12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mamlaka juu <strong>ya</strong> watawala wa ulimwengu <strong>ya</strong>likuwa kinyume kwa vyote viwili kweli na<br />

ufunuo. Matakwa <strong>ya</strong> Papa <strong>ya</strong>lichochea hasira, na mafundisho <strong>ya</strong> Wycliffe <strong>ya</strong>livuta akili za<br />

uongozi wa taifa. Mfalme na wakuu walikusanyika kwa kukataa malipo <strong>ya</strong> kodi.<br />

Watu waliojitenga na mambo <strong>ya</strong> dunia, maskini wakajaa katika Uingereza, kumwanga<br />

sumu juu <strong>ya</strong> ukubwa na kufanikiwa kwa taifa. Maisha <strong>ya</strong> watawa (moines) <strong>ya</strong> uvivu na<br />

uombaji wa vitu ao mali haikuwa tu gharama kubwa juu <strong>ya</strong> mali <strong>ya</strong> watu, wageuza kazi nzuri<br />

kuwa <strong>ya</strong> kuzarauliwa. Vijana walipotoka na kuharibika. Wengi walishawishwi kujitoa wao<br />

wenyewe kwa maisha <strong>ya</strong> watawa si kwa kukosa ukubali wa wazazi tu, bali bila ufahamu wao<br />

na kinyume cha mwito wao. Kwa “chukizo hili lisilo la kibinadamu” kama vile Luther<br />

baadaye alilitia “kuonyesha dalili <strong>ya</strong> mbwa mwitu zaidi na mjeuri kuliko <strong>ya</strong> Mkristo na mtu,<br />

“ilivyokuwa” mioyo <strong>ya</strong> watoto ikiwa migumujuu <strong>ya</strong> wazazi wao.<br />

Hata wanafunzi katika vyuo vikubwa (universites) walidanganywa na watawa na kuvutwa<br />

kwa kuungana namaagizo <strong>ya</strong>o. Mara waliponaswa katika mtego ilikuwa haiwezekani kupata<br />

uhuru. Wazazi wengi walikataa kutuma vijana wao katika vyuo vikubwa. Vyuo vikazoofika,<br />

na ukosefu wa elimu ukaenea pote.<br />

Papa akatoa kwa watawa hawa uwezo kwa kusikia maungamo na kutoa rehema-shina la<br />

uovu mkubwa. Wakageuka kwa kuzidisha faida zao, watu waliojitenga kwa mambo <strong>ya</strong><br />

kidunia walikuwa ta<strong>ya</strong>ri kabisa kutoa masamaha hata wavunja sheria walikuwa wakienda<br />

mara kwa mara kwao, na makosa maba<strong>ya</strong> zaidi <strong>ya</strong>kaongezeka kwa haraka. Zawadi zilizopasa<br />

kusaidia wagonjwa na maskini zikaenda kwa watawa. Utajiri wa watu waliojitenga kwa<br />

mambo <strong>ya</strong> kidunia ukaongezeka daima, na majumba <strong>ya</strong>o makubwa na meza za anasa<br />

vikaonyesha zaidi kuongezeka kwa umaskini kwa taifa. Huku watawa wakaendelea kukaza<br />

uwezo wao juu <strong>ya</strong>wengi waliokuwa katika imani <strong>ya</strong> uchawi na wakawaongoza kuamini kuwa<br />

kazi yote <strong>ya</strong> dini iliyoonyesha ukubali wa mamlaka <strong>ya</strong> Papa, kusujudu watakatifu, kufan<strong>ya</strong><br />

zawadi kwa watawa, hili lilikuwa la kutosha kwa kujipatia nafasi mbinguni!<br />

Wycliffe kwa maarifa safi, akashambulia mizizi <strong>ya</strong> uovu, kutangaza kwamba utaratibu<br />

wenyewe ni wa uongo na ulipaswa kuondolewa kabisa. Mabishano na maswali <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong>kiamshwa. Wengi walikuwa wakiongozwa kujiuliza kwamba hawakupaswa kutafuta<br />

rehema zao kwa Mungu zaidi kuliko kwa askofu wa Roma. (Tazama Nyongezo). “Watawa<br />

na mapadri wa Roma,” wakasema, “wako wanatula kama ugonjwa unaoitwa (cancer), Mungu<br />

anapashwa kutuokoa, kama sivyo watu wataangamia”. Watawa waombezi waliojidai kwamba<br />

walikuwa wakifuata mfano wa Mwokozi, kutangaza kwamba Yesu na wanafunzi wake<br />

walikuwa wakisaidiwa kwa ajili wema wa watu. Madai ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>kaongoza watu wengi kwa<br />

Biblia kujifunza ukweli wao wenyewe.<br />

Wycliffe akaanza kuandika na kuchapa vimakaratasi na tuvitabu juu <strong>ya</strong> watawa, kuita<br />

watu kwa mafundisho <strong>ya</strong> Biblia na Muumba wake. Si kwa njia ingine bora kuliko angeweza<br />

kutumia kwa kumuangusha yule mn<strong>ya</strong>ma mkubwa ambaye Papa alimufanyiza, na ndani <strong>ya</strong>ke<br />

mamilioni waliokamatwa watumwa.<br />

30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!