You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sasa roho <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kanisa la Roma ikafunuliwa. Akasema mwongozi wa Roma: “Kama<br />
hamutapokea wandugu wanaowaletea amani, mutapokea maadui watakaowaletea vita”. Vita<br />
na udanganyifu vikatumiwa juu <strong>ya</strong> washahidi hawa kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> Biblia, hata wakati<br />
makanisa <strong>ya</strong> Waingereza <strong>ya</strong> kaharibiwa au kulazimishwa kutii Papa.<br />
Katika inchi iliyokuwa mbali na mamlaka <strong>ya</strong> Roma, kwa karne nyingi miili <strong>ya</strong> Wakristo<br />
iliishi na usalama kidogo bila uovu wa kipapa. Waliendelea kutumia Biblia kuwa kiongozi<br />
pekee cha imani. Wakristo hawa waliamini umilele wa sheria <strong>ya</strong> Mungu na walishika Sabato<br />
<strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine. Makanisa walioshika imani hii na kuitumia waliishi katika Afrika <strong>ya</strong> Kati na<br />
miongoni mwa Waarmenia wa Asia.<br />
Kwa wale waliosimama imara mamlaka <strong>ya</strong> Papa, Wavaudois (Waldenses) walisimama wa<br />
kwanza. Katika inchi kanisa za Kiroma ziliimarisha kiti chake, makanisa <strong>ya</strong> Piedmont<br />
<strong>ya</strong>kadumisha uhuru wao. Lakini wakati ukakuja ambapo Roma ilishurutisha juu <strong>ya</strong> utii wao.<br />
Lakini wengine, walikataa kujitoa kwa Papa ao maaskofu, wakakusudia kulinda usafi na<br />
unyenyekevu wa imani <strong>ya</strong>o. Utengano ukatokea. Wale walioambatana na imani <strong>ya</strong> zamani<br />
sasa wakajitenga. Wengine, kwa kuacha inchi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> Alpes za milima mirefu (Alps),<br />
wakainua mwenge <strong>ya</strong> ukweli katika inchi za kigeni. Wengine wakakimbilia katika ngome za<br />
miamba <strong>ya</strong> milima na huko wakalinda uhuru wao wa kuabudu Mungu.<br />
Imani <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> dini iliimarishwa juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu lenye kuandikwa. Wakulima hao<br />
wanyenyekevu, waliofungiwa inje <strong>ya</strong> ulimwengu, hawakufikia wao wenyewe kwa ukweli<br />
katika upinzani wa mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la uasi. Imani <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong>o ilikuwa uriti wao kutoka<br />
kwa mababa zao. Walitoshelewa kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kanisa la mitume. “Kanisa jangwani”,<br />
sio serekali <strong>ya</strong> kanisa la kiburi iliyotawazwa katika mji mkubwa wa ulimwengu, lililokuwa<br />
kanisa la kweli la Kristo, mlinzi wa hazina za ukweli ambazo Mungu alizoweka kwa watu<br />
wake kwa kutolewa kwa ulimwengu.<br />
Miongoni mwa sababu muhimu zilizoongoza kwa utengano wa kanisa la kweli kutoka<br />
kwa kanisa la KiRoma ilikuwa ni uchuki wa kanisa hili juu <strong>ya</strong> Sabato <strong>ya</strong> Biblia. Kama<br />
ilivyotabiriwa na unabii, mamlaka <strong>ya</strong> kanisa la KiRoma likagandamiza sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />
katika mavumbi. Makanisa chini <strong>ya</strong> kanisa la Roma <strong>ya</strong>kalazimishwa kuheshimu siku <strong>ya</strong><br />
kwanza (Dimanche). Kwa kosa la kupita kawaida wengi miongoni mwa watu wa kweli wa<br />
Mungu wakafazaika sana hata ingawa walishika Sabato, wakaacha kutumika pia siku <strong>ya</strong><br />
kwanza <strong>ya</strong> juma (Dimanche). Lakini jambo hilo halikuwafurahisha waongozi wa Papa.<br />
Walilazimishwa kwamba Sabato ichafuliwe, na wakashitaki wale waliosubutu kuonyesha<br />
heshima <strong>ya</strong>ke.<br />
Mamia <strong>ya</strong> miaka kabla <strong>ya</strong> Matengenezo (Reformation) Wavaudois (Waldenses) walikuwa<br />
na Biblia katika lugha <strong>ya</strong>o yenyewe. Jambo hili likawatelea kuteswa kulikowengine.<br />
Wakatangaza Roma kuwa Babeli mkufuru wa Ufunuo. Katika hatari <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o<br />
wakasimama imara kushindana na maovu <strong>ya</strong>ke. Katika miaka <strong>ya</strong> uasi kulikuwa Wavaudois<br />
23