Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
fundi wa kufan<strong>ya</strong> hema, kila mmoja wao alijifunza kazi fulani ambayo kwayo, kama ni<br />
lazima, kingemusaidia kwa kujitegemea mwenyewe.<br />
Vijana walipata mafundisho <strong>ya</strong>o kwa wachungaji wao. Biblia ilifanywa kuwa masomo <strong>ya</strong><br />
mhimu. Injili za Matayo na Yoane ziliwekwa katika ukumbusho, pamoja na barua nyingine.<br />
Mara zingine katika mapango <strong>ya</strong> giza udongoni, kwa nuru <strong>ya</strong> mienge (torches), Maandiko<br />
matakatifu <strong>ya</strong>liandikwa, mstari kwa mstari. Malaika kutoka mbinguni wakazunguuka<br />
watumishi hawa waaminifu.<br />
Shetani alilazimisha mapadri wa Papa na maaskofu kuzika Neno la Ukweli chini <strong>ya</strong><br />
machafu <strong>ya</strong> makosa na ibada <strong>ya</strong> uchawi. Lakini kwa namna <strong>ya</strong> ajabu likalindwa bila<br />
kuchafuliwa wakati wa miaka yote <strong>ya</strong> giza. Kama safina juu <strong>ya</strong> mawimbi mazito, Neno la<br />
Mungu linashinda zoruba zinazolitisha kuliharibu. Kama vile dini <strong>ya</strong>mefikia bamba la jiwe<br />
lenye zahabu na feza iliyofichwa chini upande wa juu, ni vivyo hivyo Maandiko matakatifu<br />
<strong>ya</strong>nakuwa na hazina <strong>ya</strong> ukweli iliyofunuliwa tu kwa wanyenyekevu, wanaopenda kuomba<br />
Mungu alichagua Biblia kuwa kitabu cha mafundisho <strong>ya</strong> wanadamu wote kuwa ufunuo wake<br />
mwenyewe. Kila ukweli uliotambuliwa ni uvumbuzi mup<strong>ya</strong> wa tabia <strong>ya</strong> Mwandishi wake.<br />
Kutoka kwa vyuo v<strong>ya</strong>o katika milima vijana wengine walitumwa kujifunza katika<br />
Ufaransa ao Italia, ambapo palikuwa na nafasi kubwa zaidi kwa mafundisho na uchunguzi<br />
kuliko katika inchi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> milima mirefu. Vijana waliotumwa walijihatarisha kwa majaribu.<br />
Walipambana na wajumbe wa Shetani waliowalazimisha mambo <strong>ya</strong> kipinga ukweli wa dini<br />
na madanganyo <strong>ya</strong> hatari. Lakini elimu <strong>ya</strong>o tokea utoto ikawata<strong>ya</strong>risha kwa jambo hili.<br />
Katika vyuo po pote walipokwenda hawakuweka tumaini lao kwa kitu cho chote. Mavazi<br />
<strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>lita<strong>ya</strong>rishwa kama kuficha hazina zao kubwa-Maandiko. Mara kwa mara walivyoweza<br />
waliweka kwa uangalifu sehemu za maandiko njiani mwa wale ambao mioyo <strong>ya</strong>o ilionekana<br />
kufunguliwa kwa kupokea ukweli. Waiiotubu na kukubali imani <strong>ya</strong> kweli walipatikana katika<br />
vyuo hii v<strong>ya</strong> elimu, mara kwa mara mafundisho <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kweli ikaenea kwa chuo chote<br />
kizima. Huku waongozi wa Papa hawakuweza kupata mwanzo wa kile walichoitwa<br />
“Upinzani wa mafundisho <strong>ya</strong> dini”.<br />
Vijana Walifundishwa Kuwa Wajumbe (wa injili)<br />
Wakristo Wavaudois walijisikia kuwa na madaraka makuu <strong>ya</strong> kutoa nuru <strong>ya</strong>o iangaze.<br />
Kwa uwezo wa Neno la Mungu walitafuta kuvunja utumwa ambao Roma ililazimisha.<br />
Wahudumu wa Wavaudois walipaswa kutumika kwa miaka tatu katika shamba la misioni<br />
kabla <strong>ya</strong> kuongoza kanisa nyumbani--chanzo cha kufaa kwa maisha <strong>ya</strong> mchungaji katika<br />
n<strong>ya</strong>kati ambazo roho za watu zinajaribiwa. Vijana waliona mbele <strong>ya</strong>o, si utajiri wa kidunia<br />
na sifa, bali taabu na hatari na labda mateso <strong>ya</strong> wafia dini. Wajumbe walitembea wawili<br />
wawili, kama vile Yesu alivyowatuma wanafunzi wake.<br />
Kama wangejulisha ujumbe wao wangeuletea kushindwa. Kila mhuburi alikuwa na ujuzi<br />
wa kazi fulani ao ufundi, na wajumbe waliendesha kazi <strong>ya</strong>o chini <strong>ya</strong> kifuniko cha mwito wa<br />
25