Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Jerome akaendelea: “Kwa zambi zote nilizozifan<strong>ya</strong> tangu ujana wangu, hakuna moja<br />
inayokuwa na uzito sana katika akili <strong>ya</strong>ngu, na kuniletea majuto makali, kama ile niliyofan<strong>ya</strong><br />
katika mahali hapa pa kufisha, wakati nilipokubali hukumu mba<strong>ya</strong> sana iliyofanywa juu <strong>ya</strong><br />
Wycliffe, na juu <strong>ya</strong> mfia dini mtakatifu, John Huss, bwana wangu na rafiki <strong>ya</strong>ngu. Ndiyo!<br />
Ninatubu kutoka moyoni mwangu, na natangaza kwa hofu kuu kwamba nilitetemeka kwa<br />
ha<strong>ya</strong> sababu <strong>ya</strong> hofu <strong>ya</strong> mauti, nililaumu mafundisho <strong>ya</strong>o. Kwa hiyo ni naomba ... Mwenyezi<br />
Mungu tafazali unirehemu zambi zangu, na hii kwa upekee, mba<strong>ya</strong> kuliko zote.”<br />
Kuelekeza kwa waamuzi wake, akasema kwa uhodari, “Muliwahukumu Wycliffe na John<br />
Huss ... mambo ambayo walihakikisha, na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> udanganyifu, nafikiri, pia vile vile na<br />
kutangaza, kama wao.” Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kakatwa. Maaskofu wakitetemeka na hasira,<br />
wakapaza sauti: “Haja gani iko pale <strong>ya</strong> ushuhuda zaidi? Tunaona kwa macho yetu wenyewe<br />
wingi wa ukaidi wa wapinga dini!”<br />
Bila kutikiswa na tufani, Jerome akakaza sauti: “Nini basi! munafikiri kwamba naogopa<br />
kufa? Mulinishika mwaka mzima katika gereza la kutisha, la kuchukiza kuliko mauti<br />
yenyewe. ... Siwezi bali naeleza mshangao wangu kwa ushenzi mkubwa wa namna hii juu <strong>ya</strong><br />
Mkristo.” Akahesabiwa Kifungo na Mauti. Tena zoruba <strong>ya</strong> hasira ikatokea kwa nguvu, na<br />
Jerome akapelekwa gerezani kwa haraka. Kwani kulikuwa wengine ambao maneno <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>ya</strong>liwagusa na kuwapa mawazo mioyoni na walitamani kuokoa maisha <strong>ya</strong>ke. Alizuriwa na<br />
wakuu wenye cheo na kumuomba sana kutii baraza. Matumaini mazuri <strong>ya</strong>litolewa kama<br />
zawadi.<br />
“Shuhudieni kwangu kwa Maandiko matakatifu kwamba niko katika makosa,” akasema,<br />
“na nitaikana kwa kiapo.”<br />
“Maandiko matakatifu”! akapaza sauti mmoja wao wa wajaribu wake, “je, kila kitu basi<br />
ni kuhukumiwa kwa <strong>ya</strong>le Maandiko? Nani anaweza ku<strong>ya</strong>fahamu mpaka kanisa ame<strong>ya</strong>tafsiri?”<br />
“Je, maagizo <strong>ya</strong> watu <strong>ya</strong>nakuwa na bei kuliko injili <strong>ya</strong> Mwokozi wetu?” akajibu Jerome.<br />
“Mpunga dini!” lilikuwa jibu. “Natubu kwa kutetea wakati mrefu pamoja nanyi. Naona<br />
kwamba unashurutishwa na Shetani”.<br />
Kwa gafula akapelekwa mahali pale pale ambapo Huss alitoa maisha <strong>ya</strong>ke. Alikwenda<br />
akiimba njiani mwake, uso wake ukang’aa kwa furaha na amani. Kwake mauti ilipoteza<br />
kutisha kwake. Wakati mwuaji, alipotaka kuwasha kundi, akasimama nyuma <strong>ya</strong>ke, mfia dini<br />
akapaza sauti, “tieni moto mbele <strong>ya</strong> uso wangu, Kama nilikuwa nikiogopa, singekuwa hapa.”<br />
Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong>likuwa ni maombi: “Bwana Baba Mwenyezi, unihurumie, na<br />
unirehemu zambi zangu; kwa maana unajua kwamba nilikuwa nikipenda sikuzote Ukweli.”<br />
Majifu <strong>ya</strong> mfia dini <strong>ya</strong>kakusanyiwa na, kama <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> Huss, <strong>ya</strong>katupwa katika Rhine. Basi<br />
kwa namna hii wachukuzi wa nuru waaminifu wa Mungu waliangamizwa.<br />
43