Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 41. Dunia katika Uharibifu<br />
Wakati sauti <strong>ya</strong> Mungu inapogeuza utumwa wa watu wake, pale panakuwa na muamko<br />
wa kutisha wa wale waliopoteza vyote katika vita kubwa <strong>ya</strong> maisha. Kupofushwa na<br />
madanganyo <strong>ya</strong> Shetani watajiri wakajisifu wenyewe kwa ukuu wao kwa wale wasiofanikiwa<br />
sana. Lakini hawakujali kulisha wenye njaa, kuvika wale waliokuwa unchi, kufan<strong>ya</strong> kwa haki,<br />
na kupenda rehema. Sasa wameondolewa vyote vilivyowafan<strong>ya</strong> kuwa wakubwa na<br />
wameachwa ukiwa (maskini). Wanatazama kwa hofu juu <strong>ya</strong> kuangamia kwa sanamu zao.<br />
Wameuzisha nafsi zao kwa ajili <strong>ya</strong> anasa <strong>ya</strong> dunia na hawakuwa watajiri kwa Mungu. Maisha<br />
<strong>ya</strong>o ni <strong>ya</strong> kushindwa, anasa zao zimegeuka kuwa uchungu. Faida <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o yote imepotea<br />
kwa wakati moja. Watajiri wanalilia kuangamia kwa nyumba zao kubwa, kutawanyika kwa<br />
zahabu <strong>ya</strong>o na feza, na hofu <strong>ya</strong> kwamba wao wenyewe wanapashwa kuangamia pamoja na<br />
sanamu zao. Waovu wanaomboleza <strong>ya</strong> kwamba matokeo ni vile inavyokuwa, lakini hawatubu<br />
kwa maovu <strong>ya</strong>o.<br />
Mhubiri aliyefan<strong>ya</strong> ukweli kwa kafara makusudi <strong>ya</strong> kupata upendeleo wa watu sasa<br />
anatambua mvuto wa mafundisho <strong>ya</strong>ke. Kila mustari ulioandikwa, kila neno lililotamkwa<br />
lililoongoza watu kudumu katika kimbilio la uwongo limetawan<strong>ya</strong> mbegu: na sasa anatazama<br />
mavuno. Bwana anasema: “Ole wao wachungaji, wanaoharibu na kutawan<strong>ya</strong> kondoo za<br />
malisho <strong>ya</strong>ngu! ... Angalieni, nitaleta juu yenu uovu wa matendo yenu”. “kwa uwongo<br />
mumehuzunisha moyo wao walio haki, nisiowahuzunisha; nakutia nguvu mikono <strong>ya</strong> mwovu,<br />
hata asigeuke toka njia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> uovu, na kuponyeshwa hai”. Yeremia 23:1,2; Ezekieli 13:22.<br />
Wahubiri na watu wanaona <strong>ya</strong> kuwa wameasi juu <strong>ya</strong> Muumba wa sheria yote <strong>ya</strong> haki.<br />
Kuweka pembeni maagizo <strong>ya</strong> Mungu kulitoa mwinuko kwa maelfu <strong>ya</strong> nguvu za uovu, hata<br />
dunia ikawa mfereji moja mkubwa wa zambi. Hakuna lugha inayoweza kueleza tamaa <strong>ya</strong><br />
wasiowaaminifu wanapotazama wale walivyopoteza milele--uzima wa milele.<br />
Watu wanashitakiana wao kwa wao kwa ajili <strong>ya</strong> kuwaongoza kwa uharibifu, lakini wote<br />
wanaunganika kwa kukusan<strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uchungu mkubwa juu <strong>ya</strong> wachungaji<br />
wasiokuwa waaminifu waliotabiri “maneno <strong>ya</strong> laini” (Isa<strong>ya</strong> 30:10), walioongoza wasikilizaji<br />
wao kufan<strong>ya</strong> ukiwa sheria <strong>ya</strong> Mungu na kutesa wale wangeishika kama takatifu.<br />
“Tumepotea”! wameomboleza, “na ninyi ndio munaokuwa sababu yenyewe”. Mikono<br />
iliyowatawaza zamani kwa heshima itan<strong>ya</strong>nyuliwa kwa ajili <strong>ya</strong> uharibifu wao. Po pote<br />
kunakuwa vita na umwangaji wa damu.<br />
Mwana wa Mungu na wajumbe wa mbinguni wamekuwa katika vita pamoja na muovu,<br />
kwa kuon<strong>ya</strong>, kuangazia, na kuokoa wana wa watu. Sasa wote wamefan<strong>ya</strong> mipango<br />
(makusudi) <strong>ya</strong>o; waovu wameungana kabisa na Shetani katika vita kupigana na Mungu.<br />
Mabishano si <strong>ya</strong> Shetani peke <strong>ya</strong>ke, lakini pamoja na watu. “Bwana ana mashindano na<br />
mataifa”. Yeremia 25:31.<br />
Malaika wa Mauti<br />
267