12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Malaika wa Mungu alisimama, alipoandika kwa uaminifu ukumbusho wa maagizo <strong>ya</strong>o maovu<br />

<strong>ya</strong> kutisha na kuandika historia <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong>o maba<strong>ya</strong> sana kuonekana machoni pa watu.<br />

“Babeli Mkuu” “analewa kwa damu <strong>ya</strong> watakatifu”. Tazama Ufunuo 17:5,6. Miili iliyoteseka<br />

<strong>ya</strong> mamilioni <strong>ya</strong> wafia dini (martyrs) ikalalamika mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> kisasi juu <strong>ya</strong><br />

ule uwezo wa mkufuru.<br />

Papa akawa mtawala mkali peke <strong>ya</strong>ke wa dunia yote. Wafalme na wafalme wakubwa<br />

(empereurs) walitii maagizo <strong>ya</strong> askofu wa Roma. Kwa muda wa mamia <strong>ya</strong> miaka mafundisho<br />

<strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong>kakubaliwa na wengi. Waongozi wake wakaheshimiwa na kusaidiwa sana.<br />

Kamwe tangu wakati ule, kanisa la Roma lilikuwa halijafikia kadiri <strong>ya</strong> cheo kikubwa, cha<br />

fahari, ao uwezo wa namna ile. Lakini “azuhuri <strong>ya</strong> cheo cha Papa ilikuwa usiku wa manane<br />

wa wanadamu”.<br />

Maandiko matakatifu <strong>ya</strong>likuwa karibu bila kujulikana. Waongozi wa kanisa la Roma<br />

walichukia nuru iliyofunua zambi zao. Sheria <strong>ya</strong> Mungu, kipimo cha haki, ilipoondolewa,<br />

wakatumia uwezo bila kizuio. Majumba makubwa <strong>ya</strong> Papa na maaskofu <strong>ya</strong>likuwa monyesho<br />

<strong>ya</strong> upotovu wa machukizo. Maaskofu wengine walikuwa na makosa <strong>ya</strong> maovu sana hata<br />

wakajaribu kuwaondosha kama wan<strong>ya</strong>ma wa kutisha wasioweza kuvumiliwa. Kwa muda wa<br />

karne nyingi Ula<strong>ya</strong> haikufan<strong>ya</strong> maendeleo kamwe katika maarifa <strong>ya</strong> kweli, mambo <strong>ya</strong> ufundi<br />

na maendeleo <strong>ya</strong> jamii. Ukristo ukapatwa na kupooza kwa tabia na maarifa... Ndiyo <strong>ya</strong>likuwa<br />

matokeo <strong>ya</strong> kufukuza Neno la Mungu!<br />

21

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!