You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Ujumbe wa Wavaudois kwa uangalifu ukatoa sehemu zilizoandikwa kwa uangalifu za<br />
Maandiko matakatifu. Nuru <strong>ya</strong> ukweli ikaingia kwa akili nyingi za giza, hata Jua la Haki<br />
likaangaza katika moyo n<strong>ya</strong>li zake za kupen<strong>ya</strong>. Kila mara msikilizaji alihitaji sehemu <strong>ya</strong><br />
Maandiko ipate kukaririwa, kana kwamba apate kuhakikisha kwamba alisikia vizuri.<br />
Wengi waliona ni bure namna gani uombezi wa watu kwa ajili <strong>ya</strong> wenye zambi hauna<br />
faida. Wakapiga kelele kwa furaha, “Kristo ni kuhani wangu; damu <strong>ya</strong>ke ni kafara <strong>ya</strong>ngu;<br />
mazabahu <strong>ya</strong>ke ni mahali pangu pa kuungamia”. Ilikuwa mufuriko mkubwa wa nuru uliyo<br />
kuwa juu <strong>ya</strong>o, hata walionekana kwao kwamba walichukuliwa mbinguni. Hofu yote <strong>ya</strong> kifo<br />
ikafutika. Sasa waliweza kutamani gereza kama wangeweza kwa hiyo kutukuza Mkombozi<br />
wao.<br />
Katika mahali pa siri Neno la Mungu lililetwa na kusomwa, mara zingine kwa roho moja,<br />
wakati mwingine kwa kundi ndogo la watu lililotamani sana nuru. Mara nyingi usiku mzima<br />
ulitumiwa kwa namna hii. Mara kwa mara maneno kama ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>kasemwa: “Je, Mungu<br />
atakubali sadaka <strong>ya</strong>ngu? Atanifurahia? Atanisamehe”? Jibu lilikuwa, soma, “Kujeni kwangu,<br />
ninyi wote munaosumbuka na wenye mizigo mizito, nami nitawapumzisha ninyi”. Matayo<br />
11:28.<br />
Roho zile zenye furaha zikarudia nyumbani mwao kutawan<strong>ya</strong> nuru, kukariri kwa wengine,<br />
kwa namna walivyoweza, maarifa map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>o. Walipata ukweli na njia <strong>ya</strong> uhai! Maandiko<br />
<strong>ya</strong>lisemwa kwa mioyo <strong>ya</strong> wale wanaotamani ukweli.<br />
Mjumbe wa ukweli alikwenda kwa njia <strong>ya</strong>ke. Kwa namna ninyi wasikilizaji wake<br />
hawakuuliza alitoka wapi ao alikwenda wapi. Walikuwa wamekwisha kupatwa na ushindi<br />
kwa hiyo hawakuwa na wazo kwa kumuuliza. Aliweza kuwa malaika kutoka mbinguni!<br />
Walitaka maelezo zaidi juu <strong>ya</strong> jambo hilo.<br />
Katika mambo mengi mjumbe wa ukweli alifan<strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong>ke kwa inchi nyingine ao alikuwa<br />
akipunguza maisha <strong>ya</strong>ke katika gereza ao labda mifupa <strong>ya</strong>ke iligeuka nyeupe mahali<br />
aliposhuhudia ukweli. Lakini maneno aliyoacha nyuma <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kitenda kazi <strong>ya</strong>o.<br />
Waongozi wa Papa waliona hatari kutoka kwa kazi za hawa watu wanyenyekevu wa<br />
kuzunguka zunguka. Nuru <strong>ya</strong> ukweli ingefutia mbali mawingu mazito <strong>ya</strong> kosa lililofunika<br />
watu; ingeongoza akili kwa Mungu peke <strong>ya</strong>ke na mwisho kuharibu mamlaka <strong>ya</strong> Roma.<br />
Watu hawa, katika kushika imani <strong>ya</strong> kanisa la zamani, ilikuwa ni ushuhuda imara kwa<br />
uasi wa Roma na kwa hivyo ikaamsha chuki na mateso. Kukataa kwao kwa kuacha Maandiko<br />
ilikuwa ni kosa ambalo Roma haikuweza kuvumilia. Roma Inakusudia Kuangamiza<br />
Wavaudois (Waldenses)<br />
Sasa mapigano makali kuliko yote juu <strong>ya</strong> watu wa Mungu <strong>ya</strong>kaanza katika makao <strong>ya</strong>o<br />
milimani. Wapelelezi (quisiteurs) waliwekwa kwa n<strong>ya</strong>yo <strong>ya</strong>o. Tena na tena mashamba <strong>ya</strong>o<br />
<strong>ya</strong>liyokuwa na baraka <strong>ya</strong>kaharibiwa, makao <strong>ya</strong>o na makanisa madogo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kaondolewa.<br />
Hakuna mashitaka iliyoweza kuletwa juu <strong>ya</strong> tabia njema <strong>ya</strong> namna hii <strong>ya</strong> watu waliokatazwa.<br />
27