12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mwokozi akamwongoza kwa mti wa uzima na akamwalika kula. Akatazama mkutano wa<br />

jamaa <strong>ya</strong>ke waliokombolewa. Ndipo akatupa taji lake kwa miguu <strong>ya</strong> Yesu na kumkumbatia<br />

Mkombozi. Akagusa kinubi, na sehemu <strong>ya</strong> juu pa mbingu ikarudisha mwitiko wa sauti za<br />

wimbo wa ushindi: “Anastahili Mwana kondoo” aliyechinjwa”. Ufunuo 5:12. Jamaa <strong>ya</strong><br />

Adamu inatupa taji zao kwa miguu <strong>ya</strong> Mwokozi wanapoinama wakiabudu. Malaika walilia<br />

kwa kuanguka kwa Adamu na wakafurahi wakati Yesu alipofungua kaburi kwa wote<br />

walioamini kwa jina lake. Sasa wanatazama kazi <strong>ya</strong> ukombozi kutimizwa na kuunga sauti zao<br />

kwa kusifu.<br />

Kwa “bahari <strong>ya</strong> kioo iliyochanganyika na moto” wamekutanika kundi la watu ambao<br />

“waliomshinda yule mn<strong>ya</strong>ma na sanamu na alama <strong>ya</strong>ke, na hesabu <strong>ya</strong> jina lake”. Wale elfu<br />

mia moja na makumi ine na ine waliokombolewa katika watu, na wanaimba “wimbo mp<strong>ya</strong>”<br />

wimbo wa Musa na wimbo wa Mwana-Kondoo. Ufunuo 15:2,3. Hakuna mtu bali wale elfu<br />

mia moja na makumi ine na ine watakaoweza kujifunza wimbo ule, kwa maana ni wimbo wa<br />

mambo <strong>ya</strong> maisha ambayo hakuna jamii ingine walikuwa nayo”. Hawa ndio wanaofuata<br />

Mwana-Kondoo kila pahali anapokwenda. “Hawa waliochukuliwa kutoka katikati <strong>ya</strong> wahai,<br />

ni “malimbuko <strong>ya</strong> kwanza kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo”. Ufunuo 14:4,5.<br />

Walipitia katika wakati wa mateso makubwa ambayo ha<strong>ya</strong>jakuwako tangu taifa<br />

lilikuwako; walivumilia maumivu makuu <strong>ya</strong> wakati wa taabu <strong>ya</strong> Yakobo; walisimama pasipo<br />

mwombezi katika kumiminwa kwa mwisho kwa hukumu za Mungu. “Wamefua mavazi <strong>ya</strong>o<br />

na ku<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong> meupe katika damu <strong>ya</strong> Mwana-Kondoo”. “Na katika vinywa v<strong>ya</strong>o<br />

haukuonekana uwongo; maana wao ni pasipo kilema” mbele <strong>ya</strong> Mungu. “Hawataona njaa<br />

tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala joto lo lote. Kwani Mwana-<br />

Kondoo, aliye katikati <strong>ya</strong> kiti cha enzi atawachunga, naye atawaongoza hata chemchemi za<br />

maji yenye uhai, na Mungu atapangusa machozi yote katika macho <strong>ya</strong>o”. Ufunuo 7:14; 14:5;<br />

7:16,17.<br />

Waliokombolewa katika Utukufu<br />

Katika vizazi vyote wateule wa Mwokozi wametembea katika njia nyembamba.<br />

Wametakaswa katika tanuru <strong>ya</strong> mateso. Kwa ajili <strong>ya</strong> Yesu wakavumilia uchuki, masingizio,<br />

kujinyima, na hasara za uchungu. Walijifunza uba<strong>ya</strong> wa zambi, uwezo wake, kosa <strong>ya</strong>ke,<br />

msiba wake; wanaitazama na machukio makuu. Maana <strong>ya</strong> kafara isiyokuwa na mwisho<br />

iliyofanywa kwa ajili <strong>ya</strong> dawa <strong>ya</strong>ke inawanyenyekeza na kujaza mioyo <strong>ya</strong>o na shukrani.<br />

Wanapenda sana kwa sababu walisamehewa sana. Tazama Luka 7:47. Washiriki wa mateso<br />

<strong>ya</strong> Kristo, wanastahili kuwa washiriki wa utukufu wake.<br />

Wariti wa Mungu wanatoka kwa vyjumba v<strong>ya</strong> orofani, vibanda vibovu, gereza, mahali<br />

wauaji wanaponyongwa kwa sheria, milimani, jangwani, mapangoni. Walikuwa “maskini,<br />

wakiteswa, kusumbuliwa”. Mamilioni walienda kwa kaburi wakilemezwa na sifa mba<strong>ya</strong> kwa<br />

sababu walikataa kujitoa kwa Shetani. Lakini sasa hawateseki tena, hawatawanyike tena, na<br />

hawaonewe. Toka sasa wanasimama wanapovaa mavazi <strong>ya</strong> utajiri kuliko nguo watu<br />

264

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!