12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 40. Ukombozi Mkubwa<br />

Wakati ulinzi wa sheria za kibinadamu zitakapoondolewa kutoka kwa wale<br />

wanaoheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu, katika inchi mbalimbali kutakuwa mwendo wa namna moja<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> maangamizi <strong>ya</strong>o. Kwa namna wakati ulioamriwa katika agizo unapokaribia, watu<br />

watafan<strong>ya</strong> shauri pamoja usiku mmoja shauri la kuangamiza kwa pigo litakalon<strong>ya</strong>mazisha<br />

washupavu na wasiotii.<br />

Watu wa Mungu wengine wapo katika vyumba v<strong>ya</strong> gereza, wengine mwituni na katika<br />

milima--wanaomba ulinzi wa Mungu. Watu wenye silaha, wakilazimishwa na malaika<br />

waovu, wanajita<strong>ya</strong>risha kwa kazi <strong>ya</strong> mauti. Sasa, kwa saa <strong>ya</strong> mwisho kabisa, Mungu atajitia<br />

kati kati: “Mutakuwa na wimbo kama vile wakati wa usiku, wakati karamu takatifu<br />

inapotakaswa; na furaha <strong>ya</strong> moyo kama vile mtu anavyokwenda... katika mlima wa Bwana,<br />

aliye Mwamba wa Israeli. Na Bwana atafan<strong>ya</strong> sauti <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> utukufu kusikiwa, naye<br />

ataonyesha kushuka kwa mkono wake, wa nuru, kwa gazabu <strong>ya</strong> kasirani <strong>ya</strong>ke, na ulimi wa<br />

moto unaokula, pamoja na zoruba na garika na mvua <strong>ya</strong> mawe”: Isa<strong>ya</strong> 30:29,30.<br />

Makutano makubwa <strong>ya</strong> watu waovu <strong>ya</strong>nakuwa karibu kushambulia juu <strong>ya</strong> mawindo <strong>ya</strong>ke,<br />

wakati giza kubwa, nzito kuliko usiku, inaanguka duniani. Ndipo upindi wa mvua unazunguka<br />

mbingu kuonekana kuzunguka kila kundi la maombi. Makutano yenye kasirani <strong>ya</strong>mefungwa.<br />

Makusudi <strong>ya</strong> hasira <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>mesahauliwa. Wanatazama kwa mfano wa agano la Mungu na<br />

kutamani kulindwa kwa utukufu wake.<br />

Kwa watu wa Mungu sauti imesikiwa, kusema, “Tazama”. Kama Stefano wanatazama na<br />

wanaona utukufu wa Mungu na wa Mwana wa watu katika kiti chake cha enzi. Tazama<br />

Matendo 7:55, 56. Wanatambua alama za unyenyekevu wake, na wanasikia ombi, “nataka<br />

sana hawa ulionipa wakae pamoja nami pahali nilipo”. Yoane 17:24. Sauti imesikiwa ikisema,<br />

“Wanakuja, watakatifu, wapole, na safi! Wameshika neno la uvumilivu wangu”.<br />

Kwa usiku wa manane Mungu anaonyesha uwezo wake kwa ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa watu<br />

wake. Jua linatokea likingaa kwa nguvu zake. Alama na maajabu <strong>ya</strong>nafuata. Waovu<br />

wanatazama kwa hofu kuu kwa tokeo lile, huku wenye haki wakitazama alama za ukombozi<br />

wao. Katikati <strong>ya</strong> mbingu zenye hasira kukaonekana nafasi moja wazi <strong>ya</strong> utukufu usioelezeka<br />

na pale sauti <strong>ya</strong> Mungu ikatokea kama sauti <strong>ya</strong> maji mengi, ikisema, “imefanyika! ” Ufunuo<br />

16:17.<br />

Sauti inatetemesha mbingu na dunia. Hapo ni tetemeko kubwa la inchi, “hata tangu watu<br />

walipokuwa juu <strong>ya</strong> dunia halikuwa namna ile, namna lilivyokuwa kubwa tetemeko hili. ”<br />

Ufunuo 16:18. Miamba iliyopasuka ikatawanyika pande zote. Bahari ikatikisatikisa kwa<br />

hasira kali. Hapo kunasikiwa mlio wa nguvu wa tufani kama sauti <strong>ya</strong> mashetani. Upande wa<br />

juu wa inchi ukapasuka. Misingi <strong>ya</strong>ke yenyewe <strong>ya</strong>onekana kutoweka. Miji yenye bandari<br />

iliyokuwa kama Sodomo kwa ajili <strong>ya</strong> uovu imemezwa kwa maji yenye hasira. “Babeli ule<br />

mkubwa” ukakumbukwa mbele <strong>ya</strong> Mungu, “kupewa kikombe cha mvinyo <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong><br />

259

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!