12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kuuawa kwa Huss kuliwasha moto wa hasira na hofu kuu katika Bohemia. Taifa lote<br />

likamtangaza kuwa mwalimu mwaminifu wa ukweli. Baraza likawekewa mzigo wa uuaji wa<br />

mtu kwa makusudi. Mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kaleta mvuto mkubwa kuliko mbele, na wengi<br />

wakaongozwa kukubali imani <strong>ya</strong> Matengenezo. Papa na mfalme wakaungana kuangamiza<br />

tendo hili la dini, na majeshi <strong>ya</strong> Sigismund <strong>ya</strong>katupwa juu <strong>ya</strong> Bohemia. Kwa kushambulia<br />

wenye imani <strong>ya</strong> matengenezo.<br />

Lakini Mwokozi akainuliwa juu. Ziska, mmojawapo wa wakuu wa waskari wa wakati<br />

wake, alikuwa mwongozi wa watu wa Bohemia. Tumaini katika usaada wa Mungu, watu wale<br />

wakashindana na majeshi <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>ngaliweza kuletwa juu <strong>ya</strong>o. Mara nyingi mfalme<br />

alikashambulia Bohemia, ila tu kwa kufukuzwa. Wafuasi wa Huss wakainuliwa juu <strong>ya</strong> hofu<br />

<strong>ya</strong> mauti, na hakukuwa kitu cha. Mshujaa Ziska akafa, lakini pahali pake pakakombolewa na<br />

Procopius, kwa heshima fulani alikuwa mwongozi wa uwezo zaidi.<br />

Papa akatangaza pigano juu <strong>ya</strong> maovu (crusade) juu <strong>ya</strong> wafuasi wa Huss. Majeshi mengi<br />

akatumbukia juu <strong>ya</strong> Bohemia, kwa kuteswa tu na maangamizi. Pigano lingine la maovu<br />

likatangazwa. Katika inchi zote za dini <strong>ya</strong> Roma katika Ula<strong>ya</strong>, mali na vyombo v<strong>ya</strong> vita<br />

vikakusanywa. Watu wengi wakaja kwa bendera <strong>ya</strong> kanisa la Roma. Majeshi makubwa<br />

<strong>ya</strong>kaingia Bohemia. Watu wakakusanyika tena kuwafukuza. Majeshi mawili wakakribiana<br />

hata mto tu ndio uliokuwa katikati <strong>ya</strong>o. “Wapiga vita juu <strong>ya</strong> maovu (crusade) walikuwa katika<br />

jeshi bora kubwa na la nguvu, lakini badala <strong>ya</strong> kuharakisha ngambo <strong>ya</strong> kijito, na kumaliza<br />

vita na wafuasi wa Huss, ambao walikuja toka mbali kukutana nao, wakasimama kutazama<br />

kwa kim<strong>ya</strong> wale wapingaji.”<br />

Kwa gafula hofu kuu <strong>ya</strong> ajabu ikaangukia jeshi. Bila kupiga kishindo jeshi kubwa lile<br />

likatiishwa na likatawanyika kama kwamba lilifukuzwa na nguvu isiyoonekana. Wafuasi wa<br />

Huss wakawafuata wakimbizi, na mateka makubwa <strong>ya</strong>kaanguka mikononi mwa washindi.<br />

Vita badala <strong>ya</strong> kuleta umaskini, ikawaletea wa Bohemia utajiri. Miaka michache baadaye,<br />

chini <strong>ya</strong> Papa mp<strong>ya</strong>, pigano juu <strong>ya</strong> maovu lingine likawekwa. Jeshi kubwa likaingia Bohemia.<br />

Wafuasi wa Huss wakarudi nyuma mbele <strong>ya</strong>o, kuvuta maadui ndani zaidi <strong>ya</strong> inchi,<br />

kuwaongoza kuwaza ushindi ulikwisha kupatikana.<br />

Mwishowe jeshi la askari la Procopius likasogea kuwapiganisha vita. Namna sauti <strong>ya</strong> jeshi<br />

lililo karibia iliposikiwa, hata kabla wafuasi wa Huss kuonekana mbele <strong>ya</strong> macho, hofu kubwa<br />

tena ikaanguka iuu <strong>ya</strong> wapigani wa crusade. Wafalme, wakuu, na waaskari wa kawaida,<br />

wakatupa silaha zao, wakakimbia pande zote. Maangamizo <strong>ya</strong>likuwa kamili, na tena mateka<br />

makubwa <strong>ya</strong>kaanguka mikononi mwa washindi. Kwa hiyo mara <strong>ya</strong> pili jeshi la watu hodari<br />

kwa vita, waliozoea vita, wakakimbia bila shindo mbele <strong>ya</strong> watetezi wa taifa ndogo na zaifu.<br />

Adui waliuawa na hofu kubwa isiyo <strong>ya</strong> kibinadamu. Yule aliyekimbiza majeshi <strong>ya</strong> Wamidiani<br />

mbele <strong>ya</strong> Gideoni na watu miatatu wake, alinyosha tena mkono wake. Tazama Waamuzi<br />

7:1925; Zaburi 53:5.<br />

Kusalitiwa kwa Njia <strong>ya</strong> Upatanishi<br />

44

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!