12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 7. Mapinduzi Yanaanza<br />

Wakwanza miongoni mwa wale walioitwa kuongoza kanisa kutoka gizani mwa<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Kanisa la Roma kwa nuru <strong>ya</strong> imani safi zaidi kukasimama Martin Luther.<br />

Hakuogopa kitu chochote bali Mungu, na kukubali msingi wowote kwa ajili <strong>ya</strong> imani bali<br />

Maandiko matakatifu. Luther alikuwa mtu anayefaa kwa wakati wake.<br />

Miaka <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> Luther ilitumiwa katika nyumba masikini <strong>ya</strong> mlimaji wa Ujeremani.<br />

Baba <strong>ya</strong>ke alimukusudia kuwa mwana sheria (mwombezi), lakini Mungu akakusudia<br />

kumufan<strong>ya</strong> kuwa mwenye mjengaji katika hekalu kubwa ambalo lilikuwa likiinuka pole pole<br />

katika karne nyingi. Taabu, kukatazwa, na maongozi magumu <strong>ya</strong>likuwa ni masomo ambamo<br />

Hekima lsiyo na mwisho ilimta<strong>ya</strong>risha Luther kwa ajili <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke.<br />

Baba wa Luther alikuwa mtu wa akili <strong>ya</strong> kutenda. Akili <strong>ya</strong>ke safi ikamwongoza kutazama<br />

utaratibu wa utawa na mashaka. Hakupendezwa wakati Luther, bila ukubali wake, akuingia<br />

katika nyumba <strong>ya</strong> watawa (monastere). Ilichunkua miaka miwili ili baba apatane na mtoto<br />

wake, na hata hivyo maoni <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kibaki <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>le. Wazazi wa Luther wakajitahidi kulea<br />

watoto wao katika kumjua Mungu. Bidii zao zilikuwa za haki na kuvumilia kuta<strong>ya</strong>risha<br />

watoto wao kwa maisha <strong>ya</strong> mafaa. N<strong>ya</strong>kati zingine walitumia ukali sana, lakini Mtengenezaji<br />

mwenyewe aliona katika maongozi <strong>ya</strong>o mengi <strong>ya</strong> kukubali kuliko <strong>ya</strong> kuhukumu.<br />

Katika masomo Luther alitendewa kwa ukali na hata mapigano. Akiteswa na njaa mara<br />

kwa mara. Mawazo <strong>ya</strong> giza, na juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> dini iliodumu wakati<br />

ule ikamuogopesha. Akilala usiku na moyo wa huzuni, katika hofu <strong>ya</strong> daima kwa kufikiria<br />

Mungu kama sultani mkali, zaidi kuliko Baba mwema wa mbinguni.<br />

Wakati alipoingia kwa chuo kikubwa (universite) cha Erfurt, matazamio <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa<br />

mazuri sana kuliko katika miaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza. Wazazi wake, kwa akili walioipata kwa<br />

njia <strong>ya</strong> matumizi mazuri <strong>ya</strong> pesa na bidii, waliweza kumusaidia kwa mahitaji yote. Na rafiki<br />

zake wenye akili sana wakapunguza matokeo <strong>ya</strong> giza <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza. Kwa<br />

mivuto <strong>ya</strong> kufaa, akili <strong>ya</strong>ke ikaendelea upesi. Matumizi <strong>ya</strong> bidii upesi ikamutia katika cheo<br />

kikuu miongoni mwa wenzake.<br />

Luther hakukosa kuanza kila siku na maombi, moyo wake kila mara ukipumuamaombi <strong>ya</strong><br />

uongozi. “Kuomba vizuri, “akisema kila mara, “ni nusu bora <strong>ya</strong> kujifunza.” Siku moja katika<br />

chumba cha vitabu (librairie) cha chuo kikubwa akavumbua Biblia <strong>ya</strong> Kilatini (Latin), kitabu<br />

ambacho hakukiona kamwe. Alikuwa akisikia sehemu za Injili na N<strong>ya</strong>raka (Barua), ambazo<br />

alizania kuwa Biblia kamili. Sasa, kwa mara <strong>ya</strong> kwanza, akatazama, juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu<br />

kamili. Kwa hofu na kushangaa akageuza kurasa takatifu na akasoma yeye mwenyewe<br />

maneno <strong>ya</strong> uzima, kusimama kidogo kwa mshangao, “O”, kama Mungu angenipa kitabu cha<br />

namna hii kwangu mwenyewe!” Malaika walikuwa kando <strong>ya</strong>ke. Mishale <strong>ya</strong> nuru kutoka kwa<br />

Mungu <strong>ya</strong>kafunua hazina za kweli kwa ufahamu wake. Hakikisho kubwa la hali <strong>ya</strong>ke kuwa<br />

mwenye zambi likamushika kuliko zamani.<br />

46

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!