12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

yote, na sura <strong>ya</strong>ke zaidi <strong>ya</strong> watoto wa watu”. Isa<strong>ya</strong> 52:14. Juu <strong>ya</strong> vichwa v<strong>ya</strong> washindaji Yesu<br />

anaweka taji <strong>ya</strong> utukufu. Kwani kila mmoja kule kunataji ambalo lina “jina jip<strong>ya</strong>” lake<br />

mwenyewe (Ufunuo 2:17) na mwandiko “Utakatifu kwa Bwana”. Katika kila mkono<br />

kumewekwa tawi la ngazi la ushindi na kinubi chenye kungaa. Ndipo, wakati malaika wenye<br />

kuamrisha wanapopiga sauti, kila mkono unapiga juu <strong>ya</strong> nyuzi na mguso wa ufundi mzuri<br />

sana, mkazo wa masauti. Kila sauti inainuliwa kwa sifa za shukrani: “Kwa yeye aliyetupenda<br />

na kutuosha zambi zetu kwa damu <strong>ya</strong>ke, na kutufan<strong>ya</strong> kuwa wafalme wa makuhani kwa<br />

Mungu na Baba <strong>ya</strong>ke; kwa yeye ni utukufu na uwezo hata milele na milele”. Ufunuo 1:5,6.<br />

Mbele <strong>ya</strong> makutano <strong>ya</strong> waliokombolewa ni Mji Mtakatifu. Yesu anafungua milango, na<br />

mataifa <strong>ya</strong>liyolinda ukweli wanaingia ndani. Ndipo sauti <strong>ya</strong>ke imesikiwa, “Kujeni, ninyi<br />

muliobarikiwa na Baba <strong>ya</strong>ngu, mriti ufalme muliotengenezewa tangu kuumbwa kwa<br />

ulimwengu”. Matayo 25:34. Kristo anaonyesha kwa Baba <strong>ya</strong>ke ununuzi wa damu <strong>ya</strong>ke,<br />

kusema; ‘’Tazama, mimi ni hapa pamoja na watoto ulionipa “Wale ulionipa niliwachunga”.<br />

Waebrania 2:13; Yoane 17:12. Ee, furaha <strong>ya</strong> saa ile wakati Baba wa milele, kutazama kwa<br />

waliokombolewa, watatazama mfano wake, uharibifu wa zambi ukisha ondolewa, na<br />

binadamu mara ingine tena katika umoja na Mungu!<br />

Furaha <strong>ya</strong> Mwokozi ni kwa kuona, katika ufalme wa utukufu, mioyo iliyookolewa kwa<br />

maumivu <strong>ya</strong>ke makali na unyenyekevu. Mtu aliyeokolewa atashiriki katika furaha <strong>ya</strong>ke;<br />

wanatazama wale waliopatikana kwa njia <strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong>o, kazi, na kafara <strong>ya</strong> upendo.<br />

Shangwe itajaa katika mioyo <strong>ya</strong>o wakati wanapoona yule aliyeokoa wengine, na hawa zaidi<br />

na wengine.<br />

Wanadamu Wawili Wanakutana<br />

Wakati waliookolewa wanapokaribishwa kwa mji wa Mungu, hapo kunakuwa kilio cha<br />

shangwe nyingi. Wanadamu wawili ni karibu kukutana. Mwana wa Mungu anapashwa<br />

kupokea baba wa taifa letu--aliyeumbwa, aliyefan<strong>ya</strong> zambi, na kwa ajili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke alama<br />

za msalaba zinakuwa kwa sura <strong>ya</strong> Mwokozi. Wakati Adamu alipotambua alama za misumari,<br />

kwa unyenyekevu anaanguka yeye mwenyewe kwa miguu <strong>ya</strong> Kristo. Mwokozi anamwinua<br />

na kumwalika kutazama tena kwa makao <strong>ya</strong> Edeni ambapo amehamishwa kwa wakati mrefu.<br />

Maisha <strong>ya</strong> Adamu <strong>ya</strong>lijazwa na huzuni. Kila jani lililokufa, kila n<strong>ya</strong>ma wa kafara, kila doa<br />

juu <strong>ya</strong> utakatifu wa mtu, ilikuwa ukumbusho wa zambi <strong>ya</strong>ke. Maumivu <strong>ya</strong> majuto <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong> kutisha sana wakati alipokutana na laumu zilizotupwa juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe kama sababu<br />

<strong>ya</strong> zambi. Kwa uaminifu akatubu zambi <strong>ya</strong>ke, na alikufa katika tumaini la ufufuko. Sasa, kwa<br />

njia <strong>ya</strong> upatanisho, Adamu amerudishiwa hali <strong>ya</strong> kwanza.<br />

Alipojazwa na furaha, anatazama miti ambayo ilikuwa mara <strong>ya</strong> kwanza furaha <strong>ya</strong>ke,<br />

matunda <strong>ya</strong>ke yeye mwenyewe alikuwa akikusan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong> kuwa na hatia. Ameona<br />

mizabibu ambayo mikono <strong>ya</strong>ke mwenyewe ilikomalisha, maua aliyo<strong>ya</strong>penda zamani kulinda.<br />

Hii ni Edeni iliyorudishwa kweli!<br />

263

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!