Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti Jerome, kwa kujinyenyekea kwa kweli, akapata thamani yake na kunyenyekea kwa mashauri yake. Chini ya kazi zao za muungano matengenezo yakazambaa kwa upesi. Mungu akaruhusu nuru kuangaza juu ya akili za watu hawa wateule, kuwafunulia makosa mengi ya Roma, lakini hawakupokea nuru yote ya kutolewa ulimwenguni. Mungu alikuwa akiongoza watu kutoka katika giza ya Kanisa la Roma, na akazidi kuwaongoza, hatua kwa hatua, namna waliweza kuichukua. Kama utukufu wote wa jua la azuhuri kwa wale waliodumu gizani mda mrefu, nuru kamili ingewaletea kurudi nyuma. Kwa hiyo aliifunua kidogo kidogo, jinsi ilivyowezekana kupokelewa na watu. Matengano katika kanisa likaendelea. Mapapa watatu sasa walikuwa wakishindania mamlaka. Ushindano wao ukajaza jamii ya mataifa ya Wakristo wote machafuko. Hakutoshelewa na kuvurumisha laana, kila mmoja ni kununua silaha na kupata waaskari. Kwa kweli feza ziweko; kwa kupata hizi, zawadi, fazili, na mibaraka ya kanisa yalitolewa kwa ajili ya biashara. (Tazama Nyongezo) Pamoja na uhodari ulioongezeka Huss akapiga ngurumo juu ya machukizo yaliyo vumiliwa katika jina la dini. Watu wakashitaki Roma wazi wazi kuwa chanzo cha shida iliyoharibu miliki ya kikristo. Tena Prague ilionekana kukaribia ugomvi wa damu. Kama katika miaka ya zamani, mtumishi wa Mungu walishitakiwa kuwa “yeye mtaabishaji wa Israeli”. 1 Wafalme 18:17. Mji ukawekwa tena chini ya mkatazo, na Huss akarudishwa tena katika kijiji chake cha kuzaliwa. Akasema kuanzia mahali pa kubwa sana pa wazi, kwa jamii ya Wakristo wote, kabla ya kukata roho yake kama mshuhuda kwa ajili ya ukweli. Baraza kubwa likaitwa kukutana kule Constance (Udachi wa kusini na magharibi), likaitwa kwa mapenzi ya mfalme Sigismund na mmoja wapo wa mapapa wapinzani watatu, Yohana XXIII. Papa Yohana, ambaye tabia yake na maongozi yaliweza kufanya uchunguzi mbaya, hakusubutu kupinga mapenzi ya Sigismund. (Tazama Nyongezo). Makusudi makuu yaliyopashwa kutimizwa yalikuwa kuponya msukosuko katika kanisa kungoa mafundisho ya imani yasiyopatana na yale yaliyotangazwa na kanisa kuwa kweli. Wapinzani wawili hawa wa Papa wakaitwa kwenda mbele pamoja na John Huss. Wa kwanza walituma wajumbe wao. Papa John akaja na mashaka mengi, kuogopa kuhesabiwa kwa makosa ambayo yalileta haya kwa taji pia kwa ajili ya zambi zilizo ilinda. Huku alifanya kuingia kwake katika mji wa Constance na baridi kubwa, lililofanyiwa na mapadri na maandamano ya wafuasi wa mfalme. Juu ya kichwa chake chandarua cha zahabu, kuchukuliwa na waamuzi wane wakubwa. Mwenyeji (host) aliletwa mbele yake, na kupambwa kwa utajiri wa wakuu (cardinals) na watu wa cheo kikubwa vika urembo wakushangaza. Wakati ule ule msafiri mwengine alikuwa akikaribia Constance. Huss aliachana na rafiki zake kama kwamba hawataonana tena, kufikiri vile safari yake ilikuwa ikimwongoza kwa kingingi (mti wa kufungia watu wa kuchomwa moto). Alipata hati (ruhusa ya kupita) kwa mfalme wa Bohemia na hati ingine vile vile kwa mfalme Sigismund. Lakini alifanya matengenezo yake yote katika maoni yanayoweza kuelekea kifo chake. 38
Kupinga ya Kiprotestanti Mwenendo wa Salama Kutoka kwa Mfalme Katika barua kwa rafiki zake akasema: “Ndugu zangu, ... nimefanya safari pamoja na mwenendo wa usalama kutokuwa ya mfalme kwakukutana na maadui wangu wengi wa kibinadamu. ... Yesu Kristo aliteswa kwa ajili ya wapenzi wake; na kwa hiyo hatupaswe kushangazwa kwamba alituachia mfano wake? ... Kwa hiyo, wapenzi, kama kifo changu kinapaswa kutoa sehemu kwa utukufu wake, naomba kwamba kipate kunifikia upesi, na kwamba aweze kuniwezesha kuvumilia mateso kubwa yangu yote kwa uaminifu. ... Hebu tuombe kwa Mungu ... kwamba nisipate kuvunja haki hata ndogo ya ukweli ya injili, ili nipate kuacha mfano bora utakao fuatwa na ndugu zangu.” Katika barua ingine, Huss alisema kwa unyenyekevu wa makosa yake mwenyewe, kujishitaki mwenyewe “kwa kupendezwa kwa kuvaa mavazi ya utajiri na kuweza kupoteza wakati katika shuguli zisizo na maana.” Ndipo akaongeza, “hebu utukufu wa Mungu na wokovu wa mioyo utawale akili yako, na si upato wa faida na mashamba. Epuka kuipamba nyumba yako zaidi ya roho yako; na, juu ya yote, toa uangalifu wako kwa kiroho. Uwe mtawa na mpole na maskini, na usimalize chakula chako katika kufanya karamu.” Huko Constance, Huss alipewa uhuru kamili. Kwa mwenendo wa salama wa mfalme kuliongezwa uhakikisho wa ulinzi wa Papa. Lakini, katika mvunjo wa metangazo haya yaliyokuwa yakikaririwa, kwa mda mfupi Mtengenezaji akufungwa kufuatana na agizo la Papa na wakuu (cardinals) na kusukumwa ndani ya gereza mbaya la chini ya ngome. Baadaye akahamishwa kwa ngome ya nguvu ngambo ya mto Rhine na huko mfungwa alikuwa akilindwa. Papa kwa upesi baadaye akawekwa kwa gereza ile ile. Alishuhudiwa kuwa mwenye hatia ya makosa mabaya, kuua mtu kwa kusudi zaidi, kufanya biashara ya mambo matakatifu ya dini, na uzinzi, “zambi zisizofaa kutajwa.” Baadaye akanyanganywa taji lake. Mapapa wapinzani pia wakaondolewa, na askofu mpya akachaguliwa. Ingawa pape mwenyewe alikuwa mwenye hatia ya makosa makubwa kuliko Huss aliyoyaweka juu ya mapadri, bali ni baraza lile lile lililoondoa cheo cha askofu likadai kuangamiza Mtengenezaji. Kifungo cha Huss kikaamsha hasira nyingi katika Bohemia. Mfalme, alipokataa kuvunja mwenendo wa usalama, akapinga mambo juu yake. Lakini maadui wa Mtengenezaji wakaendelea kuleta mabishano kushuhudia kwamba “imani haipaswi kushikwa pamoja na asiyefundisha makwa ya kanisa ao mtu anayezaniwa na upinzani wamafundisho ya kanisa, hata wakiwa watu wanoakuwa na mwenendo wa usalama kutoka kwa mfalme na wafalme.” Kuwa mzaifu sababu ya ugonjwa-gereza lenye baridi na maji maji likaleta homa ambayo karibu kumaliza maisha yake-mwishowe Huss akaletwa mbele ya baraza. Mwenye kufungwa minyororo akasimama mbele ya mfalme, ambaye juu ya imani nzuri aliyokuwa nayo aliaahidi kumlinda. Akashikilia ukweli kwa nguvu na kutoa ushuhuda wa kutokubali maovu ya waongozi wa dini. Akashurutishwa kuchagua au kukana mafundisho yake ao kuuwawa, akakubali kifo cha wafia dini. 39
- Page 1 and 2: KUPINGA YA E KIPROTESTANTI Ellen Wh
- Page 3 and 4: KUPINGA YA KIPROTESTANTI ELLEN G. W
- Page 5 and 6: Ukurasa huu umeachwa tupu kwa makus
- Page 7 and 8: Shukrani Kitabu hiki ni kujitolea k
- Page 9 and 10: Kupinga ya Kiprotestanti
- Page 11 and 12: Kupinga ya Kiprotestanti Yaliyomo S
- Page 13 and 14: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 1. Un
- Page 15 and 16: Kupinga ya Kiprotestanti lilitukuzw
- Page 17 and 18: Kupinga ya Kiprotestanti Majeshi ya
- Page 19 and 20: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa. Na
- Page 21 and 22: Kupinga ya Kiprotestanti Shetani ba
- Page 23 and 24: Kupinga ya Kiprotestanti Wenye haki
- Page 25 and 26: Kupinga ya Kiprotestanti wakakatazw
- Page 27 and 28: Kupinga ya Kiprotestanti Injili ili
- Page 29 and 30: Kupinga ya Kiprotestanti Malaika wa
- Page 31 and 32: Kupinga ya Kiprotestanti Sasa roho
- Page 33 and 34: Kupinga ya Kiprotestanti fundi wa k
- Page 35 and 36: Kupinga ya Kiprotestanti Ujumbe wa
- Page 37 and 38: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 5. Nu
- Page 39 and 40: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 41 and 42: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 43 and 44: Kupinga ya Kiprotestanti wateteaji
- Page 45: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 49 and 50: Kupinga ya Kiprotestanti mwenyewe k
- Page 51 and 52: Kupinga ya Kiprotestanti Jerome aka
- Page 53 and 54: Kupinga ya Kiprotestanti Waongozi w
- Page 55 and 56: Kupinga ya Kiprotestanti Kutafuta A
- Page 57 and 58: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 59 and 60: Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
- Page 63 and 64: Kupinga ya Kiprotestanti Mungu haku
- Page 65 and 66: Kupinga ya Kiprotestanti “Ni wana
- Page 67 and 68: Kupinga ya Kiprotestanti Kukaribia
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
- Page 83 and 84: Kupinga ya Kiprotestanti Wapadri wa
- Page 85 and 86: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 11. U
- Page 87 and 88: Kupinga ya Kiprotestanti nafasi ya
- Page 89 and 90: Kupinga ya Kiprotestanti watawala w
- Page 91 and 92: Kupinga ya Kiprotestanti kukaimaris
- Page 93 and 94: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mti
- Page 95 and 96: Kupinga ya Kiprotestanti Calvin hak
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Jerome, kwa kujinyenyekea kwa kweli, akapata thamani <strong>ya</strong>ke na kunyenyekea kwa mashauri<br />
<strong>ya</strong>ke. Chini <strong>ya</strong> kazi zao za muungano matengenezo <strong>ya</strong>kazambaa kwa upesi.<br />
Mungu akaruhusu nuru kuangaza juu <strong>ya</strong> akili za watu hawa wateule, kuwafunulia makosa<br />
mengi <strong>ya</strong> Roma, lakini hawakupokea nuru yote <strong>ya</strong> kutolewa ulimwenguni. Mungu alikuwa<br />
akiongoza watu kutoka katika giza <strong>ya</strong> Kanisa la Roma, na akazidi kuwaongoza, hatua kwa<br />
hatua, namna waliweza kuichukua. Kama utukufu wote wa jua la azuhuri kwa wale<br />
waliodumu gizani mda mrefu, nuru kamili ingewaletea kurudi nyuma. Kwa hiyo aliifunua<br />
kidogo kidogo, jinsi ilivyowezekana kupokelewa na watu.<br />
Matengano katika kanisa likaendelea. Mapapa watatu sasa walikuwa wakishindania<br />
mamlaka. Ushindano wao ukajaza jamii <strong>ya</strong> mataifa <strong>ya</strong> Wakristo wote machafuko.<br />
Hakutoshelewa na kuvurumisha laana, kila mmoja ni kununua silaha na kupata waaskari. Kwa<br />
kweli feza ziweko; kwa kupata hizi, zawadi, fazili, na mibaraka <strong>ya</strong> kanisa <strong>ya</strong>litolewa kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> biashara. (Tazama Nyongezo)<br />
Pamoja na uhodari ulioongezeka Huss akapiga ngurumo juu <strong>ya</strong> machukizo <strong>ya</strong>liyo<br />
vumiliwa katika jina la dini. Watu wakashitaki Roma wazi wazi kuwa chanzo cha shida<br />
iliyoharibu miliki <strong>ya</strong> kikristo. Tena Prague ilionekana kukaribia ugomvi wa damu. Kama<br />
katika miaka <strong>ya</strong> zamani, mtumishi wa Mungu walishitakiwa kuwa “yeye mtaabishaji wa<br />
Israeli”. 1 Wafalme 18:17. Mji ukawekwa tena chini <strong>ya</strong> mkatazo, na Huss akarudishwa tena<br />
katika kijiji chake cha kuzaliwa. Akasema kuanzia mahali pa kubwa sana pa wazi, kwa jamii<br />
<strong>ya</strong> Wakristo wote, kabla <strong>ya</strong> kukata roho <strong>ya</strong>ke kama mshuhuda kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli.<br />
Baraza kubwa likaitwa kukutana kule Constance (Udachi wa kusini na magharibi),<br />
likaitwa kwa mapenzi <strong>ya</strong> mfalme Sigismund na mmoja wapo wa mapapa wapinzani watatu,<br />
Yohana XXIII. Papa Yohana, ambaye tabia <strong>ya</strong>ke na maongozi <strong>ya</strong>liweza kufan<strong>ya</strong> uchunguzi<br />
mba<strong>ya</strong>, hakusubutu kupinga mapenzi <strong>ya</strong> Sigismund. (Tazama Nyongezo). Makusudi makuu<br />
<strong>ya</strong>liyopashwa kutimizwa <strong>ya</strong>likuwa kupon<strong>ya</strong> msukosuko katika kanisa kungoa mafundisho <strong>ya</strong><br />
imani <strong>ya</strong>siyopatana na <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyotangazwa na kanisa kuwa kweli. Wapinzani wawili hawa<br />
wa Papa wakaitwa kwenda mbele pamoja na John Huss. Wa kwanza walituma wajumbe wao.<br />
Papa John akaja na mashaka mengi, kuogopa kuhesabiwa kwa makosa ambayo <strong>ya</strong>lileta ha<strong>ya</strong><br />
kwa taji pia kwa ajili <strong>ya</strong> zambi zilizo ilinda. Huku alifan<strong>ya</strong> kuingia kwake katika mji wa<br />
Constance na baridi kubwa, lililofanyiwa na mapadri na maandamano <strong>ya</strong> wafuasi wa mfalme.<br />
Juu <strong>ya</strong> kichwa chake chandarua cha zahabu, kuchukuliwa na waamuzi wane wakubwa.<br />
Mwenyeji (host) aliletwa mbele <strong>ya</strong>ke, na kupambwa kwa utajiri wa wakuu (cardinals) na watu<br />
wa cheo kikubwa vika urembo wakushangaza.<br />
Wakati ule ule msafiri mwengine alikuwa akikaribia Constance. Huss aliachana na rafiki<br />
zake kama kwamba hawataonana tena, kufikiri vile safari <strong>ya</strong>ke ilikuwa ikimwongoza kwa<br />
kingingi (mti wa kufungia watu wa kuchomwa moto). Alipata hati (ruhusa <strong>ya</strong> kupita) kwa<br />
mfalme wa Bohemia na hati ingine vile vile kwa mfalme Sigismund. Lakini alifan<strong>ya</strong><br />
matengenezo <strong>ya</strong>ke yote katika maoni <strong>ya</strong>nayoweza kuelekea kifo chake.<br />
38