You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
<strong>ya</strong>metimizwa. Kazi <strong>ya</strong> Shetani <strong>ya</strong> uharibifu imekomeshwa milele. Sasa viumbe v<strong>ya</strong> Mungu<br />
vimekombolewa milele kwa majaribu <strong>ya</strong>ke.<br />
Wakati dunia inapofunikwa kwa moto, wenye haki wanakaa kwa salama ndani <strong>ya</strong> Mji<br />
Mutakatifu. Wakati Mungu anakuwa kwa waovu kama moto unaoteketeza, anakuwa ngao<br />
kwa watu wake. Tazama Ufunuo 20:6; Zaburi 84:11.<br />
“Nikaona mbingu mp<strong>ya</strong> na dunia mp<strong>ya</strong>; kwa maana mbingu za kwanza na dunia <strong>ya</strong><br />
kwanza zimekwisha kupita”. Ufunuo 21:1. Moto utakaoteketeza waovu utasafisha dunia. Kila<br />
alama <strong>ya</strong> laana imeondolewa mbali. Hakuna jehanum inayowaka milele itakayoendelea mbele<br />
<strong>ya</strong> waliokombolewa matokeo <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong> zambi.<br />
Kumbusho <strong>ya</strong> Kusulubiwa<br />
Ukumbusho moja peke unaodumu: Mkombozi wetu atachukua hata milele alama za<br />
kusulubiwa kwake, alama pekee za kazi <strong>ya</strong> ukali ambazo zambi imetenda. Katika miaka <strong>ya</strong><br />
milele vidonda v<strong>ya</strong> Kalvari vitaendelea kuonyesha sifa <strong>ya</strong>ke na vitatangaza uwezo wake.<br />
Kristo alihakikishia wanafunzi wake <strong>ya</strong> kwamba alikwenda kuandalia makao kwa ajili <strong>ya</strong>o<br />
katika nyumba <strong>ya</strong> Baba <strong>ya</strong>ke. Lugha wala maneno <strong>ya</strong> binadamu ha<strong>ya</strong>toshi kueleza zawadi <strong>ya</strong><br />
wenye haki. Itajulikana tu kwa wale wanaoitazama. Hakuna wazo lenye mpaka linaloweza<br />
kufahamu utukufu wa Paradiso <strong>ya</strong> Mungu!<br />
Katika Biblia uriti wa waliokombolewa unaitwa “inchi”. Waebrania 11:14-16. Huko<br />
Mchungaji wa mbinguni ataongoza kundi lake kwa chemchemi za maji <strong>ya</strong> uzima. Huko<br />
kunakuwa na vijito vyenye kutiririka, safi kama jiwe lingaalo, na pembeni <strong>ya</strong>o miti yenye<br />
kutikisika inayotupa vivuli v<strong>ya</strong>o kwa njia zilizota<strong>ya</strong>rishwa kwa ajili <strong>ya</strong> waliokombolewa wa<br />
Bwana. Inchi kubwa tambarere zinainuka kuwa vilima v<strong>ya</strong> uzuri, na milima <strong>ya</strong> Mungu<br />
inapandisha vilele v<strong>ya</strong>o virefu. Katika inchi tambarare hizo za amani, pembeni <strong>ya</strong> vijito hivyo<br />
v<strong>ya</strong> uzima, watu wa Mungu, waliokuwa wasafiri na wanaohangaika watapata makao.<br />
“Nao watajenga nyumba, na kukaa ndani <strong>ya</strong>ke; na watapanda mizabibu, na watakula<br />
matunda <strong>ya</strong>ke: hawatajenga na mtu mwingine kukaa ndani <strong>ya</strong>ke; hawatapanda, na mtu<br />
mwingine kula matunda <strong>ya</strong>ke: ... Na wachaguliwa wangu watafurahia kazi <strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong>o”.<br />
“Jangwa na inchi kavu zitafurahi; na jangwa litashangilia na kutoa maua kama waridi”. “Na<br />
imbwa mwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala chini pamoja na mwanambuzi;<br />
na mtoto mudogo atawaongoza... Hawataumiza wala kuharibu wote katika mulima<br />
wangu wote mtakatifu”. Isa<strong>ya</strong> 65:21, 22; 35:1; 11:6,9.<br />
Maumivu ha<strong>ya</strong>wezi kuwako mbinguni. Hakutakuwa na machozi tena, Hakutakuwa tena<br />
mafuatano <strong>ya</strong> maziko. “Wala mauti haitakuwa tena; wala maombolezo, wala kilio: ... kwa<br />
maana maneno <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>mekwisha kupita”. “Wala hapana mwenyeji atakayesema, mimi<br />
ni mgonjwa; watu wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke watasamehewa uovu wao”. Ufunuo 21:4; Isa<strong>ya</strong><br />
33:24.<br />
276