You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Lakini kwa gafula kazi zake zikasimamishwa. Ingawa alikuwa hajaeneza miaka makumi<br />
sita, taabu isiyokoma, kujifunza, na mashambulio <strong>ya</strong> maadui <strong>ya</strong>lilegeza nguvu zake<br />
nakumfan<strong>ya</strong> aonekane mzee upesi. Akashambuliwa na ugonjwa wa hatari. Watawa walifikiri<br />
kwamba atatubu kwa uovu alioufan<strong>ya</strong> kwa kanisa, na wakaenda haraka kwa chumba chake<br />
ili wasikilize maungamo <strong>ya</strong>ke. “Unakuwa na kifo kwa midomo <strong>ya</strong>ko”, wakasema; “uguswe<br />
basi kwa makosa <strong>ya</strong>ko, na ukane mbele yetu mambo yote uliyosema kwa hasara yetu”.<br />
Mtengenezaji akasikiliza kwa utulivu. Ndipo akamwambia mlinzi wake kumuinua katika<br />
kitanda chake. Katika kuwakazia macho kwa imara, akasema katika sauti hodari <strong>ya</strong> nguvu<br />
ambayo ilikuwa ikiwaletea kutetemeka mara kwa mara, “Sitakufa, bali nitaishi; na tena<br />
nitatangaza matendo maovu <strong>ya</strong> watawa”. Waliposhangazwa na kupata ha<strong>ya</strong>, watawa<br />
wakatoka chumbani kwa haraka.<br />
Wycliffe aliishi kwa kuweka katika mikono wana inchi wake silaha za nguvu sana kwa<br />
kupinganisha Roma-Biblia, mjumbe wa mbinguni waliyewekwa kwa kutoa utumwani,<br />
kuangazia na kuhubiri watu. Wycliffe alijua kwamba ni miaka michache tu <strong>ya</strong> kazi iliyobaki<br />
kwake; aliona upinzani aliopashwa kukutana nao; lakini kwa kutiwa moyo na ahadi za Neno<br />
la Mungu, akaendelea. Katika nguvu zote zake za akili, na tajiri kwa matendo, alita<strong>ya</strong>rishwa<br />
na maongozi <strong>ya</strong> Mungu kwa jambo hili, kazi <strong>ya</strong>ke kubwa kuliko zote. Mtengenezaji katika<br />
nyumba <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ukasisi huko Lutterworth, alizarau wimbi lililosirika, akajitia mwenyewe<br />
kwa kazi <strong>ya</strong>ke aliyoichagua.<br />
Mwishowe kazi ikatimilika-tafsiri <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> Biblia kwa kingereza. Mtengenezaji<br />
akaweka katika mikono <strong>ya</strong> watu wa Kiingereza nuru ambayo haipashwi kuzimishwa kamwe.<br />
Alifan<strong>ya</strong> mengi zaidi kuvunja vifungo v<strong>ya</strong> ujinga na kufungua na kuinua inchi <strong>ya</strong>ke kuliko<br />
ilivyo kwisha kufanyiwa na washindi kwa shamba za vita.<br />
Ni kwa kazi <strong>ya</strong> taabu tu nakala za Biblia ziliweza kuzidishwa. Mapezi <strong>ya</strong>likuwa makubwa<br />
sana kupata kitabu kile, kwa sababu ilikuwa vigumu kwa wenye kufan<strong>ya</strong> nakala kuweza<br />
kumaliza maombi <strong>ya</strong> watu. Wanunuzi watajiri walitamani Biblia nzima. Wengine wakanunua<br />
tu kipande. Katika hali nyingi, jamaa zilijiunga kununua nakala moja. Biblia <strong>ya</strong> Wycliffe kwa<br />
upesi ikapata njia <strong>ya</strong>ke nyumbani mwa watu.<br />
Wycliffe sasa akafundisha mafundisho <strong>ya</strong> kipekee <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>-wokovu kwa njia <strong>ya</strong><br />
imani katika Kristo na haki moja tu <strong>ya</strong> Maandiko. Imani mp<strong>ya</strong> ikakubaliwa karibu nusu <strong>ya</strong><br />
Wangereza. Tokeo la Maandiko likaleta hofu kwa watawala wa kanisa. Wakati ule hapakuwa<br />
na sheria katika inchi <strong>ya</strong> Uingereza <strong>ya</strong> kukataza Biblia, kwa sababu ilikuwa haijaandikwa<br />
bado katika lughanyingine. Sheria za namna ile zilifanyika baadaye na zikakazwa kwa nguvu.<br />
Tena waongozi wa papa wakafan<strong>ya</strong> shauri mba<strong>ya</strong> kwa kun<strong>ya</strong>mazisha sauti <strong>ya</strong><br />
Mtengenezaji. Kwanza, mkutano wa waaskofu ukatangaza maandiko <strong>ya</strong>ke kuwa <strong>ya</strong> kupinga<br />
mafundisho <strong>ya</strong> dini. Walipovuta mfalme kijana, Richard II, upande wao, wakapata agizo la<br />
kifalme kufunga wote wanaohukumu mafundisho <strong>ya</strong>liyokatazwa na Roma.<br />
32