Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti kasirani yake. ” Ufunuo 16:19. Mvua ya mawe makubwa sana ikafanya kazi yake ya uharibifu. Miji yenye kiburi inaangushwa chini. Majumba ya fahari ambayo watu walitolea mali nyingi yao ikafunikwa na ikageuka mavumbi mbele ya macho yao. Kuta za gereza zimevunjika kwa vipande vipande, na watu wa Mungu wamewekwa huru. Makaburi yamefunguka, na “wengi wao wanaolala mavumbini mwa inchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, na wengine kwa haya na kuzarauliwa kwa milele”. “Na wale waliomuchoma”, wale ambao walichekelea maumivu makali ya kifo cha Kristo, na wapinzani (adui) wakali zaidi wa kweli yake, watafufuka kuona heshima inayowekwa kwa waaminifu na watiifu. Danieli 12:2; Ufunuo 1:7. Umeme kali utafunika dunia kwa shuka la ndimi ya moto. Juu ya ngurumo (radi), sauti za ajabu na hofu kubwa, zinatangaza mwisho wa waovu. Wale waliokuwa wenye kujisifu na wenye kutaka vita, wakali kwa wenye kushika amri za Mungu, sasa wanatetemeka kwa woga. Mashetani wanatetemeka wakati watu wanapoomba rehema. Siku ya Bwana Asema nabii Isaya: ” Kwa siku ile mtu atatupa sanamu yake ya feza, na sanamu yake ya zahabu, walizojifanyizia kuziabudu, kwa panya na kwa popo; waingie katika mapango ya miamba, na ndani ya pahali pa juu ya mawe yaliyo pasukapasuka, toka mbele ya hofu ya Bwana, na toka utukufu wa mamlaka yake, wakati atakaposimama kutikisatikisa sana dunia”. Isaya 2:20, 21. Wale waliotoa vyote kwa ajili ya Kristo sasa wanakuwa katika salama. Mbele ya ulimwengu nausoni kwa mauti wameonyesha uaminifu wao kwake yeye aliyekufa kwa ajili yao. Nyuso zao, juzijuzi zilikuwa zenye kufifia na zenye kukonda, sasa zinangaa kwa ajabu. Sauti zao zinainuka kwa wimbo wa ushindi: “Mungu ni kimbilio letu na nguvu yetu, Msaada aliye karibu sana wakati wa mateso. Kwa hivi hatutaogopa, hata inchi ikibadilika, na hata milima ikihamishwa moyoni mwa bahari; Hata maji yao yakinguruma na kuchafuka, hata milima ikitikisika kwa kiburi chake”. Zaburi 46:1-3. Wakati maneno haya ya tumaini takatifu yanapopanda kwa Mungu, utukufu wa mji wa mbinguni unapita kwa milango inayofunguka kidogo. Ndipo pale panatokea kinyume cha mawingu mkono unaoshika mbao mbili za mawe. Sheria ile takatifu, iliyotangazwa kwa Sinai, imefunuliwa sasa kama kanuni ya hukumu. Maneno yanakuwa wazi ili wote waweze kuyasoma. Ukumbusho umeamshwa. Giza ya imani ya mambo ya uchawi na uzushi imesafishwa kwa kila wazo. Ni vigumu kueleza hofu kuu na kukata tamaa kwa wale waliokanyanga sheria ya Mungu. Kwa kufanya urafiki na ulimwengu, wameweka kando maagizo yake na wakafundisha wengine kuzivunja. Sasa wamehukumiwa kwa sheria ile ambayo wameizarau. Wanaona ya kwamba wanakuwa bila kisingizio. Adui za sheria ya Mungu wanakuwa na wazo mpya juu ya kweli na mapashwa. Kuchelewa sana wanaona ya kwamba Sabato ni muhuri wa Mungu 260
Kupinga ya Kiprotestanti mwenye uhai. Ni kuchelewa sana wanaona msingi wa mchanga ambapo juu yake walijenga. Wamekuwa wakipigana kumpinga Mungu. Waalimu wa dini wameongoza roho kwa jehanum (kupotea milele) walipokuwa wakidai kuwaongoza kwa Paradiso. Ni madaraka makubwa ya namna gani ya watu katika kazi takatifu, matokeo ya kutisha namna gani kwa kutokuamini kwao! Mfalme wa Wafalme Anatokea Sauti ya Mungu imesikilika kutangaza siku na saa ya kuja kwa Yesu. Israeli wa Mungu anasimama kwa kusikiliza, nyuso zao zikaangaziwa na utukufu wake. Karibu pale kukatokea kwa upande wa mashariki wingu nyeusi dogo. Ni wingu linalomzunguka Mwokozi. Kwa utulivu wa heshima watu wa Mungu wakalitazama kwa namna lilikuwa likikaribia, hata linapokuwa wingu jeupe kubwa, upande wa chini wake ni utukufu kama moto unaoteketeza, na upande wa juu wake upindi wa mvua wa agano. Sasa si “Mtu wa huzuni”, Yesu anapanda (farasi) kama mshindi mkubwa. Malaika watakatifu, makutano makubwa yasiyohesabika, wanamtumikia, “elfu elfu, na elfu kumi mara elfu kumi”. Kila jicho linamwona Mfalme wa uzima. Taji la utukufu linakuwa katika kipaji cha uso wake. Uso wake unashinda (muangaza) wa jua la saa sita. “Naye ana jina llienya kuaandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA”. Ufunuo 19:16. Mufalme wa wafalme anashuka juu ya wingu, amefunikwa katika moto unaowaka. Dunia inatetemeka mbele yake: “Mungu wetu atakuja, wala hatanyamaza; Moto utakuia mbele yake, Na tufani inayovuma sana itamuzunguka. Ataita mbingu zilizo juu na inchi, ili apate kuhukumu watu wake”. Zaburi 50:3,4. “Na wafalme wa dunia, na watu mashuhuri, na matajiri, na kila mtumwa, na kila mtu mwenye uhuru wakajificha katika pango na chini ya miamba: Mutuangukie, mutufiche mbele ya uso wake yeye anayeketi juu ya kiti cha ufalme, na gazabu ya Mwana-Kondoo. Kwa maana siku kubwa ya gazabu yake imekuja na nani anayeweza kusimama”? Ufunuo 6:15-17. Mabishano ya mizaha yamekoma, midomo ya uwongo imenyamazishwa. Hakuna kitu kinachosikiwa lakini sauti ya maombi na sauti ya kilio. Waovu wanaomba kuzikwa chini ya miamba kuliko kukutana na uso wake yeye waliyezarau. Sauti ile iliyoingia kwa sikio la maiti, wanajua. Mara ngapi inakuwa sauti zile za upole ziliwaita kwa toba. Mara ngapi ilikuwa ikisikiwa katika maombi ya rafiki, ya ndugu, ya Mkombozi. Sauti ile inayoamsha ukumbusho wa maonyo yaliyozarauliwa na miito iliyokataliwa. Kunakuwa wale waliochekelea Kristo katika unyenyekevu wake. Alitangaza: “Tangu sasa mutaona Mwana wa watu akiketi kwa mkono wa kuume wa uwezo, na akija katikati ya mawingu ya mbingu”. Matayo 26:64. Sasa wanamutazama katika utukufu wake; wanapashwa sasa kumwona yeye kukaa kwa mkono wa kuume wa uwezo. Pale kunakuwa Herode mwenye kiburi aliyechekelea cheo chake cha ufalme. Pale panakuwa watu waliomvika taji la miiba juu ya kichwa chake na katika mkono wake fimbo ya kifalme ya kufananisha--wale 261
- Page 217 and 218: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 31. P
- Page 219 and 220: Kupinga ya Kiprotestanti Kapernaumu
- Page 221 and 222: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kusima
- Page 223 and 224: Kupinga ya Kiprotestanti ya viumbe
- Page 225 and 226: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 33. K
- Page 227 and 228: Kupinga ya Kiprotestanti yameenea p
- Page 229 and 230: Kupinga ya Kiprotestanti Je, wale a
- Page 231 and 232: Kupinga ya Kiprotestanti 4:1618. Ka
- Page 233 and 234: Kupinga ya Kiprotestanti juu ya dun
- Page 235 and 236: Kupinga ya Kiprotestanti anawashiki
- Page 237 and 238: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 35. U
- Page 239 and 240: Kupinga ya Kiprotestanti Wanaweka m
- Page 241 and 242: Kupinga ya Kiprotestanti la Wakrist
- Page 243 and 244: Kupinga ya Kiprotestanti nabii, “
- Page 245 and 246: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 36. M
- Page 247 and 248: Kupinga ya Kiprotestanti kuchangany
- Page 249 and 250: Kupinga ya Kiprotestanti “Joka ak
- Page 251 and 252: Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu Kupi
- Page 253 and 254: Kupinga ya Kiprotestanti kweli atas
- Page 255 and 256: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mmo
- Page 257 and 258: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mtu
- Page 259 and 260: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 39. W
- Page 261 and 262: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa namna
- Page 263 and 264: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenyewe.
- Page 265 and 266: Kupinga ya Kiprotestanti wanamlio w
- Page 267: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 40. U
- Page 271 and 272: Kupinga ya Kiprotestanti yote, na s
- Page 273 and 274: Kupinga ya Kiprotestanti walioheshi
- Page 275 and 276: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 41. D
- Page 277 and 278: Kupinga ya Kiprotestanti zamani, an
- Page 279 and 280: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 42. V
- Page 281 and 282: Kupinga ya Kiprotestanti ambayo wal
- Page 283 and 284: Kupinga ya Kiprotestanti Kila swali
- Page 285 and 286: Kupinga ya Kiprotestanti Huko ni Ye
- Page 288: Kungojea Mwisho
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kasirani <strong>ya</strong>ke. ” Ufunuo 16:19. Mvua <strong>ya</strong> mawe makubwa sana ikafan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
uharibifu. Miji yenye kiburi inaangushwa chini. Majumba <strong>ya</strong> fahari ambayo watu walitolea<br />
mali nyingi <strong>ya</strong>o ikafunikwa na ikageuka mavumbi mbele <strong>ya</strong> macho <strong>ya</strong>o. Kuta za gereza<br />
zimevunjika kwa vipande vipande, na watu wa Mungu wamewekwa huru.<br />
Makaburi <strong>ya</strong>mefunguka, na “wengi wao wanaolala mavumbini mwa inchi wataamka,<br />
wengine wapate uzima wa milele, na wengine kwa ha<strong>ya</strong> na kuzarauliwa kwa milele”. “Na<br />
wale waliomuchoma”, wale ambao walichekelea maumivu makali <strong>ya</strong> kifo cha Kristo, na<br />
wapinzani (adui) wakali zaidi wa kweli <strong>ya</strong>ke, watafufuka kuona heshima inayowekwa kwa<br />
waaminifu na watiifu. Danieli 12:2; Ufunuo 1:7.<br />
Umeme kali utafunika dunia kwa shuka la ndimi <strong>ya</strong> moto. Juu <strong>ya</strong> ngurumo (radi), sauti za<br />
ajabu na hofu kubwa, zinatangaza mwisho wa waovu. Wale waliokuwa wenye kujisifu na<br />
wenye kutaka vita, wakali kwa wenye kushika amri za Mungu, sasa wanatetemeka kwa woga.<br />
Mashetani wanatetemeka wakati watu wanapoomba rehema.<br />
Siku <strong>ya</strong> Bwana<br />
Asema nabii Isa<strong>ya</strong>: ” Kwa siku ile mtu atatupa sanamu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> feza, na sanamu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
zahabu, walizojifanyizia kuziabudu, kwa pan<strong>ya</strong> na kwa popo; waingie katika mapango <strong>ya</strong><br />
miamba, na ndani <strong>ya</strong> pahali pa juu <strong>ya</strong> mawe <strong>ya</strong>liyo pasukapasuka, toka mbele <strong>ya</strong> hofu <strong>ya</strong><br />
Bwana, na toka utukufu wa mamlaka <strong>ya</strong>ke, wakati atakaposimama kutikisatikisa sana dunia”.<br />
Isa<strong>ya</strong> 2:20, 21.<br />
Wale waliotoa vyote kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo sasa wanakuwa katika salama. Mbele <strong>ya</strong><br />
ulimwengu nausoni kwa mauti wameonyesha uaminifu wao kwake yeye aliyekufa kwa ajili<br />
<strong>ya</strong>o. Nyuso zao, juzijuzi zilikuwa zenye kufifia na zenye kukonda, sasa zinangaa kwa ajabu.<br />
Sauti zao zinainuka kwa wimbo wa ushindi: “Mungu ni kimbilio letu na nguvu yetu, Msaada<br />
aliye karibu sana wakati wa mateso. Kwa hivi hatutaogopa, hata inchi ikibadilika, na hata<br />
milima ikihamishwa moyoni mwa bahari; Hata maji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kinguruma na kuchafuka, hata<br />
milima ikitikisika kwa kiburi chake”. Zaburi 46:1-3.<br />
Wakati maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> tumaini takatifu <strong>ya</strong>napopanda kwa Mungu, utukufu wa mji wa<br />
mbinguni unapita kwa milango inayofunguka kidogo. Ndipo pale panatokea kinyume cha<br />
mawingu mkono unaoshika mbao mbili za mawe. Sheria ile takatifu, iliyotangazwa kwa Sinai,<br />
imefunuliwa sasa kama kanuni <strong>ya</strong> hukumu. Maneno <strong>ya</strong>nakuwa wazi ili wote waweze<br />
ku<strong>ya</strong>soma. Ukumbusho umeamshwa. Giza <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> uchawi na uzushi<br />
imesafishwa kwa kila wazo.<br />
Ni vigumu kueleza hofu kuu na kukata tamaa kwa wale waliokan<strong>ya</strong>nga sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Kwa kufan<strong>ya</strong> urafiki na ulimwengu, wameweka kando maagizo <strong>ya</strong>ke na wakafundisha<br />
wengine kuzivunja. Sasa wamehukumiwa kwa sheria ile ambayo wameizarau. Wanaona <strong>ya</strong><br />
kwamba wanakuwa bila kisingizio. Adui za sheria <strong>ya</strong> Mungu wanakuwa na wazo mp<strong>ya</strong> juu<br />
<strong>ya</strong> kweli na mapashwa. Kuchelewa sana wanaona <strong>ya</strong> kwamba Sabato ni muhuri wa Mungu<br />
260