You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
ambayo waliimarisha kwa anasa katika zambi, wajumbe wa Mungu waliozarauliwa, maonyo<br />
<strong>ya</strong>liyokataliwa, mawimbi <strong>ya</strong> rehema <strong>ya</strong>liyorudishwa kwa ukaidi, moyo usiotubu--yote<br />
inaonekana kama <strong>ya</strong>meandikwa kwa maandiko <strong>ya</strong> moto.<br />
Juu <strong>ya</strong> kiti cha enzi kunafunuliwa msalaba. Kwa maoni kamili kukatokea mambo <strong>ya</strong><br />
kuanguka kwa Adamu na hatua za kufuatana katika shauri la wokovu. Kuzaliwa kwa<br />
unyenyekevu kwa Mwokozi; maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kawaida; ubatizo wake katika Yorodani;<br />
kufunga na majaribu katika jangwa; huduma <strong>ya</strong>ke kufunua kwa watu mibaraka <strong>ya</strong> mbinguni;<br />
siku zilizojaa na matendo <strong>ya</strong> rehema, usiku wa kukesha katika maombi kule milimani;<br />
mashauri <strong>ya</strong> hila <strong>ya</strong> tamaa na uovu ambayo <strong>ya</strong>lilipa faida zake; maumivu makali <strong>ya</strong> siri katika<br />
Getesemane chini <strong>ya</strong> uzito wa zambi za ulimwengu; usaliti wake kwa kundi la wauaji,<br />
matukio <strong>ya</strong> usiku ule wa kitisho kikuu-mfungwa asiyeshindana aliyeachwa na wanafunzi<br />
wake, aliyeshitakiwa katika jumba la kuhani mkuu, katika chumba kikubwa cha hukumu cha<br />
Pilato, mbele <strong>ya</strong> Herode mwenye hofu, aliyechekelewa, kutukanwa, kuteswa, na kuhukumiwa<br />
kufa--yote <strong>ya</strong>naelezwa kwa wazi.<br />
Na sasa mbele <strong>ya</strong> makutano <strong>ya</strong>liyowa<strong>ya</strong>wa<strong>ya</strong> maoni <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong>nafunuliwa; Mteswaji<br />
mvumulivu akakan<strong>ya</strong>nga njia <strong>ya</strong> Kalvari; Mfalme wa mbinguni kutundikwa msalabani;<br />
makuhani na walimu wakachekelea maumivu makali <strong>ya</strong> kukata roho <strong>ya</strong>ke; giza kubwa sana<br />
kuonyesha wakati wakati Mkombozi wa ulimwengu alipotoa maisha <strong>ya</strong>ke.<br />
Ajabu <strong>ya</strong> kutisha inaonekana kama tu ilivyokuwa. Shetani na watu wake hawana uwezo<br />
wa kugeuza na kutoka kwa picha. Yeyote aliyehusika kwa kufan<strong>ya</strong> tendo anakumbuka<br />
sehemu aliyoifan<strong>ya</strong>. Herode, aliyewaua watoto wasiokuwa na kosa wa Betelehemu; chanzo<br />
Herodias, ambaye juu <strong>ya</strong> nafsi <strong>ya</strong>ke kunadumu damu <strong>ya</strong> Yoane Mtabizaji; mzaifu, Pilato<br />
mwenye kulinda wakati; askari wenye kuchekelea; msongano wa watu wenye wazimu<br />
waliopaaza sauti, “damu <strong>ya</strong>ke na iwe juu yetu, na juu <strong>ya</strong> watoto wetu”! --kutafuta namna yote<br />
bila kuweza kujificha kutoka kwa utukufu wa uso wake Mungu, wakati waliokombolewa<br />
wanapotupa taji zao kwa miguu <strong>ya</strong> Mwokozi, kuapaaza sauti, “Alikufa kwa ajili <strong>ya</strong>ngu”!<br />
Hapo kuna Neno, mkatili mkali na muovu, kutazama utukufu wa wale aliowatesa na kwa<br />
maumuvu <strong>ya</strong>o akapata furaha <strong>ya</strong> kishetani. Mama <strong>ya</strong>ke anashuhudia kazi <strong>ya</strong>ke mwenyewe,<br />
namna gani tamaa alizoendelesha na mvuto wake na mfano zimezaa matunda katika mauaji<br />
<strong>ya</strong>liyoletea dunia kutetemeka.<br />
Hapo kunakuwa mapadri wa Papa na maaskofu waliojidai kuwa mabalozi wa Kristo, huku<br />
walipokuwa wakitumia mbao zenye v<strong>ya</strong>ngo v<strong>ya</strong> kutundikia watu, gereza, na kigingi kwa<br />
kutawala watu Wake. Hapo panakuwa maaskofu wenye kiburi waliojiinua wenyewe juu <strong>ya</strong><br />
Mungu na wakasubutu kugeuza sheria <strong>ya</strong> Mungu Aliye juu. Wale waliojidai kuwa wababa<br />
wanakuwa na hesabu <strong>ya</strong> kutoa kwa Mungu. Kwa mda kitambo unapopita wamefanywa kuona<br />
<strong>ya</strong> kwamba Mwenye Kujua yote anakuwa na wivu wa sheria <strong>ya</strong>ke. Wanajifunza sasa <strong>ya</strong><br />
kwamba Kristo anatambua faida zake pamoja na watu wake wanaoteseka.<br />
273