12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mwenendo wa Salama Kutoka kwa Mfalme<br />

Katika barua kwa rafiki zake akasema: “Ndugu zangu, ... nimefan<strong>ya</strong> safari pamoja na<br />

mwenendo wa usalama kutokuwa <strong>ya</strong> mfalme kwakukutana na maadui wangu wengi wa<br />

kibinadamu. ... Yesu Kristo aliteswa kwa ajili <strong>ya</strong> wapenzi wake; na kwa hiyo hatupaswe<br />

kushangazwa kwamba alituachia mfano wake? ... Kwa hiyo, wapenzi, kama kifo changu<br />

kinapaswa kutoa sehemu kwa utukufu wake, naomba kwamba kipate kunifikia upesi, na<br />

kwamba aweze kuniwezesha kuvumilia mateso kubwa <strong>ya</strong>ngu yote kwa uaminifu. ... Hebu<br />

tuombe kwa Mungu ... kwamba nisipate kuvunja haki hata ndogo <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong> injili, ili nipate<br />

kuacha mfano bora utakao fuatwa na ndugu zangu.”<br />

Katika barua ingine, Huss alisema kwa unyenyekevu wa makosa <strong>ya</strong>ke mwenyewe,<br />

kujishitaki mwenyewe “kwa kupendezwa kwa kuvaa mavazi <strong>ya</strong> utajiri na kuweza kupoteza<br />

wakati katika shuguli zisizo na maana.” Ndipo akaongeza, “hebu utukufu wa Mungu na<br />

wokovu wa mioyo utawale akili <strong>ya</strong>ko, na si upato wa faida na mashamba. Epuka kuipamba<br />

nyumba <strong>ya</strong>ko zaidi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>ko; na, juu <strong>ya</strong> yote, toa uangalifu wako kwa kiroho. Uwe mtawa<br />

na mpole na maskini, na usimalize chakula chako katika kufan<strong>ya</strong> karamu.”<br />

Huko Constance, Huss alipewa uhuru kamili. Kwa mwenendo wa salama wa mfalme<br />

kuliongezwa uhakikisho wa ulinzi wa Papa. Lakini, katika mvunjo wa metangazo ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kikaririwa, kwa mda mfupi Mtengenezaji akufungwa kufuatana na agizo la<br />

Papa na wakuu (cardinals) na kusukumwa ndani <strong>ya</strong> gereza mba<strong>ya</strong> la chini <strong>ya</strong> ngome. Baadaye<br />

akahamishwa kwa ngome <strong>ya</strong> nguvu ngambo <strong>ya</strong> mto Rhine na huko mfungwa alikuwa<br />

akilindwa. Papa kwa upesi baadaye akawekwa kwa gereza ile ile. Alishuhudiwa kuwa<br />

mwenye hatia <strong>ya</strong> makosa maba<strong>ya</strong>, kuua mtu kwa kusudi zaidi, kufan<strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong> mambo<br />

matakatifu <strong>ya</strong> dini, na uzinzi, “zambi zisizofaa kutajwa.” Baadaye akan<strong>ya</strong>nganywa taji lake.<br />

Mapapa wapinzani pia wakaondolewa, na askofu mp<strong>ya</strong> akachaguliwa.<br />

Ingawa pape mwenyewe alikuwa mwenye hatia <strong>ya</strong> makosa makubwa kuliko Huss<br />

aliyo<strong>ya</strong>weka juu <strong>ya</strong> mapadri, bali ni baraza lile lile lililoondoa cheo cha askofu likadai<br />

kuangamiza Mtengenezaji. Kifungo cha Huss kikaamsha hasira nyingi katika Bohemia.<br />

Mfalme, alipokataa kuvunja mwenendo wa usalama, akapinga mambo juu <strong>ya</strong>ke. Lakini<br />

maadui wa Mtengenezaji wakaendelea kuleta mabishano kushuhudia kwamba “imani<br />

haipaswi kushikwa pamoja na asiyefundisha makwa <strong>ya</strong> kanisa ao mtu anayezaniwa na<br />

upinzani wamafundisho <strong>ya</strong> kanisa, hata wakiwa watu wanoakuwa na mwenendo wa usalama<br />

kutoka kwa mfalme na wafalme.”<br />

Kuwa mzaifu sababu <strong>ya</strong> ugonjwa-gereza lenye baridi na maji maji likaleta homa ambayo<br />

karibu kumaliza maisha <strong>ya</strong>ke-mwishowe Huss akaletwa mbele <strong>ya</strong> baraza. Mwenye kufungwa<br />

minyororo akasimama mbele <strong>ya</strong> mfalme, ambaye juu <strong>ya</strong> imani nzuri aliyokuwa nayo aliaahidi<br />

kumlinda. Akashikilia ukweli kwa nguvu na kutoa ushuhuda wa kutokubali maovu <strong>ya</strong><br />

waongozi wa dini. Akashurutishwa kuchagua au kukana mafundisho <strong>ya</strong>ke ao kuuwawa,<br />

akakubali kifo cha wafia dini.<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!