You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
zamani, anayeitwa Diabolo na Shetani, akamufunga miaka elfu, na akamutupa katika shimo<br />
lisilo na mwisho, na kumufunga, na kutia muhuri juu <strong>ya</strong>ke, asipate kudangan<strong>ya</strong> mataifa tena,<br />
hata ile miaka elfu itimie; na nyuma <strong>ya</strong> hayo inapashwa afunguliwe wakati kidogo”. Ufunuo<br />
20:1-3.<br />
“Shimo lisilo na mwisho” ni mfano wa dunia katika machafuko na giza. Kutazamia siku<br />
kubwa <strong>ya</strong> Mungu, Yeremia anatangaza; “Niliangalia inchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina<br />
watu; niliangalia mbingu, nazo hazikuwa na nuru. Niliangalia milima, na tazama,<br />
zilitetemeka, na vilima vyote vilitikisika polepole. Nikaangalia, na tazama, hakuna mtu hata<br />
mmoja, na ndege zote za mbingu wamekimbia. Nikaangalia, na tazama, shamba lililozaa sana<br />
limekuwa jangwa, na miji <strong>ya</strong>ke yote ilikuwa imebomoka”. Yeremia 4:23-26.<br />
Hapa ndipo makao <strong>ya</strong> Shetani pamoja na malaika wake waovu kwa miaka 1000.<br />
Amefungiwa kwa dunia hii, hatakuwa na ruhusa <strong>ya</strong> kuingia kwa dunia zingine kwakujaribu<br />
na kusumbua wale ambao hawajaanguka kamwe. Kwa nia hii “amefungwa”. Hakuna<br />
anayebakia ambaye anaweza kutumia uwezo wake juu <strong>ya</strong>ke. Amekata kwa kazi <strong>ya</strong><br />
mudanganyifu na uharibifu ambayo ilikuwa anasa <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> pekee.<br />
Isa<strong>ya</strong> alipokuwa akitazamia maangamizi <strong>ya</strong> Shetani, anapaza sauti: “Umeanguka toka<br />
mbinguni, namna gani, Ee, Lusifero, mwana wa asubui! Umekatwa hata kufika udongo,<br />
Wewe uliyeangusha mataifa! Nawe ulisema moyoni mwako: Nitapanda mbinguni,<br />
nitan<strong>ya</strong>nyua kiti changu cha enzi juu kuliko nyota za Mungu: ... Nitafanana na Mkuu Sana.<br />
Kwani hivi utashushwa mpaka Hadeze, Kwa pande za mwisho za shimo. Wao wanaokuona<br />
watakutazama kwa kubanua sana; watakufikiria, wakisema: Huyu ndiye mtu aliyetetemesha<br />
dunia, aliyetikisa wafalme; aliyefan<strong>ya</strong> dunia kama jangwa, na aliyeharibu miji <strong>ya</strong>ke; yule<br />
asiyefungua nyumba <strong>ya</strong> wafungwa wake? Isa<strong>ya</strong> 14:12-17.<br />
Kwa mda wa miaka 6000, nyumba <strong>ya</strong> gereza <strong>ya</strong> Shetani imepokea watu wa Mungu, lakini<br />
Kristo amevunja vifungo v<strong>ya</strong>ke na kufungua wafungwa. Peke <strong>ya</strong>ke pamoja na malaika wake<br />
waovu anafahamu moyoni tokeo la zambi: “Wafalme wote wa mataifa, wao wote wanalala<br />
katika utukufu, Kila mmoja ndani <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong>ke mwenyewe (kaburi);<br />
Lakini wewe umetupwa inje kutoka kaburi lako, Kama tawi linalochukiza... Hutaungwa<br />
pamoja nao katika maziko: Kwa sababu umeiharibu inchi <strong>ya</strong>ko, na kuua watu wako.” Isa<strong>ya</strong><br />
14:18-20. Kwa mda wa miaka 1000, Shetani ataona matokeo <strong>ya</strong> uasi wake juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong><br />
Mungu. Maumivu <strong>ya</strong>ke ni mingi sana. Sasa ameachwa kwa kufikiri sana sehemu aliyofan<strong>ya</strong><br />
tangu alipoasi na kutazamia mbele kwa hofu kubwa kwa wakati ujao wa kutisha wakati<br />
atakapopashwa kuazibiwa.<br />
Kwa mda wa miaka 1000 katikati <strong>ya</strong> ufufuo wa kwanza na wa pili, hukumu <strong>ya</strong> waovu<br />
itafanyika. Paulo anaonyesha kwa hii kama tukio linalofuata kurudi kwa Yesu. 1 Wakorinto<br />
4:5. Wenye haki wanatawala kama wafalme na makuhani. Yoane anasema: “Nikaona viti v<strong>ya</strong><br />
269