Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti Wakati watawala wa Kikristo watakapotangaza agizo juu ya wenye kushika amri kuondolewa kwa ulinzi wa serkali na kuwaacha kwa wale wanaotaka maangamizi yao, watu wa Mungu watakimbia kutoka katika miji na vijiji na kushirikiana pamoja katika makundi, kukaa katika mahali pa ukiwa sana na pa upekee. Wengi watapata kimbilio katika ngome za milima, kama Wakristo wa mabonde ya Piedmont (Vaudois). (Tazama sura ya ine). Lakini wengi katika mataifa yote na makundi yote, wa juu na chini, watajiri na maskini, weusi na weupe, watatupwa katika utumwa usio na haki kabisa na wa jeuri. Wapenzi wa Mungu watapitia kwa siku za taabu kufungiwa ndani ya gereza ya fito za chuma, kupewa hukumu ya kuuawa, labda kuachiwa kufa katika giza, gereza la kuchukiza mno. Je, Bwana atasahau watu wake kwa saa hii ya majaribu? Je, alimsahau muaminifu Nuhu, Loti, Yusufu, Elia, Yeremia, ao Danieli? Ingawa adui wakiwasukuma kwa nguvu katika gereza, lakini kuta za gereza haziwezi kukata habari kati ya nafsi zao na Kristo. Malaika watakuja kwao katika vyumba vya kifungo vya kipekee. Gereza itakuwa kama jumba la mfalme, na kuta za giza zitaangaziwa kama vile Paulo na Sila walipokuwa wakiimba usiku wa manane katika gereza ya Wafilipi. Hukumu za Mungu zitajia wale wanaotaka kuangamiza watu wake. Kwa Mungu, azabu ni “tendo la kigeni”. Isaya 28:21; utazame vilevile Ezekieli 23:11. Bwana ni mwenye”rehema na mwenye neema, si mwepesi kwa hasira, mwema na kweli nyingi, ... akisamehe uovu na makosa na zambi”. Lakini “hataachilia wenye zambi hata kidogo”. Kutoka 34:6, 7; Nahamu 1:3. Taifa inalostahimili wakati mrefu, na linalojaza kipimo cha uovu wake, mwishoni litakunywa kikombe cha hasira pasipo kuchanganywa na rehema. Wakati Kristo anapomaliza uombezi wake katika Pahali patakatifu, hasira (ghazabu) pasipo kuchanganywa itahofishwa juu ya wale wanaoabudu mnyama itamiminwa. Mapigo kwa Misri yalikuwa ya namna moja na hukumu zenye eneo kubwa zaidi zile ambazo zinapaswa kuanguka duniani mbele kabisa ya wokovu wa mwisho wa watu wa Mungu. Asema mfumbuzi: “Ikaanguka jipu mbaya, zito, juu ya watu wenye chapa ya mnyama, na wale walioabudu sanamu yake. “Bahari “ikakuwa damu kama damu ya mfu”. Na “mito na chemchemi za maji; zikakuwa damu”. Malaika anatangaza: “Wewe mwenye haki, Bwana, ... kwa sababu umehukumu hivi. Kwani walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii, nawe umewapa damu kunywa; nao wamestahili”. Ufunuo 16:2-6. Kwa kuhukumu watu wa Mungu hukumu ya mauti, kwa kweli wamehesabiwa makosa ya damu yao kama ingemwagika na mikono yao. Kristo alitangaza kwa Wayahudi wa wakati wake kosa ya damu yote ya watu watakatifu iliyomwagika tangu siku za Abeli (Matayo 23:34-36). Kwani walikuwa na roho ya namna moja kama wauaji hawa wa manabii. Kwa pigo linalofuata, uwezo unatolewa kwa jua “kuunguza watu kwa moto”. Ufunua 16:8,9. Manabii wanaeleza wakati huu wakutisha: “Mavuno ya shamba yameharibiwa... miti yote ya shamba imekauka kwa sababu furaha imekauka katika wana wa watu”. “Wanyama 256
Kupinga ya Kiprotestanti wanamlio wa huzuni makundi ya mifungo yanafzaika, sababu nawana malisho.... Maji ya mito yamekauka, na moto umekula malisho ya jangwa”. Joel 1:11,12, 18-20. Mapigo haya si ya mahali pote, lakini yatakuwa mapigo ya kutisha zaidi isiyofahamika kamwe. Hukumu zote zilizotangulia kufungwa kwa rehema zilikuwa zikichanganyika na rehema. Damu ya Kristo imelinda mwenye zambi kwa kiasi kamili cha kosa lake; lakini kwa hukumu ya mwisho, hasira si ya kuchanganywa na rehema. Wengi watatamani ulinzi wa rehema ya Mungu ambayo walikuwa wakiizarau. Wakati wanapoteseka na kusumbuliwa, wakati wanapoteseka na njaa, watu wa Mungu hawataachwa kuangamizwa. Malaika watawatolea mahitaji yao. “Atapewa chakula chake; maji yake hayatakosekana”. “Mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha”. Isaya 33:16; 41:17. Lakini kwa maonyo ya kibinadamu itaonekana ya kwamba watu wa Mungu wangepashwa upesi kutia muhuri kwa ushuhuda wao kwa damu yao, kama walivyofanya wafia dini mbele yao. Ni wakati wa maumivu makuu ya kutisha. Waovu wameshangilia. “Imani yenu inakuwa wapi sasa? Sababu gani Mungu hawaokoi kwa mikono yetu kama munakuwa kweli watu wake”? Lakini wanaongojea wanakumbuka Kristo alipokufa juu ya msalaba wa Kalvari. Kama Yakobo, wote wanashindana na Mungu. Makundi ya Malaika Wanalinda Malaika wanatua kwa wale waliolinda neno la uvumilivu la Kristo. Wameshuhudia shida yao na wamesikia maombi yao. Wanangojea neno la Mkuu wao kuwanyakua kwa hatari yao. Lakini wanapashwa kungojea wakati mrefu kidogo. Watu wa Mungu wanapashwa kunywa kikombe na kubatizwa kwa ubatizo. Matayo 20:20-23. Lakini kwa ajili ya wateule wakati wa taabu utafupishwa. Mwisho utakuja upesi kuliko watu wanavyotazamia. Ingawa amri ya kawaida imeweka wakati washika amri wanapoweza kuuawa, adui zao kwa sababu zingine wataharakisha amri na kujaribu kuondoa maisha yao. Lakini hakuna mtu anayeweza kupita walinzi waliotua kuzunguka kila nafsi aminifu. Wengine walishambuliwa wakati wa kukimbia kwao kutoka mijini, lakini panga zilizoinuliwa juu yao zikavunjika kama majani makavu. Wengine wakalindwa na malaika katika hali ya watu wa vita. Katika vizazi vyote viumbe vya mbinguni wamekamata sehemu ya juhudi katika mambo ya watu. Wamekubali kukaribisha na wanadamu, kutenda kama viongozi kwa wasafiri wajinga, wakafungua milango ya gereza na kuweka huru watumishi wa Bwana. Wakaja kusukuma jiwe kwa kaburi la Mwokozi. Malaika wanazuru mikutano ya waovu, kama walivyokwenda Sodomo, kuhakikisha kama wamepitisha mpaka wa uvumilivu wa Mungu. Bwana, kwa ajili ya wachache wanamtumikia kwa kweli, anazuia misiba na anazidisha utulivu wa makutano. Wenye zambi wanafahamu 257
- Page 213 and 214: Kupinga ya Kiprotestanti za Mungu k
- Page 215 and 216: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 30. U
- Page 217 and 218: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 31. P
- Page 219 and 220: Kupinga ya Kiprotestanti Kapernaumu
- Page 221 and 222: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kusima
- Page 223 and 224: Kupinga ya Kiprotestanti ya viumbe
- Page 225 and 226: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 33. K
- Page 227 and 228: Kupinga ya Kiprotestanti yameenea p
- Page 229 and 230: Kupinga ya Kiprotestanti Je, wale a
- Page 231 and 232: Kupinga ya Kiprotestanti 4:1618. Ka
- Page 233 and 234: Kupinga ya Kiprotestanti juu ya dun
- Page 235 and 236: Kupinga ya Kiprotestanti anawashiki
- Page 237 and 238: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 35. U
- Page 239 and 240: Kupinga ya Kiprotestanti Wanaweka m
- Page 241 and 242: Kupinga ya Kiprotestanti la Wakrist
- Page 243 and 244: Kupinga ya Kiprotestanti nabii, “
- Page 245 and 246: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 36. M
- Page 247 and 248: Kupinga ya Kiprotestanti kuchangany
- Page 249 and 250: Kupinga ya Kiprotestanti “Joka ak
- Page 251 and 252: Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu Kupi
- Page 253 and 254: Kupinga ya Kiprotestanti kweli atas
- Page 255 and 256: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mmo
- Page 257 and 258: Kupinga ya Kiprotestanti Hakuna mtu
- Page 259 and 260: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 39. W
- Page 261 and 262: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa namna
- Page 263: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenyewe.
- Page 267 and 268: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 40. U
- Page 269 and 270: Kupinga ya Kiprotestanti mwenye uha
- Page 271 and 272: Kupinga ya Kiprotestanti yote, na s
- Page 273 and 274: Kupinga ya Kiprotestanti walioheshi
- Page 275 and 276: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 41. D
- Page 277 and 278: Kupinga ya Kiprotestanti zamani, an
- Page 279 and 280: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 42. V
- Page 281 and 282: Kupinga ya Kiprotestanti ambayo wal
- Page 283 and 284: Kupinga ya Kiprotestanti Kila swali
- Page 285 and 286: Kupinga ya Kiprotestanti Huko ni Ye
- Page 288: Kungojea Mwisho
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
wanamlio wa huzuni makundi <strong>ya</strong> mifungo <strong>ya</strong>nafzaika, sababu nawana malisho.... Maji <strong>ya</strong><br />
mito <strong>ya</strong>mekauka, na moto umekula malisho <strong>ya</strong> jangwa”. Joel 1:11,12, 18-20.<br />
Mapigo ha<strong>ya</strong> si <strong>ya</strong> mahali pote, lakini <strong>ya</strong>takuwa mapigo <strong>ya</strong> kutisha zaidi isiyofahamika<br />
kamwe. Hukumu zote zilizotangulia kufungwa kwa rehema zilikuwa zikichanganyika na<br />
rehema. Damu <strong>ya</strong> Kristo imelinda mwenye zambi kwa kiasi kamili cha kosa lake; lakini kwa<br />
hukumu <strong>ya</strong> mwisho, hasira si <strong>ya</strong> kuchanganywa na rehema. Wengi watatamani ulinzi wa<br />
rehema <strong>ya</strong> Mungu ambayo walikuwa wakiizarau.<br />
Wakati wanapoteseka na kusumbuliwa, wakati wanapoteseka na njaa, watu wa Mungu<br />
hawataachwa kuangamizwa. Malaika watawatolea mahitaji <strong>ya</strong>o. “Atapewa chakula chake;<br />
maji <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>takosekana”. “Mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli,<br />
sitawaacha”. Isa<strong>ya</strong> 33:16; 41:17.<br />
Lakini kwa maonyo <strong>ya</strong> kibinadamu itaonekana <strong>ya</strong> kwamba watu wa Mungu wangepashwa<br />
upesi kutia muhuri kwa ushuhuda wao kwa damu <strong>ya</strong>o, kama walivyofan<strong>ya</strong> wafia dini mbele<br />
<strong>ya</strong>o. Ni wakati wa maumivu makuu <strong>ya</strong> kutisha. Waovu wameshangilia. “Imani yenu inakuwa<br />
wapi sasa? Sababu gani Mungu hawaokoi kwa mikono yetu kama munakuwa kweli watu<br />
wake”? Lakini wanaongojea wanakumbuka Kristo alipokufa juu <strong>ya</strong> msalaba wa Kalvari.<br />
Kama Yakobo, wote wanashindana na Mungu.<br />
Makundi <strong>ya</strong> Malaika Wanalinda<br />
Malaika wanatua kwa wale waliolinda neno la uvumilivu la Kristo. Wameshuhudia shida<br />
<strong>ya</strong>o na wamesikia maombi <strong>ya</strong>o. Wanangojea neno la Mkuu wao kuwan<strong>ya</strong>kua kwa hatari <strong>ya</strong>o.<br />
Lakini wanapashwa kungojea wakati mrefu kidogo. Watu wa Mungu wanapashwa kunywa<br />
kikombe na kubatizwa kwa ubatizo. Matayo 20:20-23. Lakini kwa ajili <strong>ya</strong> wateule wakati wa<br />
taabu utafupishwa. Mwisho utakuja upesi kuliko watu wanavyotazamia.<br />
Ingawa amri <strong>ya</strong> kawaida imeweka wakati washika amri wanapoweza kuuawa, adui zao<br />
kwa sababu zingine wataharakisha amri na kujaribu kuondoa maisha <strong>ya</strong>o. Lakini hakuna mtu<br />
anayeweza kupita walinzi waliotua kuzunguka kila nafsi aminifu. Wengine walishambuliwa<br />
wakati wa kukimbia kwao kutoka mijini, lakini panga zilizoinuliwa juu <strong>ya</strong>o zikavunjika kama<br />
majani makavu. Wengine wakalindwa na malaika katika hali <strong>ya</strong> watu wa vita.<br />
Katika vizazi vyote viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni wamekamata sehemu <strong>ya</strong> juhudi katika mambo<br />
<strong>ya</strong> watu. Wamekubali kukaribisha na wanadamu, kutenda kama viongozi kwa wasafiri<br />
wajinga, wakafungua milango <strong>ya</strong> gereza na kuweka huru watumishi wa Bwana. Wakaja<br />
kusukuma jiwe kwa kaburi la Mwokozi.<br />
Malaika wanazuru mikutano <strong>ya</strong> waovu, kama walivyokwenda Sodomo, kuhakikisha kama<br />
wamepitisha mpaka wa uvumilivu wa Mungu. Bwana, kwa ajili <strong>ya</strong> wachache wanamtumikia<br />
kwa kweli, anazuia misiba na anazidisha utulivu wa makutano. Wenye zambi wanafahamu<br />
257