12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Ni ajabu <strong>ya</strong> namna gani tofauti kati <strong>ya</strong> askofu mwenye kiburi na upole na utulivu wa Kristo<br />

anayejionyesha mwenyewe kama mwenye kuomba ruhusa kwa mlango wa moyo.<br />

Alifundisha wanafunzi wake: “Naye anayetaka kuwa wa kwanza katikati yenu atakuwa<br />

mtumwa wenu” Matayo 20:27.<br />

Namna Mafundisho <strong>ya</strong> Uongo Yaliingia<br />

Hata mbele <strong>ya</strong> kuanzishwa kwa cheo cha Papa mafundisho <strong>ya</strong> watu wapagani wenye<br />

maarifa wakapata usikizi na kutumia muvuto wao katika kanisa. Wengi waliendelea<br />

kujifungia kwa mafundisho <strong>ya</strong> maarifa zote <strong>ya</strong> kipagani na wakalazimisha wengine kujifunza<br />

elimu ile kama njia <strong>ya</strong> kueneza mvuto wao katikati <strong>ya</strong> wapagani. Ndipo makosa makubwa<br />

<strong>ya</strong>kaingizwa katika imani <strong>ya</strong> Kikristo.<br />

Mojawapo miongoni mwa makosa ha<strong>ya</strong> makubwa <strong>ya</strong> wazi ni imani <strong>ya</strong> kutokufa kwa roho<br />

<strong>ya</strong> mtu na ufahamu wa nafsi katika mauti. Mafundisho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liweka msingi ambao Roma<br />

ikaanzisha sala kwa watakatifu na ibada <strong>ya</strong> Bikira Maria. Kutokana na hiyo, uzushi juu <strong>ya</strong><br />

mateso <strong>ya</strong> milele kwa ajili <strong>ya</strong> mtu asiyetubu, ambayo <strong>ya</strong>liingizwa mwanzoni katika imani <strong>ya</strong><br />

Papa.<br />

Ndipo njia ikatengenezwa kwa kuingiza uvumbuzi mwingine wa kipagani, ambao Roma<br />

iliita “toharani”, na iliotumiwa kwa kuogopesha makundi <strong>ya</strong> wajinga na <strong>ya</strong> kuamini mambo<br />

<strong>ya</strong> uchawi. Usishi huu uliamini kuwako kwa pahali pa mateso ambapo roho zisizostahili<br />

hukumu <strong>ya</strong> milele, zinapaswa kuteseka juu <strong>ya</strong> malipizi <strong>ya</strong> zambi zao, na kutoka pale, zikiisha<br />

takaswa, zinakubaliwa mbinguni (Tazama Nyongezo).<br />

Uvumbuzi mwingine ukahitajiwa, kuwezesha Roma kupata faida kwa njia <strong>ya</strong> woga na<br />

makosa <strong>ya</strong> wafuasi wake. Huu ulitolewa na mafundishojuu <strong>ya</strong> ununuzi wa huruma<br />

(indulgences). Ondoleo nzima la zambi za sasa, zilizopita na za wakati ujao liliahidiwa kwa<br />

wale waliojitoa kwa vita vilivyofanywa na Papa kwa ajili <strong>ya</strong> kupanua mamlaka <strong>ya</strong>ke, kwa<br />

kulipiza adui zake ao kuangamiza wale waliosubutu kukataa mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kiroho. Kwa<br />

njia <strong>ya</strong> kulipa mali katika kanisa wanaweza kujiokoa katika zambi zao, na pia kuokoa roho za<br />

rafiki zao zinazoteseka katika miako <strong>ya</strong> moto. Kwa njia hiyo Roma ikajaza masanduku<br />

makubwa <strong>ya</strong>ke na kusaidia fahari <strong>ya</strong>ke, anasa na uovu wa kujidai kuwa wajumbe wa Yule<br />

asiyekuwa na pahali pa kuweka kichwa chake (Tazama Nyongezo).<br />

Meza <strong>ya</strong> Bwana likapigwa na kafara <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> misa. Mapadri wa Papa<br />

wakajidai kufan<strong>ya</strong> mkate na divai v<strong>ya</strong> Meza <strong>ya</strong> Bwana kuwa mwili wa kweli na damu <strong>ya</strong><br />

kweli <strong>ya</strong> Bwana Yesu Kristo”. Kwa majivuno <strong>ya</strong> kutukana Mungu, kwa wazi wakadai uwezo<br />

wa kuumba Mungu, Muumba wa vitu vyote. Wakristo wakalazimishwa maumivu <strong>ya</strong> kifo,<br />

kuungama imani <strong>ya</strong>o katika uzushi wa machukizo <strong>ya</strong> kutukana mbingu.<br />

Katika karne <strong>ya</strong> kumi na tatu kile chombo kikali sana kati <strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong> Papa<br />

kikaanzishwa-Baraza kuu la kuhukumia wazushi wa dini (Inquisition). Katika mabaraza <strong>ya</strong>o<br />

<strong>ya</strong> siri Shetani na malaika zake walitawala roho za watu waovu. Bila kuonekana katikati<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!