12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

enzi, nao wakakaa juu <strong>ya</strong>o vilevile, nao wakapewa hukumu... Watakuwa makuhani wa Mungu<br />

na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye miaka elfu”. Ufunuo 20:4-6.<br />

Kwa wakati huu “watakatifu watahukumu dunia”. 1 Wakorinto 6:2. Kwa umoja na Kristo<br />

wanahukumu waovu, kukata kila jambo kufuatana na matendo <strong>ya</strong>liyotendwa katika mwili.<br />

Ndipo sehemu ambayo waovu wanapaswa kuteswa nayo imetolewa, kufuatana na matendo<br />

<strong>ya</strong>o, na imeandikwa juu <strong>ya</strong> majina <strong>ya</strong>o katika kitabu cha mauti.<br />

Shetani na malaika waovu wamehukumiwa na Kristo na watu wake. Paulo anasema:<br />

“Hamujui <strong>ya</strong> kwamba tutawahukumu malaika”? 1 Wakorinto 6:3. Yuda anatangaza: “Hata<br />

malaika wasiolinda enzi <strong>ya</strong>o giza kwa hukumu <strong>ya</strong> siku ile kubwa”. Yuda 6.<br />

Kwa mwisho wa miaka 1000, ufufuo wa pili utafanyika. Halafu waovu watafufuliwa<br />

kutoka katika wafu na kuonekana mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> utimilizo wa “hukumu<br />

iliyoandikwa”. Zaburi 149:9. Ndivyo Mfunuaji anasema: “Na wafu waliobaki hawakuwa hai<br />

hata itimie ile miaka elfu”. Ufunuo 20:5. Na Isa<strong>ya</strong> anatangaza juu <strong>ya</strong> wenye zambi: “Nao<br />

watakusanywa pamoja, kama vile kukusan<strong>ya</strong> kwa wafungwa katika shimo, na watafungwa<br />

katika kifungo, na nyuma <strong>ya</strong> siku nyingi wataangaliwa”. Isa<strong>ya</strong> 24:22.<br />

270

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!