You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 5. Nuru Inangaa Katika Uingereza<br />
Mungu hakukubali Neno lake liharibiwe kabisa. Katika inchi mbalimbali za Ula<strong>ya</strong> watu<br />
waliosukumwa na Roho <strong>ya</strong> Mungu kwa kutafuta ukweli kama vile hazina zilizofichwa. Kwa<br />
bahati njema waliongozwa na Maandiko matakatifu, wakipendezwa kukubali nuru kwa bei<br />
yo yote itakayohitajiwa kwao wenyewe. Ingawa hawakuona vitu vyote wazi, walikuwa<br />
wakiwezeshwa kutambua mambo mengi <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>liyozikwa ao fichwa tangu zamani.<br />
Wakati ulifika kwa Maandiko kupewa kwa watu katika lugha <strong>ya</strong>o wenyewe. Dunia<br />
ilikwisha kupitisha usiku wake wa manane. Katika inchi nyingi kukaonekana dalili za<br />
mapambazuko.<br />
Katika karne <strong>ya</strong> kumi na ine “nyota <strong>ya</strong> asubuhi <strong>ya</strong> Matengenezo (Reformation)” ikatokea<br />
katika Uingereza. John Wycliffe alijulikana huko college kuwa mtu wa utawa wa elimu sana.<br />
Alielemishwa na hekima <strong>ya</strong> elimu, kanuni za kanisa, na sheria <strong>ya</strong> serkali, alita<strong>ya</strong>rishwa<br />
kuingia katika kazi ngumu kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> raia na uhuru wa dini. Alipata malezi <strong>ya</strong> elimu<br />
<strong>ya</strong> vyuo, na akafahamu maarifa <strong>ya</strong> watu wa mashule. Cheo na ukamilifu wa ufahamu wake<br />
viliamuru heshima za rafiki na maadui. Adui zake walizuiwa kutupa zarau juu <strong>ya</strong> chazo cha<br />
Matengenezo kwa kuonyesha ujinga ao uzaifu wa wale walioikubali.<br />
Wakati Wycliffe alipokuwa akingaliki huko college, akaingia majifunzo <strong>ya</strong> Maandiko<br />
matakatifu. Hata sasa Wicliffe alijifahamu kuwa mwenye hitaji kubwa, ambao hata<br />
mafundisho <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong>ke wala mafundisho <strong>ya</strong> kanisa ha<strong>ya</strong>taweza kumtoshelea. Katika Neno<br />
la Mungu aliona kile ambacho alikuwa anatafuta bila mafanikio. Hapa akamuona Kristo<br />
akitangazwa kama mteteaji pekee wa mtu. Akakusudia kutangaza ukweli aliyovumbua.<br />
Kwa mwanzo wa kazi <strong>ya</strong>ke, Wycliffe hakujitia mwenyewe katika upinzani na Roma.<br />
Lakini kwa namna alivyotambua wazi zaidi, makosa <strong>ya</strong> kanisa la Roma, akazidi kwa bidii<br />
kufundisha mafundisho <strong>ya</strong> Biblia. Aliona kwamba Roma iliacha Neno la Mungu kwa ajili <strong>ya</strong><br />
desturi za asili za watu. Akashitaki bila oga upadri kwa kuweza kuondoshea mbali Maandiko,<br />
na akataka kwa lazima kwamba Biblia irudishwe kwa watu na kwamba uwezo <strong>ya</strong>ke uwekwe<br />
tena ndani <strong>ya</strong> kanisa. Alikuwa mhubiri hodari na mwenye maneno <strong>ya</strong> kuamsha moyo, na<br />
maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kila siku <strong>ya</strong>lionyesha ukweli aliyohubiri. Ufahamu wake wa Maandiko, usafi<br />
wa maisha <strong>ya</strong>ke, na bidii <strong>ya</strong>ke na ukamilifu aliouhubiri <strong>ya</strong>kampa heshima kwa wote. Wengi<br />
wakaona uovu katika Kanisa la Roma. Wakapokea kwa shangwe isiyofichwa kweli ambazo<br />
zililetwa waziwazi na Wycliffe. Lakini waongozi wa kiPapa wakajazwa na hasira:<br />
Mtengenezaji huyu alikuwa akipata mvuto mkubwa kuliko wao.<br />
Mvumbuzi Hodari wa Kosa<br />
Wycliffe alikuwa mvumbuzi hodari wa kosa na akapambana bila woga juu <strong>ya</strong> matumizi<br />
maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyoruhusiwa na Roma. Alipokuwa padri wa mfalme, akawa shujaa kwa kukataa<br />
malipo <strong>ya</strong> kodi <strong>ya</strong>liyodaiwa na Papa kutoka kwa mfalme wa Uingereza. Majivuno <strong>ya</strong> Papa <strong>ya</strong><br />
29