12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Tetzel, mjumbe aliyechaguliwa kuongoza uujishaji wa huruma katika Ujeremani, alikuwa<br />

amehakikishwa makosa maba<strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> watu na sheria <strong>ya</strong> Mungu, lakini alitumiwa kwa<br />

kuendesha mipango <strong>ya</strong> faida <strong>ya</strong> Papa katika Ujeremani. Akasema bila ha<strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> uongo<br />

na hadizi za ajabu kwa kudangan<strong>ya</strong> watu wajinga wanaoamini <strong>ya</strong>siyo na msingi. Kama<br />

wangekuwa na neno la Mungu hawangedanganywa, lakini Biblia ilikatazwa kwao.<br />

Wakati Tetzel alipoingia mjini, mjumbe alimutangulia mbele, kutangaza: “Neema <strong>ya</strong><br />

Mungu na <strong>ya</strong> baba mtakatifu inakuwa milangoni mwenu”. Watu wakamkaribisha mtu wa<br />

uwongo anayetukana Mungu kama kwamba angekuwa Mungu mwenyewe. Tetzel, kupanda<br />

mimbarani ndani <strong>ya</strong> kanisa, akatukuza uujisaji wa huruma kama zawadi za damani sana za<br />

Mungu. Akatangaza kwamba kwa uwezo wa sheti cha msamaha, zambi zote ambazo mnunuzi<br />

angetamani kuzitenda baadaye zitasamehewa na “hata toba si <strong>ya</strong> lazima.” Akahakikishia<br />

wasikilizi wake kwamba vyeti v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> huruma vilikuwa na uwezo wa kuokoa wafu; kwa<br />

wakati ule kabisa pesa inapogonga kwa sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> sanduku lake, roho inayolipiwa<br />

pesa ile itatoroka kutoka toharani (purgatoire) na kufan<strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong>ke kwenda mbinguni.<br />

Zahabu na feza zikajaa katika nyumba <strong>ya</strong> hazina <strong>ya</strong> Tetzel. Wokovu ulionunuliwa na mali<br />

ulipatikana kwa upesi kuliko ule unaohitaji toba, imani, na kufan<strong>ya</strong> bidii kwa kushindana na<br />

kushinda zambi. (Tazama Nyongezo). Luther akajazwa na hofu kuu. Wengi katika shirika<br />

lake wakanunua vyeti v<strong>ya</strong> msamaha. Kwa upesi wakaanza kuja kwa mchungaji (pasteur) wao,<br />

kwa kutubu zambi na kutumainia maondoleo <strong>ya</strong> zambi, si kwa sababu walitubu na walitamani<br />

matengenezo, bali kwa msingi wa sheti cha huruma. Luther akakataa, na akawaon<strong>ya</strong> kwamba<br />

isipokuwa walipaswa kutubu na kugeuka, walipaswa kuangamia katika zambi zao. Wakaenda<br />

kwa Tetzel na malalamiko kwamba muunganishaji wao alikataa vyeti v<strong>ya</strong>ke, na wengine<br />

wakauliza kwa ujasiri kwamba mali <strong>ya</strong>o irudishwe. Alipojazwa na hasira, mtawa (religieux)<br />

akatoa laana za kutisha, akataka mioto iwake mbele <strong>ya</strong> watu wote, na akatangaza kwamba<br />

“alipata agizo kwa Papa kuunguza wapinga dini wote wanaosubutu kupinga, vyeti v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong><br />

huruma takatifu zaidi.”<br />

Kazi <strong>ya</strong> Luther Inaanza<br />

Sauti <strong>ya</strong> Luther ikasikiwa mimbarani katika onyo la kutisha. Akaweka mbele <strong>ya</strong> watu tabia<br />

mba<strong>ya</strong> sana <strong>ya</strong> zambi na kufundisha kwamba haiwezekani kwa mtu kwa kazi zake mwenyewe<br />

kupunguza zambi zake ao kuepuka malipizi <strong>ya</strong>ke. Hakuna kitu bali toba kwa Mungu na imani<br />

katika Kristo inaoweza kuokoa mwenye zambi. Neema <strong>ya</strong> Kristo haiwezi kununuliwa; ni<br />

zawadi <strong>ya</strong> bure. Akashauri watu kutokununua vyeti v<strong>ya</strong> huruma, bali kutazama kwa imani<br />

kwa Mkombozi aliyesulubiwa. Akasimulia juu <strong>ya</strong> habari mambo <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> uchungu<br />

na akahakikisha wasikilizaji wake kwamba kwa kuamini Kristo ndipo mtu atapata amani na<br />

furaha.<br />

Wakati Tetzel alipoendelea na kiburi chake cha kukufuru, Luther akajitahidi kusema<br />

kutokukubali kwake. Nyumba <strong>ya</strong> kanisa la Wittenberg ilikuwa na picha (reliques) ambayo<br />

kwa sikukuu fulani <strong>ya</strong>lionyeshwa kwa watu. Maondoleo kamili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>litolewa kwa wote<br />

49

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!