You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Huko ni Yerusalema Mp<strong>ya</strong>, muji mkubwa wa inchi mp<strong>ya</strong> yenye utukufu. “Mwangaza<br />
wake ulikuwa mfano wa jiwe la bei kubwa, kama jiwe la <strong>ya</strong>spi, safi kama bilauri”. “Na<br />
mataifa <strong>ya</strong> waliookolewa watatembea katika nuru <strong>ya</strong>ke. Na wafalme wa dunia wataleta<br />
utukufu na heshima <strong>ya</strong>o ndani <strong>ya</strong>ke”. “Tazama hema <strong>ya</strong> Mungu ni pamoja na watu, naye<br />
atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake, na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao,<br />
na atakuwa Mungu wao”. Ufunuo 21:11,24,3.<br />
Ndani <strong>ya</strong> Muji wa Mungu “wala hautakuwa usiku tena”. Ufunuo 22:5. Hautakuwa<br />
kuchoka tena. Tutaona ubaridi daima wa asubui bila mwisho wake. Nuru <strong>ya</strong> jua itatanguliwa<br />
na mwangaza wa ajabu ambao si wa kuumiza, lakini ambao unapita mbali sana mwangaza<br />
wa wakati wa saa sita yetu. Waliookolewa watatembea katika utukufu wa siku zote.<br />
“Nami sikuona hekalu ndani <strong>ya</strong>ke, kwa maana Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-<br />
Kondoo ndio hekalu lake”. Ufunuo 21:22. Watu wa Mungu wanakuwa na ruhusa <strong>ya</strong><br />
kuendelea kuwa na umoja wazi na Baba na Mwana. Sasa tunaangalia mufano wa Mungu<br />
kama katika kioo, lakini ndipo tutamwona uso kwa uso, pasipo pazia <strong>ya</strong> giza katikati.<br />
Ushindi wa Upendo wa Mungu<br />
Huko upendo na huruma ambavyo Mungu mwenyewe alivyopanda katika roho <strong>ya</strong>tapata<br />
mazoezi <strong>ya</strong> kweli na mazuri kabisa. Umoja ulio safi pamoja na viumbe vitakatifu na<br />
waaminifu wa vizazi vyote, vifungo takatifu vinavyofunga pamoja “jamaa lote mbinguni na<br />
duniani”--hivi vinasaidia kuanzisha furaha <strong>ya</strong> waliokombolewa. Waefeso 3:15.<br />
Huko, akili <strong>ya</strong> kuishi milele zitatazama sana na furaha <strong>ya</strong> milele maajabu <strong>ya</strong> uwezo wa<br />
uumbaji, siri za upendo wa ukombozi. Kila akili itakuzwa, kila uwezo wa kufahamu<br />
utaongezwa. Upataji wa maarifa hautaondoa utendaji. Mambo makubwa sana <strong>ya</strong>taendeshwa<br />
mbele, tamaa za juu sana zitafikiwa, tamaa za nguvu zitatimilika. Na tena hapo kutatokea<br />
vimo vip<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong> kushinda, maajabu map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kushangaa, kweli mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kufahamu, makusudi<br />
map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kuita nguvu za akili na roho na mwili.<br />
Mali yote <strong>ya</strong> ulimwengu itafunguliwa kwa waliokombolewa wa Mungu.<br />
Wanapofunguliwa kwa mauti, wataruka bila kuchoka kwa dunia za mbali. Watoto wa dunia<br />
wataingia katika furaha na hekima <strong>ya</strong> viumbe vile havikuanguka na kugawan<strong>ya</strong> hazina za<br />
maarifa <strong>ya</strong>liyopatikana kupitia vizazi kwa vizazi. Pamoja na ndoto isiyo na giza watatazama<br />
kwa utukufu wa uumbaji--jua na nyota na mambo yote, yote katika utaratibu wao ulioagizwa<br />
kuzunguka kiti cha enzi cha Mungu.<br />
Na miaka <strong>ya</strong> milele, kama inavyopita upesi, italeta daima na zaidi mambo <strong>ya</strong> funuo tukufu<br />
<strong>ya</strong> Mungu na <strong>ya</strong> Kristo. Watu watakavyojifunza zaidi habari <strong>ya</strong> Mungu, ndivyo zaidi<br />
watakayoshangaa juu <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong>ke. Kwa namna Yesu atakavyofunua mbele <strong>ya</strong>o utajiri wa<br />
ukombozi na kazi bora za kushangaza katika mashindano makubwa na Shetani, mioyo <strong>ya</strong><br />
waliokombolewa wanafurahi sana na kufan<strong>ya</strong> ibada, na sauti elfu kumi mara elfu kumi<br />
zinaungana kuongeza nguvu la itikio la wimbo wa sifa.<br />
277