Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Lakini katika upekee wa gereza lake aliona wazi jambo alilofanya. Aliwaza juu ya uhodari na uaminifu wa Huss na akafikiri kukana kwake mwenyewe kwa ukweli. Akafikiri habari ya Bwana Mungu ambaye kwa ajili yake mwenyewe alivumilia msalaba. Kabla ya kukana kwake alipata usaada ndani ya mateso katika hakikisho la wapenzi wa Mungu, lakini sasa majuto na mashaka yakatesa roho yake. Alijua kwamba mambo ya kujikana kwingine yalipaswa kufanywa kabla ya yeye kuweza kuwa na amani pamoja na Roma. Njia ambayo aliingia ilipaswa kuishia tu katika ukufuru kamili. Jerome Anapata Toba na Uhodari Mpya Upesi akapelekwa tena mbele ya baraza. Waamzi hawakutoshelewa na kujitaa kwake. Ila tu kwa kukataa wazi wazi kwa ukweli ndipo Jerome angaliweza kuokoa maisha yake. Lakini alikusudia kukubali imani yake na kufuata ndugu yake mfia dini kwa miako ya moto. Alikataa kujikania kwake kwa kwanza na, kama mtu mwenye kufa, akadai kwa heshima apewe bahati ajitetee. Maaskofu wakashikilia kwamba angekubali tu ao kukana mashitaka yaliyoletwa juu yake. Jerome akakataa juu ya udanganyifu kama ule. “Mumenishika bila kusema siku mia tatu na makumi ine katika gereza la kutiisha,” akasema; “Munanileta basi mbele yenu, na kutoa sikio lenu kwa adui zangu za kibinadamu, munakataa kunisikia. ... Mujihazari kuto kufanya zambi juu ya haki. Lakini mimi, niko binadamu zaifu; maisha yangu ni ya maana kidogo; na ninapo waonya si kwa kutoa hukumu isiyo kuwa ya haki, nasema machache kwa ajili yangu mwenyewe kuliko kwa ajili yenu.” Maombi yake mwishowe yakakubaliwa. Mbele ya waamzi wake, Jerome akapiga magoti na akaomba kwamba Roho ya Mungu ipate kutawala mawazo yake, ili asiweze kusema kitu cho chote kinacho kuwa kinyume cha ukweli ao kisichofaa kwa Bwana wake. Kwake siku ile ahadi ikatimia “Wakati wanapowapeleka ninyi, musisumbuke namna gani ao neno gani mutakalolisema; kwa sababu mutapewa saa ile neno mutakalosema. Kwa maana si ninyi munaosema, lakini Roho ya Baba yenu anayesema ndani yenu.” Matayo 10:19, 20. Kwa mwaka wote mzima Jerome alikuwa katika gereza, bila kuweza kusoma ao hata kuona. Kwani maneno yake yalitolewa kwa hali ya kuwa na mwangaza sana na uwezo kama kwamba hakusumbuliwa wakati kwa kujifunza. Akaonyesha wasikilizi wake mstari mrefu wa watu watakatifu waliohukumiwa na waamzi wasiohaki. Karibu kila kizazi wale waliokuwa wakitafuta kuinua watu wa wakati wao wakafukuzwa. Kristo mwenyewe alihukumiwa kama mfanya maovu kwa baraza la hukumu lisiyo haki. Jerome sasa akatangaza toba yake na kutoa ushuhuda kwamba Huss hana kosa na kwamba ni mtakatifu. “Nilimjua tokea utoto wake,” akasema. “Alikuwa mtu bora zaidi, mwenye haki na mtakatifu; alihukumiwa, ijapokuwa hakuwa na kosa ... niko tayari kwa kufa. Sitarudia nyuma mbele ya maumivu mabaya yale yanayotayarishwa kwa ajili yangu na adui zangu na mashahidi wa uongo, ambao siku moja watatoa hesabu ya mambo yao ya ujanja mbele ya Mungu Mkuu, ambaye hakuna kitu kinaweza kudanganya.” 42

Kupinga ya Kiprotestanti Jerome akaendelea: “Kwa zambi zote nilizozifanya tangu ujana wangu, hakuna moja inayokuwa na uzito sana katika akili yangu, na kuniletea majuto makali, kama ile niliyofanya katika mahali hapa pa kufisha, wakati nilipokubali hukumu mbaya sana iliyofanywa juu ya Wycliffe, na juu ya mfia dini mtakatifu, John Huss, bwana wangu na rafiki yangu. Ndiyo! Ninatubu kutoka moyoni mwangu, na natangaza kwa hofu kuu kwamba nilitetemeka kwa haya sababu ya hofu ya mauti, nililaumu mafundisho yao. Kwa hiyo ni naomba ... Mwenyezi Mungu tafazali unirehemu zambi zangu, na hii kwa upekee, mbaya kuliko zote.” Kuelekeza kwa waamuzi wake, akasema kwa uhodari, “Muliwahukumu Wycliffe na John Huss ... mambo ambayo walihakikisha, na yasiyo ya udanganyifu, nafikiri, pia vile vile na kutangaza, kama wao.” Maneno yake yakakatwa. Maaskofu wakitetemeka na hasira, wakapaza sauti: “Haja gani iko pale ya ushuhuda zaidi? Tunaona kwa macho yetu wenyewe wingi wa ukaidi wa wapinga dini!” Bila kutikiswa na tufani, Jerome akakaza sauti: “Nini basi! munafikiri kwamba naogopa kufa? Mulinishika mwaka mzima katika gereza la kutisha, la kuchukiza kuliko mauti yenyewe. ... Siwezi bali naeleza mshangao wangu kwa ushenzi mkubwa wa namna hii juu ya Mkristo.” Akahesabiwa Kifungo na Mauti. Tena zoruba ya hasira ikatokea kwa nguvu, na Jerome akapelekwa gerezani kwa haraka. Kwani kulikuwa wengine ambao maneno yake yaliwagusa na kuwapa mawazo mioyoni na walitamani kuokoa maisha yake. Alizuriwa na wakuu wenye cheo na kumuomba sana kutii baraza. Matumaini mazuri yalitolewa kama zawadi. “Shuhudieni kwangu kwa Maandiko matakatifu kwamba niko katika makosa,” akasema, “na nitaikana kwa kiapo.” “Maandiko matakatifu”! akapaza sauti mmoja wao wa wajaribu wake, “je, kila kitu basi ni kuhukumiwa kwa yale Maandiko? Nani anaweza kuyafahamu mpaka kanisa ameyatafsiri?” “Je, maagizo ya watu yanakuwa na bei kuliko injili ya Mwokozi wetu?” akajibu Jerome. “Mpunga dini!” lilikuwa jibu. “Natubu kwa kutetea wakati mrefu pamoja nanyi. Naona kwamba unashurutishwa na Shetani”. Kwa gafula akapelekwa mahali pale pale ambapo Huss alitoa maisha yake. Alikwenda akiimba njiani mwake, uso wake ukang’aa kwa furaha na amani. Kwake mauti ilipoteza kutisha kwake. Wakati mwuaji, alipotaka kuwasha kundi, akasimama nyuma yake, mfia dini akapaza sauti, “tieni moto mbele ya uso wangu, Kama nilikuwa nikiogopa, singekuwa hapa.” Maneno yake ya mwisho yalikuwa ni maombi: “Bwana Baba Mwenyezi, unihurumie, na unirehemu zambi zangu; kwa maana unajua kwamba nilikuwa nikipenda sikuzote Ukweli.” Majifu ya mfia dini yakakusanyiwa na, kama yale ya Huss, yakatupwa katika Rhine. Basi kwa namna hii wachukuzi wa nuru waaminifu wa Mungu waliangamizwa. 43

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Lakini katika upekee wa gereza lake aliona wazi jambo alilofan<strong>ya</strong>. Aliwaza juu <strong>ya</strong> uhodari<br />

na uaminifu wa Huss na akafikiri kukana kwake mwenyewe kwa ukweli. Akafikiri habari <strong>ya</strong><br />

Bwana Mungu ambaye kwa ajili <strong>ya</strong>ke mwenyewe alivumilia msalaba. Kabla <strong>ya</strong> kukana kwake<br />

alipata usaada ndani <strong>ya</strong> mateso katika hakikisho la wapenzi wa Mungu, lakini sasa majuto na<br />

mashaka <strong>ya</strong>katesa roho <strong>ya</strong>ke. Alijua kwamba mambo <strong>ya</strong> kujikana kwingine <strong>ya</strong>lipaswa<br />

kufanywa kabla <strong>ya</strong> yeye kuweza kuwa na amani pamoja na Roma. Njia ambayo aliingia<br />

ilipaswa kuishia tu katika ukufuru kamili.<br />

Jerome Anapata Toba na Uhodari Mp<strong>ya</strong><br />

Upesi akapelekwa tena mbele <strong>ya</strong> baraza. Waamzi hawakutoshelewa na kujitaa kwake. Ila<br />

tu kwa kukataa wazi wazi kwa ukweli ndipo Jerome angaliweza kuokoa maisha <strong>ya</strong>ke. Lakini<br />

alikusudia kukubali imani <strong>ya</strong>ke na kufuata ndugu <strong>ya</strong>ke mfia dini kwa miako <strong>ya</strong> moto.<br />

Alikataa kujikania kwake kwa kwanza na, kama mtu mwenye kufa, akadai kwa heshima<br />

apewe bahati ajitetee. Maaskofu wakashikilia kwamba angekubali tu ao kukana mashitaka<br />

<strong>ya</strong>liyoletwa juu <strong>ya</strong>ke. Jerome akakataa juu <strong>ya</strong> udanganyifu kama ule. “Mumenishika bila<br />

kusema siku mia tatu na makumi ine katika gereza la kutiisha,” akasema; “Munanileta basi<br />

mbele yenu, na kutoa sikio lenu kwa adui zangu za kibinadamu, munakataa kunisikia. ...<br />

Mujihazari kuto kufan<strong>ya</strong> zambi juu <strong>ya</strong> haki. Lakini mimi, niko binadamu zaifu; maisha <strong>ya</strong>ngu<br />

ni <strong>ya</strong> maana kidogo; na ninapo waon<strong>ya</strong> si kwa kutoa hukumu isiyo kuwa <strong>ya</strong> haki, nasema<br />

machache kwa ajili <strong>ya</strong>ngu mwenyewe kuliko kwa ajili yenu.”<br />

Maombi <strong>ya</strong>ke mwishowe <strong>ya</strong>kakubaliwa. Mbele <strong>ya</strong> waamzi wake, Jerome akapiga magoti<br />

na akaomba kwamba Roho <strong>ya</strong> Mungu ipate kutawala mawazo <strong>ya</strong>ke, ili asiweze kusema kitu<br />

cho chote kinacho kuwa kinyume cha ukweli ao kisichofaa kwa Bwana wake. Kwake siku ile<br />

ahadi ikatimia “Wakati wanapowapeleka ninyi, musisumbuke namna gani ao neno gani<br />

mutakalolisema; kwa sababu mutapewa saa ile neno mutakalosema. Kwa maana si ninyi<br />

munaosema, lakini Roho <strong>ya</strong> Baba yenu anayesema ndani yenu.” Matayo 10:19, 20.<br />

Kwa mwaka wote mzima Jerome alikuwa katika gereza, bila kuweza kusoma ao hata<br />

kuona. Kwani maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>litolewa kwa hali <strong>ya</strong> kuwa na mwangaza sana na uwezo kama<br />

kwamba hakusumbuliwa wakati kwa kujifunza. Akaonyesha wasikilizi wake mstari mrefu wa<br />

watu watakatifu waliohukumiwa na waamzi wasiohaki. Karibu kila kizazi wale waliokuwa<br />

wakitafuta kuinua watu wa wakati wao wakafukuzwa. Kristo mwenyewe alihukumiwa kama<br />

mfan<strong>ya</strong> maovu kwa baraza la hukumu lisiyo haki.<br />

Jerome sasa akatangaza toba <strong>ya</strong>ke na kutoa ushuhuda kwamba Huss hana kosa na kwamba<br />

ni mtakatifu. “Nilimjua tokea utoto wake,” akasema. “Alikuwa mtu bora zaidi, mwenye haki<br />

na mtakatifu; alihukumiwa, ijapokuwa hakuwa na kosa ... niko ta<strong>ya</strong>ri kwa kufa. Sitarudia<br />

nyuma mbele <strong>ya</strong> maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>nayota<strong>ya</strong>rishwa kwa ajili <strong>ya</strong>ngu na adui zangu na<br />

mashahidi wa uongo, ambao siku moja watatoa hesabu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> ujanja mbele <strong>ya</strong><br />

Mungu Mkuu, ambaye hakuna kitu kinaweza kudangan<strong>ya</strong>.”<br />

42

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!