You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 42. Vita Imemalizika<br />
Kwa mwisho wa miaka 1000, Kristo anarudi duniani akisindikizwa na waliokombolewa<br />
na jamii <strong>ya</strong> malaika. Anaagiza wafu waovu watoke kupokea maangamizi <strong>ya</strong>o. Wanatoka,<br />
wengi sana kama mchanga wa bahari, wanapokuwa na alama za ugonjwa na mauti. Tofauti<br />
namna gani kwa wale waliofufuka katika ufufuko wa kwanza!<br />
Macho yote inageuka kutazama utukufu wa Mwana wa Mungu. Kwa sauti moja majeshi<br />
<strong>ya</strong> waovu wanapaza sauti: “Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana”! Matayo 23:39. Si<br />
mapendo <strong>ya</strong>nayoongoza maneno ha<strong>ya</strong>. Nguvu <strong>ya</strong> kweli inalazimisha maneno kutoka kwa<br />
midomo isiyotaka. Kama vile waovu walivyokwenda katika makaburi, ndivyo hivyo<br />
wanafufuka pamoja na uadui wa namna moja kwa Kristo na roho <strong>ya</strong> namna ileile <strong>ya</strong> uasi.<br />
Hawatapewa wakati wa rehema mp<strong>ya</strong> kwa kuponyesha maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> wakati uliopita.<br />
Nabii anasema: “Na miguu <strong>ya</strong>ke itasimama siku ile juu <strong>ya</strong> mlima wa Mzeituni, ... na<br />
Mlima wa Mzeituni utapasuka katikati <strong>ya</strong>ke”. Zakaria 14:4. Wakati Yerusalema mp<strong>ya</strong><br />
unaposhuka toka mbinguni, utapumzika kwa pahali palipota<strong>ya</strong>rishwa, na Kristo, pamoja na<br />
watu wake na malaika, wanaingia kwa mji mtakatifu.<br />
Wakati alipokatwa kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong>, mtawala wa uovu alikuwa maskini na<br />
mwenye huzuni, lakini kwa namna wafu waovu wanapofufuka na anapoona makutano<br />
makubwa kwa upande wake, matumaini <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>narudi. Anakusudia si kutokuacha vita<br />
kubwa. Atapanga wapotevu chini <strong>ya</strong> bendera <strong>ya</strong>ke. Kwa kukana Kristo wamekubali amri <strong>ya</strong><br />
mwongozi mwasi, ta<strong>ya</strong>ri kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke. Lakini, kweli kwa werevu wake wa kwanza,<br />
hakubali yeye mwenyewe kuwa Shetani. Anadai kuwa mwenyewe wadunia wa haki ambaye<br />
alin<strong>ya</strong>nganywa uriti bila sheria.<br />
Anajionyesha mwenyewe kama mkombozi, kuhakikisha watu wake waliodanganyiwa <strong>ya</strong><br />
kwamba uwezo wake umewaleta kutoka kwa makaburi <strong>ya</strong>o. Shetani anawafan<strong>ya</strong> wazaifu<br />
kuwa wenye nguvu, na kuwasukuma wote kwa nguvu zake mwenyewe kuwaongoza<br />
kukamata makao <strong>ya</strong> mji wa Mungu. Akatazama kwa mamilioni <strong>ya</strong>siyohesabika <strong>ya</strong><br />
waliofufuliwa kutoka kwa wafu, na akatangaza <strong>ya</strong> kwamba kama muongozi wao anaweza<br />
kupata tena kiti chake chaenzi na ufalme.<br />
Katika makutano makubwa ha<strong>ya</strong> kunakuwa na taifa lenye maisha marefu lile lililoishi<br />
mbele <strong>ya</strong> garika, watu wa kimo kirefu sana na wa akili nyingi; watu ambao kazi zao za ajabu<br />
zikaongoza ulimwengu kuabudu akili zao, lakini mambo <strong>ya</strong> uvumbuzi wa ukali na uovu wao<br />
ikafan<strong>ya</strong> Mungu kuwaharibu kutoka kwa viumbe v<strong>ya</strong>ke. Pale kunakuwa wafalme na<br />
wajemadari wasioshindwa kamwe kwa vita. Katika mauti hawa hawakupata badiliko.<br />
Wanapotoka kwa kaburi, wanaendeshwa kwa tamaa <strong>ya</strong> namna ileile <strong>ya</strong> kushinda wale<br />
waliowatawala wakati walishindwa.<br />
Shambulio la Mwisho la Kumpinga Mungu<br />
271