12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Neema <strong>ya</strong> Mungu ikamsaidia. Mda wa juma <strong>ya</strong> kuteseka kabla <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> mwisho,<br />

amani <strong>ya</strong> mbinguni ikajaa rohoni mwake. “Ninaandika barua hii”, akasema kwa rafiki, “katika<br />

gereza langu, na mkono wangu katika minyororo, kutazamia hukumu <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> kifo kesho. ...<br />

Wakati, kwa msaada wa Yesu Kristo, tutakutana tena katika amani <strong>ya</strong> kupendeza sana <strong>ya</strong><br />

maisha <strong>ya</strong>jayo, mtajifunza namna gani Mungu wa rehema amejionyesha mwenyewe mbele<br />

<strong>ya</strong>ngu, namna gani <strong>ya</strong> kufaa amenisaidia katikati <strong>ya</strong> majaribu na mashindano <strong>ya</strong>ngu.”<br />

Ushindi Ulioonekana Mbele<br />

Katika gereza hii <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> ngome aliona ushindi wa imani <strong>ya</strong> kweli. Katika ndoto zake<br />

aliona Papa na maaskofu wakifuta picha za Kristo alizofananisha kwa ukuta za kanisa ndogo<br />

huko Prague. “Njozi hii ilimsumbua: lakini kesho <strong>ya</strong>ke akaona wapaka rangi wengi walikuwa<br />

wakitumika katika kurudisha picha hizi katika hesabu kubwa na rangi zenye kung’aa. ...<br />

Wapaga rangi, ... wakazungukwa na makutano mengi, wakasema kwa nguvu, Sasa Papa na<br />

maaskofu waje; hawata<strong>ya</strong>futa tena kamwe!” Akasema Mtengenezaji, “Sura <strong>ya</strong> Kristo<br />

haitafutwa kamwe. Walitamani kuuharibu, lakini utapakaliwa tena, up<strong>ya</strong> katika mioyo yote<br />

na wahubiri bora kuliko mimi mwenyewe.”<br />

Kwa wakati wa mwisho, Huss akapelekwa mbele <strong>ya</strong> baraza, mkutano mkubwa na kungaa-<br />

-mfalme, watoto wa kifalme, makamu (deputes) <strong>ya</strong> kifalme, wakuu (cardinals) maaskofumapadri,<br />

na makundi makubwa.<br />

Alipoitwa juu <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho, Huss akatangaza makatao <strong>ya</strong>ke kuwa hata<br />

kana. Kwa kukazia macho mfalme ambaye kwa ha<strong>ya</strong> neno lake la ahadi halikutimizwa<br />

kamwe, akatangaza: “Nilikusudia, kwa mapenzi <strong>ya</strong>ngu, nionekane mbele <strong>ya</strong> baraza hili, chini<br />

<strong>ya</strong> ulinzi wa watu wote na imani <strong>ya</strong> mfalme anayekuwa hapa.” Sigismuna akageuka uso kwa<br />

ha<strong>ya</strong>, namna macho <strong>ya</strong> wote <strong>ya</strong>ligeuka kumwangalia.<br />

Hukumu ilipokwisha kutangazwa, sherehe <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong> ikaanza. Tena akaombwa kukana.<br />

Huss akajibu, kwa kugeukia watu: “kwa uso gani, basi, napaswa kuangalia mbinguni? Namna<br />

gani naweza kuangalia makutano ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> watu ambao nimewahubiri injili kamilifu? Sivyo;<br />

ninaheshimu wokovu wao zaidi kuliko mwili huu zaifu, ambayo sasa unaamriwa kufa.”<br />

Mavazi <strong>ya</strong> ukasisi <strong>ya</strong>kavuliwa moja kwa moja, kila askofu kutamka laana wakati alipokuwa<br />

akitimiliza sehemu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> sherehe. Mwishowe, “wakaweka juu <strong>ya</strong> kichwa chake kofia ao<br />

kofia <strong>ya</strong> kiaskofu <strong>ya</strong> umbo la jengo la mawe <strong>ya</strong> kartasi, ambapo sanamu za kuogof<strong>ya</strong> za pepo<br />

mba<strong>ya</strong> zilipakwa rangi, na neno “Mzushi mkuu” yenye kuonekana kwa mbali mbele. “Furaha<br />

kubwa kuliko,” akasema Huss, “nitavaa taji la ha<strong>ya</strong> kwa ajili <strong>ya</strong> jina lako, o Yesu. Kwa ajili<br />

<strong>ya</strong>ngu ulivaa taji la miiba.”<br />

Huss Alikufa Juu <strong>ya</strong> Mti (Mti wa kufungia Watu wa Kuchomwa na Moto wanapo kuwa<br />

Wahai). Sasa akachukuliwa. Maandamano makubwa <strong>ya</strong>kafuata. Wakati kila kitu kilikuwa<br />

ta<strong>ya</strong>ri kwa ajili <strong>ya</strong> moto kuwashwa, mfia dini akashauriwa mioyo tena kuokoa maisha <strong>ya</strong>ke<br />

kwa kukana makosa <strong>ya</strong>ke. “Makosa gani”, akasema Huss, “nitakayokanusha? Najua mimi<br />

40

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!