Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Ulimwengu mzima wenye uovu unasimama kwakushitaki kwa ajili <strong>ya</strong> maasi makubwa<br />
juu <strong>ya</strong> kupinga serkali <strong>ya</strong> mbinguni. Hawana yeyote kwa kutetea maneno <strong>ya</strong>o; hawana sababu<br />
yo yote; na hukumu <strong>ya</strong> mauti <strong>ya</strong> milele inatangazwa juu <strong>ya</strong>o.<br />
Waovu wanaona kile walichopotewa kwa sababu <strong>ya</strong> uasi wao. “Yote hii”, nafsi iliyopotea<br />
inalia, “ningaliweza kuwa nayo, Ee, upumbafu wa namna gani! nimebadili amani, furaha, na<br />
heshima kwa ajili <strong>ya</strong> uba<strong>ya</strong>, sifa mba<strong>ya</strong>, na kukata tamaa”. Wote wanaona <strong>ya</strong> kwamba<br />
kufukuzwa kwao mbinguni ni kwa haki. Katika maisha <strong>ya</strong>o wametangaza: “Hatuwezi kuwa<br />
na mtu huyu (Yesu) kutawala juu yetu”.<br />
Shetani Ameshindwa<br />
Kama vile katika bumbuanzi waovu wanatazama ibada <strong>ya</strong> kuvikwa kwa taji kwa Mwana<br />
wa Mungu. Wanaona mikononi mwake mbao za sheria <strong>ya</strong> Mungu walizozizarau.<br />
Wanashuhudia nguvu <strong>ya</strong> ibada kutoka kwa waliookolewa; na kama wimbi la sauti za nyimbo<br />
zinapoenea kwa makutano inje <strong>ya</strong> mji, wote wanapaaza sauti, “Haki na kweli ndizo njia zako,<br />
wewe Mfalme wa watakatifu”. Ufunuo 15:3. Kwa kuanguka na kumusujudu, wakamuabudu<br />
mfalme wa uzima.<br />
Shetani anaonekana kama anahangaika. Mara kerubi wa kufunika, anakumbuka mahali<br />
gani ameanguka. Kutoka kwa baraza pahali alipoheshimiwa zamani ameondolewa milele.<br />
Anaona sasa mwingine anayesimama karibu <strong>ya</strong> Baba, malaika wa umbo lenye utukufu.<br />
Anajua <strong>ya</strong> kwamba cheo cha malaika huyu kingeweza kuwa chake.<br />
Ufahamu unakumbuka makao <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> usafi, amani na kutoshelewa ilivyokuwa<br />
<strong>ya</strong>ke mpaka wakati wa uasi wake. Anakumbuka kazi <strong>ya</strong>ke miongoni mwa watu na matokeo<br />
<strong>ya</strong>ke--uadui wa mtu kwa watu wenzake, maangamizi <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong> maisha, kupinduka kwa<br />
viti v<strong>ya</strong> enzi, makelele, vita, na mapinduzi. Anakumbuka bidii zake za daima kwa kupinga<br />
kazi <strong>ya</strong> Kristo. Anapoangalia matunda <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke anaona tu kushindwa. Mara kwa mara<br />
katika maedeleo <strong>ya</strong> vita kuu amekuwa akishindwa na kulazimishwa kuacha.<br />
Kusudi la muasi mkuu lilikuwa daima kuhakikisha kuwa serkali <strong>ya</strong> Mungu ndiyo<br />
msimamizi wa uasi. Ameongoza makundi mengi kukubali maelezo <strong>ya</strong>ke. Kwa maelfu <strong>ya</strong><br />
miaka mkuu huyu wa mapatano <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong> ameficha uwongo kuwa haki. Lakini<br />
wakati umefika sasa wakati historia na tabia <strong>ya</strong> Shetani zitakapofunuliwa. Katika juhudi <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>ya</strong> mwisho kwa kuondoa Kristo kwa kiti cha enzi, kuharibu watu Wake, na kukamata makao<br />
<strong>ya</strong> Mji wa Mungu, mshawishi mkubwa amekwisha kufunuliwa kabisa. Wale waliojiunga naye<br />
wanaona kushindwa kabisa kwa kazi <strong>ya</strong>ke.<br />
Shetani anaona <strong>ya</strong> kwamba uasi wake wa mapenzi haukumstahilisha kuingia mbinguni.<br />
Amezoeza nguvu zake kwa vita kumpinga Mungu; usafi na umoja wa mbinguni ungekuwa<br />
kwake mateso makubwa. Anainama chini na kukubali haki <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke.<br />
274