12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kidogo sana <strong>ya</strong> kwamba wandeni kwa maisha <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> waaminifu wachache ambao<br />

wanafurashwa kwa kuwagandamiza.<br />

Kila mara katika baraza za ulimwengu huu, malaika wamekuwa wanenaji. Masikio <strong>ya</strong><br />

kibinadamu <strong>ya</strong>mesikiliza kwa miito <strong>ya</strong>o, midomo <strong>ya</strong> kibinadamu <strong>ya</strong>mezihakia mashauri <strong>ya</strong>o.<br />

Wajumbe hawa wa mbinguni wametibitisha vyema kuliko wao wenyewe kuweza kutetea kisa<br />

cha waliozulumiwa kuliko wateteaji wao wenye uwezo wa kusema vema. Wameshinda na<br />

kufunga waovu wale wangeleta mateso kwa watu wa Mungu.<br />

Kwa tamaa <strong>ya</strong> bidii, watu wa Mungu wanangojea ishara za kuja kwa Mfalme wao. Wakati<br />

wale wanaoshindana wanapoendesha maombi <strong>ya</strong>o mbele <strong>ya</strong> Mungu, mbingu zaangaza na<br />

mapambazuko <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> milele. Kama sauti tamu za nyimbo za malaika maneno <strong>ya</strong>naanguka<br />

kwa sikio: “saidia anakuja. ” Sauti <strong>ya</strong> Kristo inakuja kutoka kwa milango wazi: “Tazama,<br />

ninakuwa pamoja nanyi. Msiogope. Nimepigana vita kwa ajili yenu, na katika jina langu<br />

munakuwa zaidi kuliko washindaji.”<br />

Mwokozi mpenzi atatuma msaada wakati tunapouhitaji. Wakati wa taabu ni hatari <strong>ya</strong><br />

kutisha kwa watu wa Mungu, lakini kila mwamini wa kweli anaweza kuona kwa imani upindi<br />

wa ahadi ukimzunguka. “Hivi watu waliokombolewa na Bwana watarudi, watafika Sayuni na<br />

kuimba; Furaha <strong>ya</strong> milele itakuwa juu <strong>ya</strong> vichwa v<strong>ya</strong>o; watapata shangwe na furaha; huzuni<br />

na kulia kutakimbia”. Isa<strong>ya</strong> 51:11.<br />

Kama damu <strong>ya</strong> washuhuda wa Kristo ilimwangika kwa wakati huu, uaminifu wao<br />

haungekuwa ushuhuda kusadikisha wengine kwa ajili <strong>ya</strong> kweli, kwa maana moyo mgumu<br />

umefukuza nyuma mawimbi <strong>ya</strong> rehema hata <strong>ya</strong>sirudi tena. Kama wenye haki wanapashwa<br />

sasa kuanguka kuwa mawindo kwa adui zao, ingekuwa ushindi kwa mtawala wa giza. Kristo<br />

amesema: “Muje, watu wangu, mwingie ndani <strong>ya</strong> vyumba vyenu, na kufunga milango yenu<br />

nyuma yenu; mujifiche kwa dakika kidogo, hata wakati kasirani hii inapopita. Kwa maana<br />

tazama, Bwana anakuja kutoka pahali pake kuazibu wenye kukaa duniani kwa ajili <strong>ya</strong> uovu<br />

wao”. Isa<strong>ya</strong> 26:20,21.<br />

Wokovu utakuwa wa utukufu wa wale waliongojea kwa uvumilivu kwa ajili <strong>ya</strong> kuja<br />

kwake na majina <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>meandikwa katika kitabu cha uzima.<br />

258

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!