You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
mwenye uhai. Ni kuchelewa sana wanaona msingi wa mchanga ambapo juu <strong>ya</strong>ke walijenga.<br />
Wamekuwa wakipigana kumpinga Mungu. Waalimu wa dini wameongoza roho kwa jehanum<br />
(kupotea milele) walipokuwa wakidai kuwaongoza kwa Paradiso. Ni madaraka makubwa <strong>ya</strong><br />
namna gani <strong>ya</strong> watu katika kazi takatifu, matokeo <strong>ya</strong> kutisha namna gani kwa kutokuamini<br />
kwao!<br />
Mfalme wa Wafalme Anatokea<br />
Sauti <strong>ya</strong> Mungu imesikilika kutangaza siku na saa <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu. Israeli wa Mungu<br />
anasimama kwa kusikiliza, nyuso zao zikaangaziwa na utukufu wake. Karibu pale kukatokea<br />
kwa upande wa mashariki wingu nyeusi dogo. Ni wingu linalomzunguka Mwokozi. Kwa<br />
utulivu wa heshima watu wa Mungu wakalitazama kwa namna lilikuwa likikaribia, hata<br />
linapokuwa wingu jeupe kubwa, upande wa chini wake ni utukufu kama moto unaoteketeza,<br />
na upande wa juu wake upindi wa mvua wa agano. Sasa si “Mtu wa huzuni”, Yesu anapanda<br />
(farasi) kama mshindi mkubwa. Malaika watakatifu, makutano makubwa <strong>ya</strong>siyohesabika,<br />
wanamtumikia, “elfu elfu, na elfu kumi mara elfu kumi”. Kila jicho linamwona Mfalme wa<br />
uzima. Taji la utukufu linakuwa katika kipaji cha uso wake. Uso wake unashinda (muangaza)<br />
wa jua la saa sita. “Naye ana jina llien<strong>ya</strong> kuaandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME<br />
WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA”. Ufunuo 19:16.<br />
Mufalme wa wafalme anashuka juu <strong>ya</strong> wingu, amefunikwa katika moto unaowaka. Dunia<br />
inatetemeka mbele <strong>ya</strong>ke: “Mungu wetu atakuja, wala hatan<strong>ya</strong>maza; Moto utakuia mbele <strong>ya</strong>ke,<br />
Na tufani inayovuma sana itamuzunguka. Ataita mbingu zilizo juu na inchi, ili apate<br />
kuhukumu watu wake”. Zaburi 50:3,4.<br />
“Na wafalme wa dunia, na watu mashuhuri, na matajiri, na kila mtumwa, na kila mtu<br />
mwenye uhuru wakajificha katika pango na chini <strong>ya</strong> miamba: Mutuangukie, mutufiche mbele<br />
<strong>ya</strong> uso wake yeye anayeketi juu <strong>ya</strong> kiti cha ufalme, na gazabu <strong>ya</strong> Mwana-Kondoo. Kwa maana<br />
siku kubwa <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong>ke imekuja na nani anayeweza kusimama”? Ufunuo 6:15-17.<br />
Mabishano <strong>ya</strong> mizaha <strong>ya</strong>mekoma, midomo <strong>ya</strong> uwongo imen<strong>ya</strong>mazishwa. Hakuna kitu<br />
kinachosikiwa lakini sauti <strong>ya</strong> maombi na sauti <strong>ya</strong> kilio. Waovu wanaomba kuzikwa chini <strong>ya</strong><br />
miamba kuliko kukutana na uso wake yeye waliyezarau. Sauti ile iliyoingia kwa sikio la maiti,<br />
wanajua. Mara ngapi inakuwa sauti zile za upole ziliwaita kwa toba. Mara ngapi ilikuwa<br />
ikisikiwa katika maombi <strong>ya</strong> rafiki, <strong>ya</strong> ndugu, <strong>ya</strong> Mkombozi. Sauti ile inayoamsha ukumbusho<br />
wa maonyo <strong>ya</strong>liyozarauliwa na miito iliyokataliwa.<br />
Kunakuwa wale waliochekelea Kristo katika unyenyekevu wake. Alitangaza: “Tangu sasa<br />
mutaona Mwana wa watu akiketi kwa mkono wa kuume wa uwezo, na akija katikati <strong>ya</strong><br />
mawingu <strong>ya</strong> mbingu”. Matayo 26:64. Sasa wanamutazama katika utukufu wake; wanapashwa<br />
sasa kumwona yeye kukaa kwa mkono wa kuume wa uwezo. Pale kunakuwa Herode mwenye<br />
kiburi aliyechekelea cheo chake cha ufalme. Pale panakuwa watu waliomvika taji la miiba<br />
juu <strong>ya</strong> kichwa chake na katika mkono wake fimbo <strong>ya</strong> kifalme <strong>ya</strong> kufananisha--wale<br />
261