Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kila swali la kweli na kosa katika mashindano <strong>ya</strong> siku nyingi limefanywa wazi sasa.<br />
Matokeo <strong>ya</strong> kuweka pembeni sheria za Mungu <strong>ya</strong>mewekwa wazi mbele <strong>ya</strong> macho <strong>ya</strong> viumbe<br />
vyote. Historia <strong>ya</strong> zambi itasimama milele kwa wote kama ushuhuda <strong>ya</strong> kwamba pamoja na<br />
kuwako kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu kunafungwa furaha <strong>ya</strong> viumbe vyote alivyoviumba. Viumbe<br />
vyote, v<strong>ya</strong> uaminifu na vyenye uasi, kwa mapatano pamoja vinatangaza, “Haki na kweli njia<br />
zako, wewe Mfalme wa watakatifu”.<br />
Saa imefika wakati Kristo anapashwa kutukuzwa juu <strong>ya</strong> kila jina linalotajwa. Kwa ajili <strong>ya</strong><br />
furaha inayowekwa mbele <strong>ya</strong>ke--<strong>ya</strong> kwamba aliweza kuleta wana wengi katika utukufu--<br />
akavumilia msalaba. Anaangalia kwa waliookolewa, waliofanywa up<strong>ya</strong> kwa mfano wake<br />
mwenyewe. Anatazama ndani <strong>ya</strong>o matokeo <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>ke, na anatoshelewa. Isa<strong>ya</strong><br />
53:11. Kwa sauti ambayo inawafikia makutano, wenye haki na waovu, anatangaza: “Tazama<br />
biashara wa damu <strong>ya</strong>ngu! Kwa ajili <strong>ya</strong> hawa niliteseka, kwa ajili <strong>ya</strong> hawa nilikufa”.<br />
Mwisho Mkali Sana wa Waovu<br />
Tabia <strong>ya</strong> Shetani inaendelea bila kubadilika. Uasi kama maji mengi yenye kupita kwa<br />
nguvu tena <strong>ya</strong>mejipenyeza kwa nguvu. Anakusudia kutoacha vita yenye kukata tamaa <strong>ya</strong><br />
mwisho <strong>ya</strong> kupambana na Mfalme wa mbinguni. Lakini kwa mamilioni isiyohesabika yote<br />
ambayo aliyoshawishi katika uasi, hakuna anayekubali sasa mamlaka <strong>ya</strong>ke. Waovu<br />
wamejazwa na uchuki wa namna moja kwa Mungu unaoongozwa na Shetani, lakini wanaona<br />
<strong>ya</strong> kwamba hoja lao halina matumaini. “Kwa sababu umeweka moyo wako kama moyo wa<br />
Mungu, kwa hivi, tazama, nitaleta wageni juu <strong>ya</strong>ko, watu wa mataifa wenye kuogopesha, na<br />
watachomoa panga zao juu <strong>ya</strong> uzuri wa hekima <strong>ya</strong>ko, nao watatia uchafu kungaa kwako.<br />
Watakuleta chini kwa shimo. ... nitakuharibu, Ee kerubi la kufunika, kutoka katikati <strong>ya</strong> mawe<br />
<strong>ya</strong> moto... nitakutupa hata inchi, nitakulaza mbele <strong>ya</strong> wafalme, wapate kukuona ... nitakufan<strong>ya</strong><br />
kuwa majivu juu <strong>ya</strong> inchi mbele <strong>ya</strong> wote wanaokutazama ... utakuwa maogopesho, wala<br />
hutakuwa tena hata milele”. Ezekieli 28:6-8, 16-19.<br />
“Maana kasirani kali <strong>ya</strong> Bwana ni juu <strong>ya</strong> mataifa yote”. “Atanyeshea waovu mitego; Moto<br />
na kiberiti na upepo wa kuchoma zitakuwa fungu la kikombe chao”. Isa<strong>ya</strong> 34:2; Zaburi 11:6.<br />
Moto utashuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Dunia itaharibika. Miako <strong>ya</strong> moto unaoteketeza<br />
inatoka kwa nguvu kutoka kwa kila shimo kubwa linalokuwa wazi. Miamba halisi inakuwa<br />
motoni. Na viumbe v<strong>ya</strong> asili vitayeyushwa kwa moto mkali, na inchi na kazi zilizo ndani <strong>ya</strong>ke<br />
zitateketea. 2 Petro 3:10. Uso wa dunia utaonekana kama fungu moja kubwa lililoyeyuka--,<br />
ziwa la moto lililochafuka. Maana ni “siku <strong>ya</strong> kisasi cha Bwana, mwaka wa malipo, kwa<br />
ubishi wa Sayuni”. Isa<strong>ya</strong> 34:8.<br />
Waovu wanaazibiwa “kama ilivyo kazi <strong>ya</strong>o”. Shetani atateswa si kwa ajili <strong>ya</strong> uasi wake<br />
pekee, bali kwa ajili <strong>ya</strong> zambi zote alizozilazimisha watu wa Mungu kuzitenda. Katika ndimi<br />
za moto waovu watakuwa kwa maangamizi <strong>ya</strong> mwisho, shina na matawi-Shetani ni shina<br />
lenyewe na wafuasi wake ni matawi. Azabu kamili <strong>ya</strong> sheria ilijiliwa; matakwa <strong>ya</strong> haki<br />
275