You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Injili ilisahauliwa na watu wakalemewa na azabu kali. Walifundishwa kutumainia kazi zao<br />
wenyewe kwa malipo <strong>ya</strong> zambi zao. Safari ndefu za kwenda kuzuru patakatifu, matendo <strong>ya</strong><br />
kitubio, ibada <strong>ya</strong> masalio <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> watakatifu wa kale, majengo <strong>ya</strong> makanisa, na<br />
mazabahu, malipo <strong>ya</strong> mali mingi kwa kanisa-ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lilazimishwa kwa kutuliza hasira <strong>ya</strong><br />
Mungu ao kujipatia upendeleo wake.<br />
Karibu <strong>ya</strong> mwisho wa karne <strong>ya</strong> mnane, wafuasi wa Papa wa Roma wakaendelea<br />
kulazimisha kwamba katika siku za kwanza za kanisa maaskofu wa Roma walikuwa na uwezo<br />
wa kiroho sawa sawa na ule ambao wanachukuwa sasa. Maandiko <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>kaandikwa<br />
na watawa wakidangan<strong>ya</strong> kwamba ni <strong>ya</strong> zamani sana. Maagizo <strong>ya</strong> baraza ambayo<br />
ha<strong>ya</strong>kusikiwa mbele <strong>ya</strong> kuimarisha ukubwa wa Papa tangu n<strong>ya</strong>kati za kwanza,<br />
<strong>ya</strong>kavumbuliwa (Tazama Nyonge 20).<br />
Waaminifu wachache waliojenga juu <strong>ya</strong> msingi wa kweli. (1 Wakorinto 3:10,11)<br />
wakafazaika. Kuchoka kwa ajili <strong>ya</strong> kupigana na mateso, udanagnyifu, kila kizuizi kingine<br />
ambacho Shetani angevumbua, watu fulani ambao walikuwa waaminifu wakakata tamaa.<br />
Kwa ajili <strong>ya</strong> upendo wa amani na salama kwa mali <strong>ya</strong>o na maisha <strong>ya</strong>o, wakaacha msingi wa<br />
kweli. Wengine hawakuongopeshwa na upinzani wa adui zao.<br />
Ibada <strong>ya</strong> sanamu ikawa kawaida. Mishumaa (bougies) iliwashwa mbele <strong>ya</strong> masanamu, na<br />
maombi <strong>ya</strong>katolewa kwao. Desturi zisizo za maana na kuabudu uchawi zikawa na uwezo.<br />
Hata hakili yenyewe ikaonekana kupoteza nguvu zake. Kwa sababu mapadri na maaskofu<br />
wao wenyewe walikuwa wenye kupenda anasa, na rushwa, watu waliotazamia uongozi kwao<br />
wakatazamia katika ujinga na makosa.<br />
Katika karne <strong>ya</strong> kumi na moja, Papa Gregoire VII akatangaza kwamba kanisa halijakosa<br />
kamwe, na halitakosa kamwe, kwa kutokana na Maandiko. Lakini hakika za Maandiko<br />
hazikufuatana na maneno <strong>ya</strong>le. Askofu mwenye kiburi alidai pia uwezo wa kuondoa wafalme.<br />
Mfano moja wa tabia <strong>ya</strong> uonevu huyu anaotetea madai <strong>ya</strong> kutoweza kukosa ni jambo<br />
alilotendea mfalme wa Ujeremani, Henry IV. Kwa sababu alijaribu kuzarau mamlaka <strong>ya</strong> Papa,<br />
mfalme huyu akatengwa kwa kanisa na akatoshwa kwa kiti chake cha ufalme. Watoto wake<br />
wenyewe wa kifalme wakashawishiwa na mamlaka <strong>ya</strong> Papa katika uasi juu <strong>ya</strong> baba <strong>ya</strong>ke.<br />
Henry akaona lazima <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> amani pamoja na Roma. Pamoja na mke wake na<br />
mtumishi wake mwaminifu akavuka milima mirefu (Alpes) katika siku za baridi kali, ili apate<br />
kujinyenyekea mbele <strong>ya</strong> Papa. Alipofikia ngome <strong>ya</strong> Gregoire, akapelekwa katika uwanja wa<br />
inje. Kule, katika baridi kali <strong>ya</strong> wakati wa majira <strong>ya</strong> baridi, na kichwa wazi na vikan<strong>ya</strong>gio,<br />
alingoja ruhusa <strong>ya</strong> Papa kuja mbele <strong>ya</strong>ke. Ni baada <strong>ya</strong> siku tatu za kufunga na kuungama,<br />
ndipo askofu akamtolea rehema. Na hivyo ni katika hali <strong>ya</strong> kwamba mfalme alipaswa kungoja<br />
ruhusa <strong>ya</strong> Papa kwa kupata tena alama za cheo ao kutumia uwezo wa kifalme. Gregoire,<br />
alipofurahia ushindi wake, akatangaza <strong>ya</strong> kwamba kazi <strong>ya</strong>ke ilikuwa ni kuangusha kiburi cha<br />
wafalme.<br />
19