12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 4. Wanakinga Imani<br />

Katika mda mrefu wa mamlaka <strong>ya</strong> Papa, kulikuwa washahidi wa Mungu waliolinda<br />

imani katika Kristo kama mpatanishi wa pekee kati <strong>ya</strong> Mungu na mtu. Walishika Biblia kama<br />

kiongozi pekee kwa maisha, na kuheshimu Sabato <strong>ya</strong> kweli. Wakahesabiwa kama wapinga<br />

dini, maandiko <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kakomeshwa, kuelezwa viba<strong>ya</strong>, ao kuondolewa. Lakini wakasimama<br />

imara.<br />

Wanakuwa na nafasi ndogo katika maandiko <strong>ya</strong> wanadamu, ila tu katika mashitaki <strong>ya</strong><br />

watesi wao. Kila kitu “cha kupinga dini”, ikiwa ni watu ao maandiko, Roma alitafuta<br />

kuharibu. Roma ilijitahidi vile vile kuharibu kila kumbukumbu la maovu wake mbele <strong>ya</strong><br />

wasiokubali mafundisho <strong>ya</strong>ke. Kabla <strong>ya</strong> uvumbuzi wa ufundi wa kupiga chapa, vitabu<br />

vilikuwa vichache kwa hesabu; kwa hiyo juu <strong>ya</strong> uchache wa vitabu hii haikuzuia Waroma<br />

kutimiza kusudi lao. Kanisa la Roma lilipopata uwezo likanyoosha mikono <strong>ya</strong>ke kwa<br />

kuangamiza wote wale waliokataa kukubali utawala wake.<br />

Katika Uingereza dini <strong>ya</strong> Kikristo zamani za kale ilikuwa imekwisha kupata mizizi,<br />

haikuharibiwa na ukufuru wa Waroma. Mateso <strong>ya</strong> wafalme wa kipagani <strong>ya</strong>likuwa tu zawadi<br />

ambayo makanisa <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> Uingereza <strong>ya</strong>lipata kwa Roma. Wakristo wengi waliokimbia<br />

mateso katika Uingereza wakipata kimbilio katika Scotland. Kwa hiyo ukweli ukachukuliwa<br />

katika nchi <strong>ya</strong> Irlande, na katika inchi hizi ukweli ulikubaliwa kwa furaha.<br />

Wakati Wasaxons waliposhambulia Uingereza, upagani ukapata mamlaka, na Wakristo<br />

walilazimishwa kukimbilia milimani. Katika Scotland, karne moja baadaye, nuru ikaangazia<br />

inchi za mbali sana. Kutoka Irlande Columba akakuja na waidizi wake, waliofan<strong>ya</strong> kisiwa cha<br />

pekee cha Iona kuwa makao <strong>ya</strong> kazi zao za kueneza injili. Miongoni mwa wainjilisti hawa<br />

kulikuwa mchunguzi wa Sabato <strong>ya</strong> Biblia, na kwa hivyo ukweli huu ukaingizwa miongoni<br />

mwa watu. Masomo <strong>ya</strong>kaanzishwa pale Iona, ambamo wajumbe (missionnaires) walitoka na<br />

kwenda Scotland, Uingereza, Ujeremani, Uswisi, na hata Italia.<br />

Roma Inakutana na Dini <strong>ya</strong> Biblia<br />

Lakini Roma ilikusudia kuweka Uingereza chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke. Katika karne <strong>ya</strong> sita<br />

wajumbe (missionnaires) wake wakajaribu kutubisha Wasaxons wapagani. Jinsi kazi<br />

ilivyoendelea, waongozi wa kiPapa wakakutana na Wakristo wa zamani za kale -wapole,<br />

wanyenyekevu, wenye kupatana na maneno <strong>ya</strong> Maandiko katika tabia, mafundisho, na wa<br />

mwenendo mwema. Wale wakiroma walionyesha imani <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> uchawi, ukuu, na kiburi<br />

cha kipapa. Roma alilazimisha kwamba makanisa ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kikristo <strong>ya</strong>pate kukubali mamlaka<br />

<strong>ya</strong> askofu mkuu. Waingereza wakajibu kwamba Papa hakutajwa kuwa mkuu katika kanisa na<br />

wangeweza kumtolea tu utii ule unaofaa kwa kila mfuasi wa Kristo. Hawakujua bwana<br />

mwingine isipokuwa Kristo.<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!