Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
<strong>ya</strong>kamushangaza --uovu miongoni mwa waongozi, ubishi usiofaa kwa maaskofu.<br />
Akachukizwa na (unajisi) wao hata wakati wa misa. Akakutana upotevu, usharati. “Hakuna<br />
mtu anaweza kuwazia,” akaandika, “zambi gani na matendo maovu sana <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>kitendeka<br />
katika Roma. ... Watu huzoea kusema, ` Kama kunakuwa na jehanumu, Roma inajengwa juu<br />
<strong>ya</strong>ke.’”<br />
Ukweli juu <strong>ya</strong> ngazi <strong>ya</strong> Pilato<br />
Kuachiwa kuliahidiwa na Papa kwa wote watakaopanda juu <strong>ya</strong> magoti <strong>ya</strong>o “Ngazi <strong>ya</strong><br />
Pilato,” waliozania kuwa ilichukuliwa kwa mwujiza toka Yerusalema hata Roma. Luther siku<br />
moja alikuwa akipanda ngazi hizi wakati sauti kama radi ilionekana kusema, “Mwenye haki<br />
ataishi kwa imani.” Waroma 1:17. Akaruka kwa upesi kwa magoti <strong>ya</strong>ke kwa ha<strong>ya</strong> na hofu<br />
kuu. Tangu wakati ule akaona kwa wazi kuliko mbele neno la uongo la kutumaini kazi za<br />
binadamu kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu. Akageuza uso wake kwa Roma. Tangu wakati ule mutengano<br />
ukakomaa kuwa hata akakata uhusiano wote na kanisa la Roma.<br />
Baada <strong>ya</strong> kurudi kwake kutoka Roma, Luther akapokea cheo cha mwalimu (docteur) wa<br />
mambo <strong>ya</strong> Mungu. Sasa alikuwa na uhuru wa kujitoa wakfu mwenyewe kwa Maandiko<br />
ambayo ali<strong>ya</strong>penda. Akaweka naziri (<strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> Mungu) kuhubiri kwa uaminifu Neno la<br />
Mungu, si mafundisho <strong>ya</strong> waPapa. Hakuwa tena mtawa tu, bali mjumbe aliyeruhusiwa wa<br />
Biblia, aliyeitwa kama mchungaji (pasteur) kwa kulisha kundi la Mungu lillokuwa na njaa na<br />
kiu <strong>ya</strong> ukweli. Akatangaza kwa bidii kwamba Wakristo hawapaswe kupokea mafundisho<br />
mengine isipokuwa <strong>ya</strong>le ambayo <strong>ya</strong>nayojengwa juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Maandiko matakatifu.<br />
Makundi yenye bidii <strong>ya</strong>kapenda sana maneno <strong>ya</strong>ke. Habari <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong> upendo wa<br />
Mwokozi, hakikisho la msamaha na amani katika damu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong>ke ikafurahisha mioyo<br />
<strong>ya</strong>o. Huko Wittenberg nuru iliwashwa, ambayo n<strong>ya</strong>li <strong>ya</strong>ke iongezeke kungaa zaidi kwa<br />
mwisho wa wakati.<br />
Lakini kati <strong>ya</strong> ukweli na uongo kunakuwa vita. Mwokozi wetu Mwenyewe alitangaza:<br />
“Musifikiri <strong>ya</strong> kama nimekuja kuleta salama duniani, sikuja kuleta salama lakini upanga.”<br />
Matayo 10:34. Akasema Luther, miaka michache baada <strong>ya</strong> kufunguliwa kwa Matengenezo:<br />
“Mungu ... ananisukuma mbele ... nataka kuishi katika utulivu; lakini nimetupwa katikati <strong>ya</strong><br />
makelele na mapinduzi makuu.”<br />
Huruma za kuuzisha<br />
Kanisa la Roma lilifan<strong>ya</strong> Biashara <strong>ya</strong> Neema <strong>ya</strong> Mungu. Chini <strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong> kuongeza<br />
mali kwa ajili <strong>ya</strong> kujenga jengo la Petro mtakatifu kule Roma, huruma kwa ajili <strong>ya</strong> zambi<br />
zilizotolewa kwa kuuzishwa kwa ruhusa <strong>ya</strong> Papa. Kwa bei <strong>ya</strong> uovu hekalu lilipaswa kujengwa<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> Mungu. Ilikuwa ni jambo hili ambalo liliamusha adui mkubwa sana wa<br />
kanisa la Roma na kufikia kwa vita ambayo ilitetemesha kiti cha Papa na mataji matatu juu<br />
<strong>ya</strong> kichwa cha askofu huyu.<br />
48