You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wycliffe akaitwa toka kwa mkutano kwenda kwa baraza kuu la taifa (parlement). Kwa<br />
uhodari akashitaki serkali <strong>ya</strong> Kanisa la Rome mbele <strong>ya</strong> baraza la taifa na akaomba<br />
matengenezo <strong>ya</strong> desturi mba<strong>ya</strong> zilizotolewa na kanisa. Adui zake wakakosa lakufan<strong>ya</strong>.<br />
Ilikuwa ikitazamiwa kwamba Mtengenezaji, katika miaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> uzee, peke <strong>ya</strong>ke bila rafiki,<br />
angeinama kwa mamlaka <strong>ya</strong> mfalme. Lakini baadala <strong>ya</strong>ke, Baraza likaamsha na mwito wa<br />
kugusa moyo uliofanywa na ghasia (makelele) za Wycliffe, ukavunja amri <strong>ya</strong> kuteso, na<br />
Mtengenezaji alikuwa huru tena.<br />
Mara <strong>ya</strong> tatu aliletwa hukumunu, na mbele <strong>ya</strong> mahakama makuu <strong>ya</strong> Kanisa <strong>ya</strong> kifalme.<br />
Hapa sasa kazi <strong>ya</strong> Mtengenezaji itasimamishwa. Hii ilikuwa mawazo <strong>ya</strong> wafuasi wa Papa.<br />
Kama walitimiza kusudi zao, Wycliffe atatoka katika nyumba <strong>ya</strong> hukumu na na kuelekea<br />
kwenye n<strong>ya</strong>li za moto.<br />
Wycliffe Anakataa Kukana<br />
Lakini Wycliffe hakukana. Pasipo hofu akashikilia mafundisho <strong>ya</strong>ke na sukumia mbali<br />
mashitaka <strong>ya</strong> watesi wake. Akaalika wasikilizi wake mbele <strong>ya</strong> hukumu la Mungu na akupima<br />
uzito wa madanganyo na wongo wao katika mizani <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong> milele. Uwezo wa Roho<br />
Mtakatifu ulikuwa juu <strong>ya</strong> wasikilizaji. Kama mishale kutoka kwa mfuko wa mishale <strong>ya</strong><br />
Bwana, maneno <strong>ya</strong> Mtengenezaji <strong>ya</strong>katoboa mioyo <strong>ya</strong>o. Mashitaka <strong>ya</strong> upinga dini,<br />
waliyo<strong>ya</strong>leta juu <strong>ya</strong>ke, aka<strong>ya</strong>rudisha kwao.<br />
“Pamoja na nani, munavyo fikiri,” akasema, “munayeshindana naye? na mzee anaye kuwa<br />
kwa ukingo wa kaburi? la! pamoja na ukweli-Ambayo unakuwa na nguvu kuliko wewe, na<br />
utakushinda”. Aliposema vile, akatoka na hata mtu moja wa maadui zake hakujaribu kumzuia.<br />
Kazi <strong>ya</strong> Wycliffe ilikuwa karibu kutimizwa, lakini mara nyingine tena alipashwa kutoa<br />
ushuhuda wa injili. Aliitwa kwa kusikilizwa mbele <strong>ya</strong> baraza la kuhukumu la kipapa kule<br />
Roma, ambalo kila mara lilikuwa likimwanga damu <strong>ya</strong> watakatifu. Msiba wa kupooza ulizuia<br />
safari ile. Lakini ingawa sauti <strong>ya</strong>ke haikuweza kusikiwa pale Roma, aliweza kusema kwa njia<br />
<strong>ya</strong> barua. Mtengenezaji akamwandikia Papa barua, ambayo, ingawa <strong>ya</strong> heshima na kikristo<br />
moyoni, ilikuwa kemeo kali kwa ukuu na kiburi k<strong>ya</strong> jimbo la Papa.<br />
Wycliffe akaonyesha kwa Papa na maaskofu wake upole na unyenyekevu wa Kristo,<br />
muonyesha wazi si kwao tu bali kwa miliki <strong>ya</strong> Wakristo wote tofauti kati <strong>ya</strong>o na Bwana<br />
ambaye wanajidai kuwa wajumbe wake.<br />
Wycliffe alitumainia kabisa kwamba maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>ngekuwa bei <strong>ya</strong> uaminifu wake.<br />
Mfalme, Papa na maaskofu wakajiunga kwa kutimiza maangamizi <strong>ya</strong>ke, na ilionekana kweli<br />
kwamba kwa mda wa miezi michache ikiwezekana wangemletea kifo kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong><br />
dini. Lakini uhodari wake ulikuwa imara.<br />
Mtu ambaye kwa wakati wote wa maisha <strong>ya</strong>ke alisimama imara katika kutetea ukweli<br />
hakuna mtu wakusumbuliwa kwa ajili <strong>ya</strong> adui zake. Bwana alikuwa mlinzi wake; na sasa,<br />
33