12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sasa roho <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kanisa la Roma ikafunuliwa. Akasema mwongozi wa Roma: “Kama<br />

hamutapokea wandugu wanaowaletea amani, mutapokea maadui watakaowaletea vita”. Vita<br />

na udanganyifu vikatumiwa juu <strong>ya</strong> washahidi hawa kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> Biblia, hata wakati<br />

makanisa <strong>ya</strong> Waingereza <strong>ya</strong> kaharibiwa au kulazimishwa kutii Papa.<br />

Katika inchi iliyokuwa mbali na mamlaka <strong>ya</strong> Roma, kwa karne nyingi miili <strong>ya</strong> Wakristo<br />

iliishi na usalama kidogo bila uovu wa kipapa. Waliendelea kutumia Biblia kuwa kiongozi<br />

pekee cha imani. Wakristo hawa waliamini umilele wa sheria <strong>ya</strong> Mungu na walishika Sabato<br />

<strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine. Makanisa walioshika imani hii na kuitumia waliishi katika Afrika <strong>ya</strong> Kati na<br />

miongoni mwa Waarmenia wa Asia.<br />

Kwa wale waliosimama imara mamlaka <strong>ya</strong> Papa, Wavaudois (Waldenses) walisimama wa<br />

kwanza. Katika inchi kanisa za Kiroma ziliimarisha kiti chake, makanisa <strong>ya</strong> Piedmont<br />

<strong>ya</strong>kadumisha uhuru wao. Lakini wakati ukakuja ambapo Roma ilishurutisha juu <strong>ya</strong> utii wao.<br />

Lakini wengine, walikataa kujitoa kwa Papa ao maaskofu, wakakusudia kulinda usafi na<br />

unyenyekevu wa imani <strong>ya</strong>o. Utengano ukatokea. Wale walioambatana na imani <strong>ya</strong> zamani<br />

sasa wakajitenga. Wengine, kwa kuacha inchi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> Alpes za milima mirefu (Alps),<br />

wakainua mwenge <strong>ya</strong> ukweli katika inchi za kigeni. Wengine wakakimbilia katika ngome za<br />

miamba <strong>ya</strong> milima na huko wakalinda uhuru wao wa kuabudu Mungu.<br />

Imani <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> dini iliimarishwa juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu lenye kuandikwa. Wakulima hao<br />

wanyenyekevu, waliofungiwa inje <strong>ya</strong> ulimwengu, hawakufikia wao wenyewe kwa ukweli<br />

katika upinzani wa mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la uasi. Imani <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong>o ilikuwa uriti wao kutoka<br />

kwa mababa zao. Walitoshelewa kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kanisa la mitume. “Kanisa jangwani”,<br />

sio serekali <strong>ya</strong> kanisa la kiburi iliyotawazwa katika mji mkubwa wa ulimwengu, lililokuwa<br />

kanisa la kweli la Kristo, mlinzi wa hazina za ukweli ambazo Mungu alizoweka kwa watu<br />

wake kwa kutolewa kwa ulimwengu.<br />

Miongoni mwa sababu muhimu zilizoongoza kwa utengano wa kanisa la kweli kutoka<br />

kwa kanisa la KiRoma ilikuwa ni uchuki wa kanisa hili juu <strong>ya</strong> Sabato <strong>ya</strong> Biblia. Kama<br />

ilivyotabiriwa na unabii, mamlaka <strong>ya</strong> kanisa la KiRoma likagandamiza sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

katika mavumbi. Makanisa chini <strong>ya</strong> kanisa la Roma <strong>ya</strong>kalazimishwa kuheshimu siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (Dimanche). Kwa kosa la kupita kawaida wengi miongoni mwa watu wa kweli wa<br />

Mungu wakafazaika sana hata ingawa walishika Sabato, wakaacha kutumika pia siku <strong>ya</strong><br />

kwanza <strong>ya</strong> juma (Dimanche). Lakini jambo hilo halikuwafurahisha waongozi wa Papa.<br />

Walilazimishwa kwamba Sabato ichafuliwe, na wakashitaki wale waliosubutu kuonyesha<br />

heshima <strong>ya</strong>ke.<br />

Mamia <strong>ya</strong> miaka kabla <strong>ya</strong> Matengenezo (Reformation) Wavaudois (Waldenses) walikuwa<br />

na Biblia katika lugha <strong>ya</strong>o yenyewe. Jambo hili likawatelea kuteswa kulikowengine.<br />

Wakatangaza Roma kuwa Babeli mkufuru wa Ufunuo. Katika hatari <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o<br />

wakasimama imara kushindana na maovu <strong>ya</strong>ke. Katika miaka <strong>ya</strong> uasi kulikuwa Wavaudois<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!