12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kosa lao kubwa lilikuwa kwamba hawakuabudu Mungu kufuatana na mapenzi <strong>ya</strong> Papa. Kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> “kosa hili” kila tukano na mateso ambayo watu ao Shetani waliweza kufan<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>liwekwa juu <strong>ya</strong>o.<br />

Wakati Roma ilikusudia kukomesha dini hii (secte) iliyochukiwa, tangazo likatolewa na<br />

Papa kuwahukumu kama wapingaji wa dini na kuwatoa kwa mauaji. (Tazama Nyongezo).<br />

Hawakusitakiwa kama wavivu, wasio waaminifu, ao wasio na utaratibu; lakini ilitangazwa<br />

kwamba walikuwa wenye mfano wa wenye utawa na utakatifu uliovuta “kondoo la zizi la<br />

kweli”. Tangazo hili likaita washiriki wote wa kanisa kuungana kwa mapigano <strong>ya</strong>wapingaji<br />

wa dini<br />

Kama vile kuchochea tangazo hili liliachia viapo vyovyote wote waliokubali kwenda kwa<br />

vita; tangazo hili likawatolea haki kwa kila mali waliweza kupata kwa wizi, nalika ahidi<br />

ondoleo la zambi zote kwa yule angeweza kuua mpinga dini yeyote. Jambo hilo likavunja<br />

mapatano yote <strong>ya</strong>liyofanywa kwa upendeleo wa Wavaudois, wakakataza watu wote kuwapa<br />

msaada wowote, na kuwapa uwezo watu wote kukamata mali <strong>ya</strong>o”. Andiko hii linafunua wazi<br />

wazi mungurumo wa joka, na si sauti <strong>ya</strong> Kristo. Roho <strong>ya</strong> namna moja iliyosulibisha Kristo na<br />

kuua mitume, ile ilisukuma Nero mwenye hamu <strong>ya</strong> kumwaga damu juu <strong>ya</strong> waaminifu katika<br />

siku zake, ilikuwa kazini kwa kuondoa juu <strong>ya</strong> dunia <strong>ya</strong> wale waliokuwa wapendwa wa<br />

Mungu.<br />

Bila kutazama vita <strong>ya</strong> Papa juu <strong>ya</strong>o na mauaji makali sana waliyo<strong>ya</strong>pata, watu hawa<br />

wanaogopa Mungu waliendelea kutuma wajumbe (Missionnaires) kutawan<strong>ya</strong> ukweli wa<br />

damani. Waliwindwa hata kuuwawa, lakini damu <strong>ya</strong>o ilinywesha mbegu iliyopandwa na<br />

kuzaa matunda.<br />

Kwa hivyo Wavaudois walishuhudia Mungu kwa karne nyingi kabla <strong>ya</strong> Luther.<br />

Walipanda mbegu <strong>ya</strong> Matengenezo (Reformation) <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyoanza wakati wa Wycliffe,<br />

<strong>ya</strong>kaota na kukomaa katika siku za Luther, na <strong>ya</strong>napaswa kuendelea hata mwisho wa wakati.<br />

28

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!