12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Shetani anashauriana pamoja na watu kuwa wakubwa. Wanatangaza <strong>ya</strong> kwamba jeshi<br />

ndani <strong>ya</strong> mji ni ndogo kwa kulinganisha na la kwao na linaweza kushindwa. Wafundi wa ujuzi<br />

wanafan<strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong> vita. Waongozi wa askari wanapanga watu wa vita katika makundi<br />

na sehemu.<br />

Mwishoni agizo la kuendelea mbele linatolewa, na jeshi lisilohesabika likaendelea, jeshi<br />

ambalo nguvu zenye kuunganika za vizazi vyote hazikuweza kamwe kuwa sawa. Shetani<br />

anakuwa mbele, wafalme na waaskari nao wanafuata. Kwa utaratibu wa kiaskari makundi<br />

katika mistari <strong>ya</strong>kaendelea mbele <strong>ya</strong> uso wa dunia iliyovunjika hata kwa Mji wa Mungu. Kwa<br />

agizo la Yesu, milango <strong>ya</strong> Yerusalema Mp<strong>ya</strong> ikafungwa, na majeshi <strong>ya</strong> Shetani<br />

<strong>ya</strong>najita<strong>ya</strong>risha kwa kushambulia.<br />

Sasa Kristo anatokea kutazama adui zake. Mbali juu <strong>ya</strong> mji, juu <strong>ya</strong> msingi wa zahabu<br />

yenye kungaa, ni kiti cha enzi. Juu <strong>ya</strong> kiti hiki cha enzi Mwana wa Mungu anakaa, na pembeni<br />

<strong>ya</strong>ke ni raia <strong>ya</strong> ufalme wake. Utukufu wa Baba wa Milele unamuzunguka Mwana wake.<br />

Kungaa kwa kuwako kwake kunatoka juu <strong>ya</strong> milango, kujaza dunia na mwangaza.<br />

Karibu sana na kiti cha enzi kunakuwa wale waliokuwa zamani na bidii katika kazi <strong>ya</strong><br />

Shetani, lakini walipo ondoshwa kama vinga kutoka motoni, wakafuata Mwokozi wao kwa<br />

bidii sana. Wanaofuata ni wale waliokamilisha tabia katikati <strong>ya</strong> uwongo na uasi,<br />

walioheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu wakati walimwengu walipoitangaza kuwa iliondolewa, na<br />

mamilioni, wa vizazi vyote, waliouawa kama wafia dini kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>o. Mbali zaidi<br />

kunakuwa “makutano makubwa sana <strong>ya</strong>siyoweza mtu ku<strong>ya</strong>hesabu, watu wa kila taifa, na<br />

kabila, na jamaa, na lugha, ... wamevikwa mavazi myeupe, na matawi <strong>ya</strong> mitende katika<br />

mikono <strong>ya</strong>o”. Ufunuo 7:9 . Vita <strong>ya</strong>o imemalizika, ushindi wao umepatikana. Tawi la ngazi<br />

linafananisha shangwe, nguo yeupe ni alama <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> Kristo ambayo saa imekuwa <strong>ya</strong>o.<br />

Katika msongano wote ule pale hakuna watu wa kuhesabia wokovu kwao wenyewe kwa<br />

wema wao wenyewe. Hakuna kitu kinachosemwa cha kile walichoteseka nacho; sauti <strong>ya</strong><br />

msingi <strong>ya</strong> kila wimbo wa sifa ni, Wokovu kwa Mungu wetu na kwa Mwana-Kondoo.<br />

Hukumu Inatangazwa Juu <strong>ya</strong> Waasi<br />

Mbele <strong>ya</strong> wakaaji waliokusanyika wa dunia na wa mbinguni kwa mkutano na kuviikwa<br />

taji kwa Mwana wa Mungu. Na sasa, kuvikwa mamlaka makubwa na uwezo, Mfalme wa<br />

wafalme anatangaza hukumu juu <strong>ya</strong> waasi waliovunja sheria <strong>ya</strong>ke na kutesa watu wake.<br />

“Nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, naye anayeketi juu <strong>ya</strong>ke, dunia na mbingu<br />

zikakimbia uso wake; na pahali pao hapakuonekana. Nikaona wafu, wakubwa na wadogo,<br />

wamesimama mbele <strong>ya</strong> Mungu, na vitabu vikafunuliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa,<br />

kilicho cha uzima; na wafu wakahukumiwa katika mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyoandikwa katika vile<br />

vitabu, sawasawa na matendo <strong>ya</strong>o”. Ufunuo 20:11, 12.<br />

Wakati jicho la Yesu linapoangalia juu <strong>ya</strong> waovu, wanakuwa na ufahamu wa kila zambi<br />

waliyoitenda. Wanaona pahali miguu <strong>ya</strong>o ilipoacha njia <strong>ya</strong> utakatifu. Majaribu <strong>ya</strong> kuvuta<br />

272

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!