Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
walioheshimiwa sana wa dunia waliyovaa, kuvikwa na mataji <strong>ya</strong> utukufu zaidi kuliko <strong>ya</strong>le<br />
<strong>ya</strong>liyovikwa kwa paji la uso <strong>ya</strong> wafalme wa dunia. Mfalme wa utukufu amepanguza machozi<br />
kwa nyuso zote. Wanatoa wimbo wa sifa, wazi, tamu, na wakupatana. Wimbo wa furaha<br />
ukaenea katika miruko <strong>ya</strong> mbinguni: “Wokovu kwa Mungu wetu anayeketi juu <strong>ya</strong> kiti cha<br />
enzi, na kwa Mwana-Kondoo”. Na wote wakaitika, “Amina: Baraka na utukufu, na hekima,<br />
na shukrani, na heshima, na uwezo, na nguvu kwa Mungu wetu hata milele na milele”. Ufunuo<br />
7:10,12.<br />
Katika maisha ha<strong>ya</strong> tunaweza tu kuanza kufahamu asili <strong>ya</strong> ajabu <strong>ya</strong> wokovu. Kwa<br />
ufahamu wetu wenye mpaka tungeweza kufikiri zaidi kwa kweli ha<strong>ya</strong> na utukufu, uzima<br />
(maisha) na mauti, haki na rehema, <strong>ya</strong>nayokutana katika msalaba; lakini kwa mvuto zaidi wa<br />
nguvu za akili yetu tunashindwa kuelewa maana <strong>ya</strong>ke kamili. Urefu na upana, urefu wa<br />
kwenda chini na urefu wa kwenda juu, wa upendo wa ukombozi unafahamika kidogo tu.<br />
Shauri la wokovu halitafahamika kamili, hata wakati waliokombolewa wanapoona kama<br />
wanavyoonwa na kujua kama wanavyojulikana; lakini katika vizazi v<strong>ya</strong> milele kweli mp<strong>ya</strong><br />
itaendelea kufunuliwa akili <strong>ya</strong> ajabu na furaha. Ijapo masikitiko na maumivu na majaribu <strong>ya</strong><br />
dunia <strong>ya</strong>napomalizika na sababu imeondolewa, watu wa Mungu watakuwa na maarifa <strong>ya</strong><br />
kupambanua, na akili <strong>ya</strong> kufahamu bei <strong>ya</strong> wokovu wao. Msalaba utakuwa ni wimbo wa<br />
waliookolewa milele.<br />
Katika Kristo aliyetukuzwa wanamtazama Kristo aliyesulibiwa. Haitasahauliwa kamwe<br />
<strong>ya</strong> kwamba Mwenye Enzi wa mbinguni alijinyenyekeza mwenyewe kwa kuinua mtu<br />
aliyeanguka, ili achukue kosa na ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> zambi na kuficha uso wa Baba <strong>ya</strong>ke hata misiba <strong>ya</strong><br />
ulimwengu uliopotea unapovunja moyo wake na kuangamiza maisha <strong>ya</strong>ke. Muumba wa dunia<br />
yote akaweka pembeni utukufu wake sababu <strong>ya</strong> upendo kwa mtu--hii itaamsha milele<br />
mshangao wa viumbe vyote. Wakati mataifa <strong>ya</strong> waliookolewa wanapomtazama Mkombozi<br />
wao na kujua <strong>ya</strong> kwamba ufalme wake ni wa kutokuwa na mwisho, wanaendelea katika<br />
wimbo: “Anastahili Mwana-Kondoo aliyechinjwa, na aliyetukomboa kwa Mungu kwa damu<br />
<strong>ya</strong>ke mwenyewe <strong>ya</strong> damani!”<br />
Siri <strong>ya</strong> msalaba inaeleza siri zote. Itaonekana <strong>ya</strong> kwamba yeye anayekuwa pasipo mwisho<br />
kwa hekima hangefan<strong>ya</strong> shauri lingine kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu wetu isipokuwa kafara <strong>ya</strong> Mwana<br />
wake. Malipo kwa ajili <strong>ya</strong> kafara hii ni furaha <strong>ya</strong> kujaza dunia na viumbe vilivyokombolewa,<br />
vitakatifu, v<strong>ya</strong> furaha, na v<strong>ya</strong> milele. Hii ni damani <strong>ya</strong> nafsi ambayo Baba anatoshelewa kwa<br />
bei iliyolipwa. Na Kristo mwenyewe, kwa kutazama matunda <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong>ke kubwa,<br />
anatoshelewa.<br />
265