Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti (Waldenses) waliokana mamlaka ya Roma, wakakataa ibada ya sanamu kama kuabudu miungu, na wakashika Sabato ya kweli. (Tazama Nyongezo). Nyuma ya ngome za juu sana za milima Wavaudois wakapata mahali pa kujificha. Hawa wakimbizi waaminifu wakaonyesha watoto wao urefu wa munara juu yao katika ukuu na wakasema juu ya yule ambaye Neno lake linakuwa la kudumu kama milima ya milele. Mungu aliimarisha milima; si mkono lakini ule unaokuwa na uwezo usio na mwisho ungaliweza kuihamisha. Kwa namna ile ile akaimarisha sheria yake. Mkono wa mtu haungeweza kuongoa milima na kuitupa kwa nguvu baharini, kama vile hauwezi kubadili sheria moja ya Mungu. Wasafiri hawa hawakunungunika kwa sababu ya taabu ya mateso yao; hawakuwa peke yao katika ukiwa wa milima. Walijifurahisha katika uhuru wao kwa ibada. Kutoka ngome ya juu waliimba sifa za Mungu, na majeshi ya Roma hawakuweza kunyamazisha nyimbo zao za shukrani. Damani (Bei) ya Mafundisho ya Ukweli Mafundisho ya ukweli yalikuwa na bei kuliko nyumba na inchi, rafiki, jamaa, hata maisha yenyewe. Kutokea mwanzo wa utoto, vijana walifundishwa kuheshimu maagizo matakatifu ya sheria ya Mungu. Kurasa za Biblia zilikuwa chache; kwa hiyo maneno yake ya damani yaliwekwa kwa uwezo wa kukumbuka. Wengi waliweza kukariri sehemu nyingi za Agano la Kale na Agano Jipya. Walifundishwa toka utoto kuvumilia ugumu na kufikiri na kutenda kwa ajili ya wao wenyewe. Walifundishwa kuchukua madaraka, kujilinda kwa usemi, na kufahamu hekima ya utulivu. Neno moja la ujinga linaposikiwa kwa maadui wao lingeweza kuleta hasara ya maisha ya mamia ya wandugu, kwani kama vile mbwa mwitu katika kuwinda mawindo, maadui wa kweli wanawinda wale waliosubutu kutangaza uhuru wa imani ya dini. Wavaudois kwa uvumilivu walitaabika kwa ajili ya chakula chao. Kila mahali padogo pa udongo wa kulimiwa katikati ya milima palitumiwa vizuri. Kiasi katika utumizi wa feza na kujikana yakafanya sehemu ya elimu yao ambayo watoto walijifunza. Kazi ilikuwa ya taabu lakini yakufaa kwa afya, basi ndicho mtu anachohitaji katika hali yake ya kuanguka. Vijana walifundishwa kwamba nguvu zao zote ni za Mungu, zipate kusitawishwa kwa ajili ya kazi yake. Makanisa ya Wavaudois yalifanana na kanisa la nyakati za mitume. Kukataa mamlaka ya Papa na askofu, walishika Biblia kuwa na mamlaka yasiyoweza kukosa. Wachungaji wao, hawakufanana na mapadri wa kiburi wa Roma, wakalisha kundi la Mungu, kuwaongoza katika malisho ya majani mabichi na chemchemi ya Neno takatifu lake. Watu walikusanyika si ndani ya makanisa ya maridadi ao makanisa makuu ya majimbo, bali katika mabonde ya Milima mirefu, ao, katika wakati wa hatari, ndani ya ngome ya miamba, kwa kusikiliza maneno ya ukweli kutoka kwa watumishi wa Kristo. Wachungaji hawakuhubiri injili tu, walizuru wagonjwa na wakatumika kwa kuamusha umoja na upendo wa ndugu. Kama Paulo 24
Kupinga ya Kiprotestanti fundi wa kufanya hema, kila mmoja wao alijifunza kazi fulani ambayo kwayo, kama ni lazima, kingemusaidia kwa kujitegemea mwenyewe. Vijana walipata mafundisho yao kwa wachungaji wao. Biblia ilifanywa kuwa masomo ya mhimu. Injili za Matayo na Yoane ziliwekwa katika ukumbusho, pamoja na barua nyingine. Mara zingine katika mapango ya giza udongoni, kwa nuru ya mienge (torches), Maandiko matakatifu yaliandikwa, mstari kwa mstari. Malaika kutoka mbinguni wakazunguuka watumishi hawa waaminifu. Shetani alilazimisha mapadri wa Papa na maaskofu kuzika Neno la Ukweli chini ya machafu ya makosa na ibada ya uchawi. Lakini kwa namna ya ajabu likalindwa bila kuchafuliwa wakati wa miaka yote ya giza. Kama safina juu ya mawimbi mazito, Neno la Mungu linashinda zoruba zinazolitisha kuliharibu. Kama vile dini yamefikia bamba la jiwe lenye zahabu na feza iliyofichwa chini upande wa juu, ni vivyo hivyo Maandiko matakatifu yanakuwa na hazina ya ukweli iliyofunuliwa tu kwa wanyenyekevu, wanaopenda kuomba Mungu alichagua Biblia kuwa kitabu cha mafundisho ya wanadamu wote kuwa ufunuo wake mwenyewe. Kila ukweli uliotambuliwa ni uvumbuzi mupya wa tabia ya Mwandishi wake. Kutoka kwa vyuo vyao katika milima vijana wengine walitumwa kujifunza katika Ufaransa ao Italia, ambapo palikuwa na nafasi kubwa zaidi kwa mafundisho na uchunguzi kuliko katika inchi yao ya milima mirefu. Vijana waliotumwa walijihatarisha kwa majaribu. Walipambana na wajumbe wa Shetani waliowalazimisha mambo ya kipinga ukweli wa dini na madanganyo ya hatari. Lakini elimu yao tokea utoto ikawatayarisha kwa jambo hili. Katika vyuo po pote walipokwenda hawakuweka tumaini lao kwa kitu cho chote. Mavazi yao yalitayarishwa kama kuficha hazina zao kubwa-Maandiko. Mara kwa mara walivyoweza waliweka kwa uangalifu sehemu za maandiko njiani mwa wale ambao mioyo yao ilionekana kufunguliwa kwa kupokea ukweli. Waiiotubu na kukubali imani ya kweli walipatikana katika vyuo hii vya elimu, mara kwa mara mafundisho ya imani ya kweli ikaenea kwa chuo chote kizima. Huku waongozi wa Papa hawakuweza kupata mwanzo wa kile walichoitwa “Upinzani wa mafundisho ya dini”. Vijana Walifundishwa Kuwa Wajumbe (wa injili) Wakristo Wavaudois walijisikia kuwa na madaraka makuu ya kutoa nuru yao iangaze. Kwa uwezo wa Neno la Mungu walitafuta kuvunja utumwa ambao Roma ililazimisha. Wahudumu wa Wavaudois walipaswa kutumika kwa miaka tatu katika shamba la misioni kabla ya kuongoza kanisa nyumbani--chanzo cha kufaa kwa maisha ya mchungaji katika nyakati ambazo roho za watu zinajaribiwa. Vijana waliona mbele yao, si utajiri wa kidunia na sifa, bali taabu na hatari na labda mateso ya wafia dini. Wajumbe walitembea wawili wawili, kama vile Yesu alivyowatuma wanafunzi wake. Kama wangejulisha ujumbe wao wangeuletea kushindwa. Kila mhuburi alikuwa na ujuzi wa kazi fulani ao ufundi, na wajumbe waliendesha kazi yao chini ya kifuniko cha mwito wa 25
- Page 1 and 2: KUPINGA YA E KIPROTESTANTI Ellen Wh
- Page 3 and 4: KUPINGA YA KIPROTESTANTI ELLEN G. W
- Page 5 and 6: Ukurasa huu umeachwa tupu kwa makus
- Page 7 and 8: Shukrani Kitabu hiki ni kujitolea k
- Page 9 and 10: Kupinga ya Kiprotestanti
- Page 11 and 12: Kupinga ya Kiprotestanti Yaliyomo S
- Page 13 and 14: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 1. Un
- Page 15 and 16: Kupinga ya Kiprotestanti lilitukuzw
- Page 17 and 18: Kupinga ya Kiprotestanti Majeshi ya
- Page 19 and 20: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa. Na
- Page 21 and 22: Kupinga ya Kiprotestanti Shetani ba
- Page 23 and 24: Kupinga ya Kiprotestanti Wenye haki
- Page 25 and 26: Kupinga ya Kiprotestanti wakakatazw
- Page 27 and 28: Kupinga ya Kiprotestanti Injili ili
- Page 29 and 30: Kupinga ya Kiprotestanti Malaika wa
- Page 31: Kupinga ya Kiprotestanti Sasa roho
- Page 35 and 36: Kupinga ya Kiprotestanti Ujumbe wa
- Page 37 and 38: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 5. Nu
- Page 39 and 40: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 41 and 42: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 43 and 44: Kupinga ya Kiprotestanti wateteaji
- Page 45 and 46: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 47 and 48: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenendo w
- Page 49 and 50: Kupinga ya Kiprotestanti mwenyewe k
- Page 51 and 52: Kupinga ya Kiprotestanti Jerome aka
- Page 53 and 54: Kupinga ya Kiprotestanti Waongozi w
- Page 55 and 56: Kupinga ya Kiprotestanti Kutafuta A
- Page 57 and 58: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 59 and 60: Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
- Page 63 and 64: Kupinga ya Kiprotestanti Mungu haku
- Page 65 and 66: Kupinga ya Kiprotestanti “Ni wana
- Page 67 and 68: Kupinga ya Kiprotestanti Kukaribia
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
(Waldenses) waliokana mamlaka <strong>ya</strong> Roma, wakakataa ibada <strong>ya</strong> sanamu kama kuabudu<br />
miungu, na wakashika Sabato <strong>ya</strong> kweli. (Tazama Nyongezo).<br />
Nyuma <strong>ya</strong> ngome za juu sana za milima Wavaudois wakapata mahali pa kujificha. Hawa<br />
wakimbizi waaminifu wakaonyesha watoto wao urefu wa munara juu <strong>ya</strong>o katika ukuu na<br />
wakasema juu <strong>ya</strong> yule ambaye Neno lake linakuwa la kudumu kama milima <strong>ya</strong> milele. Mungu<br />
aliimarisha milima; si mkono lakini ule unaokuwa na uwezo usio na mwisho ungaliweza<br />
kuihamisha. Kwa namna ile ile akaimarisha sheria <strong>ya</strong>ke. Mkono wa mtu haungeweza kuongoa<br />
milima na kuitupa kwa nguvu baharini, kama vile hauwezi kubadili sheria moja <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Wasafiri hawa hawakunungunika kwa sababu <strong>ya</strong> taabu <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong>o; hawakuwa peke <strong>ya</strong>o<br />
katika ukiwa wa milima. Walijifurahisha katika uhuru wao kwa ibada. Kutoka ngome <strong>ya</strong> juu<br />
waliimba sifa za Mungu, na majeshi <strong>ya</strong> Roma hawakuweza kun<strong>ya</strong>mazisha nyimbo zao za<br />
shukrani.<br />
Damani (Bei) <strong>ya</strong> Mafundisho <strong>ya</strong> Ukweli<br />
Mafundisho <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>likuwa na bei kuliko nyumba na inchi, rafiki, jamaa, hata maisha<br />
yenyewe. Kutokea mwanzo wa utoto, vijana walifundishwa kuheshimu maagizo matakatifu<br />
<strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu. Kurasa za Biblia zilikuwa chache; kwa hiyo maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> damani<br />
<strong>ya</strong>liwekwa kwa uwezo wa kukumbuka. Wengi waliweza kukariri sehemu nyingi za Agano la<br />
Kale na Agano Jip<strong>ya</strong>.<br />
Walifundishwa toka utoto kuvumilia ugumu na kufikiri na kutenda kwa ajili <strong>ya</strong> wao<br />
wenyewe. Walifundishwa kuchukua madaraka, kujilinda kwa usemi, na kufahamu hekima <strong>ya</strong><br />
utulivu. Neno moja la ujinga linaposikiwa kwa maadui wao lingeweza kuleta hasara <strong>ya</strong><br />
maisha <strong>ya</strong> mamia <strong>ya</strong> wandugu, kwani kama vile mbwa mwitu katika kuwinda mawindo,<br />
maadui wa kweli wanawinda wale waliosubutu kutangaza uhuru wa imani <strong>ya</strong> dini.<br />
Wavaudois kwa uvumilivu walitaabika kwa ajili <strong>ya</strong> chakula chao. Kila mahali padogo pa<br />
udongo wa kulimiwa katikati <strong>ya</strong> milima palitumiwa vizuri. Kiasi katika utumizi wa feza na<br />
kujikana <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> sehemu <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong>o ambayo watoto walijifunza. Kazi ilikuwa <strong>ya</strong> taabu<br />
lakini <strong>ya</strong>kufaa kwa af<strong>ya</strong>, basi ndicho mtu anachohitaji katika hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kuanguka. Vijana<br />
walifundishwa kwamba nguvu zao zote ni za Mungu, zipate kusitawishwa kwa ajili <strong>ya</strong> kazi<br />
<strong>ya</strong>ke.<br />
Makanisa <strong>ya</strong> Wavaudois <strong>ya</strong>lifanana na kanisa la n<strong>ya</strong>kati za mitume. Kukataa mamlaka <strong>ya</strong><br />
Papa na askofu, walishika Biblia kuwa na mamlaka <strong>ya</strong>siyoweza kukosa. Wachungaji wao,<br />
hawakufanana na mapadri wa kiburi wa Roma, wakalisha kundi la Mungu, kuwaongoza<br />
katika malisho <strong>ya</strong> majani mabichi na chemchemi <strong>ya</strong> Neno takatifu lake. Watu walikusanyika<br />
si ndani <strong>ya</strong> makanisa <strong>ya</strong> maridadi ao makanisa makuu <strong>ya</strong> majimbo, bali katika mabonde <strong>ya</strong><br />
Milima mirefu, ao, katika wakati wa hatari, ndani <strong>ya</strong> ngome <strong>ya</strong> miamba, kwa kusikiliza<br />
maneno <strong>ya</strong> ukweli kutoka kwa watumishi wa Kristo. Wachungaji hawakuhubiri injili tu,<br />
walizuru wagonjwa na wakatumika kwa kuamusha umoja na upendo wa ndugu. Kama Paulo<br />
24