mda wa miaka hii miwili <strong>ya</strong> kwanza na katika kukata tamaa,<br />
naweza kusema katika kufa moyo, nilizama.” Lakini wakati usaada wa kibinadamu<br />
50