Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wakati watawala wa Kikristo watakapotangaza agizo juu <strong>ya</strong> wenye kushika amri<br />
kuondolewa kwa ulinzi wa serkali na kuwaacha kwa wale wanaotaka maangamizi <strong>ya</strong>o, watu<br />
wa Mungu watakimbia kutoka katika miji na vijiji na kushirikiana pamoja katika makundi,<br />
kukaa katika mahali pa ukiwa sana na pa upekee. Wengi watapata kimbilio katika ngome za<br />
milima, kama Wakristo wa mabonde <strong>ya</strong> Piedmont (Vaudois). (Tazama sura <strong>ya</strong> ine). Lakini<br />
wengi katika mataifa yote na makundi yote, wa juu na chini, watajiri na maskini, weusi na<br />
weupe, watatupwa katika utumwa usio na haki kabisa na wa jeuri. Wapenzi wa Mungu<br />
watapitia kwa siku za taabu kufungiwa ndani <strong>ya</strong> gereza <strong>ya</strong> fito za chuma, kupewa hukumu <strong>ya</strong><br />
kuuawa, labda kuachiwa kufa katika giza, gereza la kuchukiza mno.<br />
Je, Bwana atasahau watu wake kwa saa hii <strong>ya</strong> majaribu? Je, alimsahau muaminifu Nuhu,<br />
Loti, Yusufu, Elia, Yeremia, ao Danieli? Ingawa adui wakiwasukuma kwa nguvu katika<br />
gereza, lakini kuta za gereza haziwezi kukata habari kati <strong>ya</strong> nafsi zao na Kristo. Malaika<br />
watakuja kwao katika vyumba v<strong>ya</strong> kifungo v<strong>ya</strong> kipekee. Gereza itakuwa kama jumba la<br />
mfalme, na kuta za giza zitaangaziwa kama vile Paulo na Sila walipokuwa wakiimba usiku<br />
wa manane katika gereza <strong>ya</strong> Wafilipi.<br />
Hukumu za Mungu zitajia wale wanaotaka kuangamiza watu wake. Kwa Mungu, azabu<br />
ni “tendo la kigeni”. Isa<strong>ya</strong> 28:21; utazame vilevile Ezekieli 23:11. Bwana ni mwenye”rehema<br />
na mwenye neema, si mwepesi kwa hasira, mwema na kweli nyingi, ... akisamehe uovu na<br />
makosa na zambi”. Lakini “hataachilia wenye zambi hata kidogo”. Kutoka 34:6, 7; Nahamu<br />
1:3. Taifa inalostahimili wakati mrefu, na linalojaza kipimo cha uovu wake, mwishoni<br />
litakunywa kikombe cha hasira pasipo kuchanganywa na rehema.<br />
Wakati Kristo anapomaliza uombezi wake katika Pahali patakatifu, hasira (ghazabu)<br />
pasipo kuchanganywa itahofishwa juu <strong>ya</strong> wale wanaoabudu mn<strong>ya</strong>ma itamiminwa. Mapigo<br />
kwa Misri <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> namna moja na hukumu zenye eneo kubwa zaidi zile ambazo<br />
zinapaswa kuanguka duniani mbele kabisa <strong>ya</strong> wokovu wa mwisho wa watu wa Mungu.<br />
Asema mfumbuzi: “Ikaanguka jipu mba<strong>ya</strong>, zito, juu <strong>ya</strong> watu wenye chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma, na<br />
wale walioabudu sanamu <strong>ya</strong>ke. “Bahari “ikakuwa damu kama damu <strong>ya</strong> mfu”. Na “mito na<br />
chemchemi za maji; zikakuwa damu”. Malaika anatangaza: “Wewe mwenye haki, Bwana, ...<br />
kwa sababu umehukumu hivi. Kwani walimwaga damu <strong>ya</strong> watakatifu na <strong>ya</strong> manabii, nawe<br />
umewapa damu kunywa; nao wamestahili”. Ufunuo 16:2-6. Kwa kuhukumu watu wa Mungu<br />
hukumu <strong>ya</strong> mauti, kwa kweli wamehesabiwa makosa <strong>ya</strong> damu <strong>ya</strong>o kama ingemwagika na<br />
mikono <strong>ya</strong>o. Kristo alitangaza kwa Wa<strong>ya</strong>hudi wa wakati wake kosa <strong>ya</strong> damu yote <strong>ya</strong> watu<br />
watakatifu iliyomwagika tangu siku za Abeli (Matayo 23:34-36). Kwani walikuwa na roho<br />
<strong>ya</strong> namna moja kama wauaji hawa wa manabii.<br />
Kwa pigo linalofuata, uwezo unatolewa kwa jua “kuunguza watu kwa moto”. Ufunua<br />
16:8,9. Manabii wanaeleza wakati huu wakutisha: “Mavuno <strong>ya</strong> shamba <strong>ya</strong>meharibiwa... miti<br />
yote <strong>ya</strong> shamba imekauka kwa sababu furaha imekauka katika wana wa watu”. “Wan<strong>ya</strong>ma<br />
256