12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Jerome akaendelea: “Kwa zambi zote nilizozifan<strong>ya</strong> tangu ujana wangu, hakuna moja<br />

inayokuwa na uzito sana katika akili <strong>ya</strong>ngu, na kuniletea majuto makali, kama ile niliyofan<strong>ya</strong><br />

katika mahali hapa pa kufisha, wakati nilipokubali hukumu mba<strong>ya</strong> sana iliyofanywa juu <strong>ya</strong><br />

Wycliffe, na juu <strong>ya</strong> mfia dini mtakatifu, John Huss, bwana wangu na rafiki <strong>ya</strong>ngu. Ndiyo!<br />

Ninatubu kutoka moyoni mwangu, na natangaza kwa hofu kuu kwamba nilitetemeka kwa<br />

ha<strong>ya</strong> sababu <strong>ya</strong> hofu <strong>ya</strong> mauti, nililaumu mafundisho <strong>ya</strong>o. Kwa hiyo ni naomba ... Mwenyezi<br />

Mungu tafazali unirehemu zambi zangu, na hii kwa upekee, mba<strong>ya</strong> kuliko zote.”<br />

Kuelekeza kwa waamuzi wake, akasema kwa uhodari, “Muliwahukumu Wycliffe na John<br />

Huss ... mambo ambayo walihakikisha, na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> udanganyifu, nafikiri, pia vile vile na<br />

kutangaza, kama wao.” Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kakatwa. Maaskofu wakitetemeka na hasira,<br />

wakapaza sauti: “Haja gani iko pale <strong>ya</strong> ushuhuda zaidi? Tunaona kwa macho yetu wenyewe<br />

wingi wa ukaidi wa wapinga dini!”<br />

Bila kutikiswa na tufani, Jerome akakaza sauti: “Nini basi! munafikiri kwamba naogopa<br />

kufa? Mulinishika mwaka mzima katika gereza la kutisha, la kuchukiza kuliko mauti<br />

yenyewe. ... Siwezi bali naeleza mshangao wangu kwa ushenzi mkubwa wa namna hii juu <strong>ya</strong><br />

Mkristo.” Akahesabiwa Kifungo na Mauti. Tena zoruba <strong>ya</strong> hasira ikatokea kwa nguvu, na<br />

Jerome akapelekwa gerezani kwa haraka. Kwani kulikuwa wengine ambao maneno <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong>liwagusa na kuwapa mawazo mioyoni na walitamani kuokoa maisha <strong>ya</strong>ke. Alizuriwa na<br />

wakuu wenye cheo na kumuomba sana kutii baraza. Matumaini mazuri <strong>ya</strong>litolewa kama<br />

zawadi.<br />

“Shuhudieni kwangu kwa Maandiko matakatifu kwamba niko katika makosa,” akasema,<br />

“na nitaikana kwa kiapo.”<br />

“Maandiko matakatifu”! akapaza sauti mmoja wao wa wajaribu wake, “je, kila kitu basi<br />

ni kuhukumiwa kwa <strong>ya</strong>le Maandiko? Nani anaweza ku<strong>ya</strong>fahamu mpaka kanisa ame<strong>ya</strong>tafsiri?”<br />

“Je, maagizo <strong>ya</strong> watu <strong>ya</strong>nakuwa na bei kuliko injili <strong>ya</strong> Mwokozi wetu?” akajibu Jerome.<br />

“Mpunga dini!” lilikuwa jibu. “Natubu kwa kutetea wakati mrefu pamoja nanyi. Naona<br />

kwamba unashurutishwa na Shetani”.<br />

Kwa gafula akapelekwa mahali pale pale ambapo Huss alitoa maisha <strong>ya</strong>ke. Alikwenda<br />

akiimba njiani mwake, uso wake ukang’aa kwa furaha na amani. Kwake mauti ilipoteza<br />

kutisha kwake. Wakati mwuaji, alipotaka kuwasha kundi, akasimama nyuma <strong>ya</strong>ke, mfia dini<br />

akapaza sauti, “tieni moto mbele <strong>ya</strong> uso wangu, Kama nilikuwa nikiogopa, singekuwa hapa.”<br />

Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong>likuwa ni maombi: “Bwana Baba Mwenyezi, unihurumie, na<br />

unirehemu zambi zangu; kwa maana unajua kwamba nilikuwa nikipenda sikuzote Ukweli.”<br />

Majifu <strong>ya</strong> mfia dini <strong>ya</strong>kakusanyiwa na, kama <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> Huss, <strong>ya</strong>katupwa katika Rhine. Basi<br />

kwa namna hii wachukuzi wa nuru waaminifu wa Mungu waliangamizwa.<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!