12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Injili ilisahauliwa na watu wakalemewa na azabu kali. Walifundishwa kutumainia kazi zao<br />

wenyewe kwa malipo <strong>ya</strong> zambi zao. Safari ndefu za kwenda kuzuru patakatifu, matendo <strong>ya</strong><br />

kitubio, ibada <strong>ya</strong> masalio <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> watakatifu wa kale, majengo <strong>ya</strong> makanisa, na<br />

mazabahu, malipo <strong>ya</strong> mali mingi kwa kanisa-ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lilazimishwa kwa kutuliza hasira <strong>ya</strong><br />

Mungu ao kujipatia upendeleo wake.<br />

Karibu <strong>ya</strong> mwisho wa karne <strong>ya</strong> mnane, wafuasi wa Papa wa Roma wakaendelea<br />

kulazimisha kwamba katika siku za kwanza za kanisa maaskofu wa Roma walikuwa na uwezo<br />

wa kiroho sawa sawa na ule ambao wanachukuwa sasa. Maandiko <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>kaandikwa<br />

na watawa wakidangan<strong>ya</strong> kwamba ni <strong>ya</strong> zamani sana. Maagizo <strong>ya</strong> baraza ambayo<br />

ha<strong>ya</strong>kusikiwa mbele <strong>ya</strong> kuimarisha ukubwa wa Papa tangu n<strong>ya</strong>kati za kwanza,<br />

<strong>ya</strong>kavumbuliwa (Tazama Nyonge 20).<br />

Waaminifu wachache waliojenga juu <strong>ya</strong> msingi wa kweli. (1 Wakorinto 3:10,11)<br />

wakafazaika. Kuchoka kwa ajili <strong>ya</strong> kupigana na mateso, udanagnyifu, kila kizuizi kingine<br />

ambacho Shetani angevumbua, watu fulani ambao walikuwa waaminifu wakakata tamaa.<br />

Kwa ajili <strong>ya</strong> upendo wa amani na salama kwa mali <strong>ya</strong>o na maisha <strong>ya</strong>o, wakaacha msingi wa<br />

kweli. Wengine hawakuongopeshwa na upinzani wa adui zao.<br />

Ibada <strong>ya</strong> sanamu ikawa kawaida. Mishumaa (bougies) iliwashwa mbele <strong>ya</strong> masanamu, na<br />

maombi <strong>ya</strong>katolewa kwao. Desturi zisizo za maana na kuabudu uchawi zikawa na uwezo.<br />

Hata hakili yenyewe ikaonekana kupoteza nguvu zake. Kwa sababu mapadri na maaskofu<br />

wao wenyewe walikuwa wenye kupenda anasa, na rushwa, watu waliotazamia uongozi kwao<br />

wakatazamia katika ujinga na makosa.<br />

Katika karne <strong>ya</strong> kumi na moja, Papa Gregoire VII akatangaza kwamba kanisa halijakosa<br />

kamwe, na halitakosa kamwe, kwa kutokana na Maandiko. Lakini hakika za Maandiko<br />

hazikufuatana na maneno <strong>ya</strong>le. Askofu mwenye kiburi alidai pia uwezo wa kuondoa wafalme.<br />

Mfano moja wa tabia <strong>ya</strong> uonevu huyu anaotetea madai <strong>ya</strong> kutoweza kukosa ni jambo<br />

alilotendea mfalme wa Ujeremani, Henry IV. Kwa sababu alijaribu kuzarau mamlaka <strong>ya</strong> Papa,<br />

mfalme huyu akatengwa kwa kanisa na akatoshwa kwa kiti chake cha ufalme. Watoto wake<br />

wenyewe wa kifalme wakashawishiwa na mamlaka <strong>ya</strong> Papa katika uasi juu <strong>ya</strong> baba <strong>ya</strong>ke.<br />

Henry akaona lazima <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> amani pamoja na Roma. Pamoja na mke wake na<br />

mtumishi wake mwaminifu akavuka milima mirefu (Alpes) katika siku za baridi kali, ili apate<br />

kujinyenyekea mbele <strong>ya</strong> Papa. Alipofikia ngome <strong>ya</strong> Gregoire, akapelekwa katika uwanja wa<br />

inje. Kule, katika baridi kali <strong>ya</strong> wakati wa majira <strong>ya</strong> baridi, na kichwa wazi na vikan<strong>ya</strong>gio,<br />

alingoja ruhusa <strong>ya</strong> Papa kuja mbele <strong>ya</strong>ke. Ni baada <strong>ya</strong> siku tatu za kufunga na kuungama,<br />

ndipo askofu akamtolea rehema. Na hivyo ni katika hali <strong>ya</strong> kwamba mfalme alipaswa kungoja<br />

ruhusa <strong>ya</strong> Papa kwa kupata tena alama za cheo ao kutumia uwezo wa kifalme. Gregoire,<br />

alipofurahia ushindi wake, akatangaza <strong>ya</strong> kwamba kazi <strong>ya</strong>ke ilikuwa ni kuangusha kiburi cha<br />

wafalme.<br />

19

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!