12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kazi <strong>ya</strong> dunia , kwa kawaida kama mfan<strong>ya</strong> biashara ao <strong>ya</strong> mchuuzi. “Walichukua mavazi <strong>ya</strong><br />

hariri, vitu vilivyofanyizwa kwa zahabu, na vitu vingine, ... na walikaribishwa vizuri kama<br />

wafan<strong>ya</strong> biashara mahali wangezarauliwa kama wajumbe (missionnaires)” Walichukua kwa<br />

siri nakala za Biblia, nzima ao kipande. Mara kwa mara shauku <strong>ya</strong> kusoma Neno la Mungu<br />

ilipoamushwa, sehemu fulani za Biblia ziliachwa kwa wale waliozihitaji.<br />

Kwa miguu wazi na mavazi machafu na safari <strong>ya</strong> udongo mzito, wajumbe hawa walipita<br />

katika miji mikubwa na kuingia kwa inchi za mbali. Makanisa <strong>ya</strong>kasimamishwa kwa haraka<br />

njiani walimopita, na damu <strong>ya</strong> wafia dini ikashuhudia ukweli. Kwa uficho na ukim<strong>ya</strong>, Neno<br />

la Mungu likitukana na kupokelewa kwa furaha ndani <strong>ya</strong> nyumba na mioyoni mwa watu.<br />

Wavaudois waliamini kwamba mwisho wa vitu vyote haukuwa mbali sana. Walipokuwa<br />

wakijifunza Biblia walikuwa wanatia moyo kwa kazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kujulusha wengine juu <strong>ya</strong> ukweli<br />

Walipata faraja, tumaini, na amani kwa kumwamini Yesu. Namna nuru ilifurahisha mioyo<br />

<strong>ya</strong>o, walitamani sana kutawan<strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>li zake kwa wale waliokuwa katika giza la makosa la<br />

kipapa.<br />

Chini <strong>ya</strong> uongozi wa Papa na mapadri, wengi walifundishwa kutumainia kazi ao matendo<br />

<strong>ya</strong>o mazuri kwa kuokolewa. Walikuwa wakijiangalia wao wenyewe, akili zao zilikuwa<br />

zikiishi katika hali <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> zambi, kutesa moyo na mwili, lakini bila kurijika. Maelfu<br />

walipoteza maisha <strong>ya</strong>o katika viumba v<strong>ya</strong> watawa (moines). Kwa mafungo <strong>ya</strong> mara kwa mara<br />

na kutesa mwili, kukesha usiku wa manane, kwa kusujudia mahali pa baridi, mawe <strong>ya</strong> maji<br />

maji, kwa safari ndefu--za kwenda kuzuru Pahali patakatifu--kwa kuogopa <strong>ya</strong> hasira <strong>ya</strong> kisasi<br />

cha Mungu--wengi waliendelea kuteseka hata kuchoka kukadumisha. Bila n<strong>ya</strong>li moja <strong>ya</strong><br />

tumaini wakazama ndani <strong>ya</strong> kaburi.<br />

Wenye Zambi Walimushota Kristo<br />

Wavaudois walitamani sana kufungulia mioyo hizi zilizoumia na njaa <strong>ya</strong> habari za amani<br />

katika ahadi za Mungu na kuwaonyesha kwa Kristo kama tumaini lao la pekee la wokovu.<br />

Mafundisho kwamba matendo mema <strong>ya</strong>naweza kuwa pahali pa zambi <strong>ya</strong>liyotambuliwa kwa<br />

kuwa msingi wake niwa uongo. Tabia nzuri za Mwokozi aliyesulibiwa na kufufuka zinakuwa,<br />

ndiyo msingi wa imani <strong>ya</strong> kikristo. Hali <strong>ya</strong> matumaini <strong>ya</strong> moyo kwa Kristo inapaswa kuwa<br />

karibu sana kama vile kiungo kwa mwili ao cha tawi kwa mzabibu.<br />

Mafundisho <strong>ya</strong> wapapa na wapadri <strong>ya</strong>liongoza watu kutazama Mungu na hata Kristo kama<br />

wakali na wa kugombeza, kwa hiyo bila huruma kwa mtu kwamba uombezi wa wapadri na<br />

watakatifu ulipaswa kuombwa. Wale ambao akili zao zimeangaziwa walitamani sana<br />

kuondoa vizuizi ambavyo Shetani amevijaza, ili watu waweze kuja mara moja kwa Mungu,<br />

kuungama zambi zao, na kupokea msamaha na amani.<br />

Kushambulia Ufalme wa Shetani<br />

26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!