12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mwenyewe. Watafan<strong>ya</strong> maajabu <strong>ya</strong> kupon<strong>ya</strong> na kujifan<strong>ya</strong> kuwa na mambo <strong>ya</strong> ufunuo kutoka<br />

mbinguni kupinga Maandiko.<br />

Kama tendo la kutukuzwa katika ukubwa hadithi iliotungwamakusudi <strong>ya</strong> kuingizwa kama<br />

mchezo mbele <strong>ya</strong> watu wa madanganyo, Shetani mwenyewe atajifan<strong>ya</strong> kuwa Kristo. Kanisa<br />

lilitazamia wakati mrefu kuja kwa Mwokozi kama utimilizo wa matumaini <strong>ya</strong>ke. Sasa<br />

mshawishi mkubwa atafan<strong>ya</strong> kuonekana kwake <strong>ya</strong> kwamba Kristo amekuja. Shetani<br />

atajionyesha mwenyewe kama kiumbe chenye utukufu cha wangavu wa kushangaza,<br />

kufanana na sifa <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu katika Ufunuo. Ufunuo 1:13-15.<br />

Utukufu unaomzunguka unapita kila kitu ambacho macho <strong>ya</strong> kibinadamu (wanaokufa)<br />

ha<strong>ya</strong>jaona kamwe. Shangwe <strong>ya</strong> ushindi italia, “Kristo amekuja!” Watu watamsujudia .<br />

Atanyosha mikono <strong>ya</strong>ke juu na kuwabariki. Sauti <strong>ya</strong>ke itakuwa <strong>ya</strong> kupendeza, lakini inapojaa<br />

na sauti tamu zinazofuatana. Kwa sauti <strong>ya</strong> huruma ataonyesha mambo mengine <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong><br />

‘’mbinguni <strong>ya</strong>liotamkwa na Mwokozi. Ataponyesha magonjwa, na baadaye, katika tabia <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong> kujitia kwa mamlaka <strong>ya</strong> Kristo, anajidai kuweza kubadili Sabato na kuiweka kwa siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (dimanche). Anatangaza <strong>ya</strong> kwamba wale wanaoshika siku <strong>ya</strong> saba kuwa takatifu<br />

wanatukana jina lake. Hii ni madanganyo <strong>ya</strong> nguvu isiyoweza kuzuiwa na mtu. Watu wengi<br />

wanatoa usikizi kwa mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uchawi, wakisema, Huu ni “uwezo mkubwa wa Mungu”,<br />

Matendo 8:10.<br />

Watu wa Mungu Hawataongozwa Viba<strong>ya</strong><br />

Lakini watu wa Mungu hawataongozwa viba<strong>ya</strong>. Mafundisho <strong>ya</strong> kristo huyu wa uwongo<br />

ha<strong>ya</strong>ako kwa mapatano na Maandiko. Baraka <strong>ya</strong>ke itatamkwa juu <strong>ya</strong> waabuduo wa mn<strong>ya</strong>ma<br />

na sanamu <strong>ya</strong>ke, ni kundi kabisa ambalo Biblia inatangaza <strong>ya</strong> Kwamba gazabu <strong>ya</strong> Mungu<br />

pasipo kuchanganywa itamiminwa.<br />

Tena zaidi, Shetani hakuruhusiwa kuiga namna <strong>ya</strong> majilio <strong>ya</strong> Kristo. Mwokozi ameon<strong>ya</strong><br />

watu wake juu <strong>ya</strong> madanganyo kwa jambo hili. “Kwa sababu Wakristo wa uwongo<br />

watasimama, na manabii za uwongo, nao wataonyesha alama kubwa na maajabu wapate<br />

kudangan<strong>ya</strong> kama ikiwezekana, hata wachaguliwa... Basi kama wakiwaambia ninyi: Tazama<br />

yeye ni jangwani; musitoke; Tazama, yeye ni katika vyumba v<strong>ya</strong> ndani nyumbani, musisadiki.<br />

Kwa maana kama umeme unavyokuja toka mashariki na unaangaza hata mangaribi; hivi kuja<br />

kwa Mwana wa watu kutakavyokuwa vile”. Matayo 24:24-27. Utazame vilevile Matayo<br />

25:31; Ufunuo 1:7; 1 Watesalonika 4:16,17. Kuja huku, hapo hakuna namna <strong>ya</strong> kuiga.<br />

Itashuhudiwa kwa ulimwengu wote mzima.<br />

Ila wanafunzi wa juhudi tu wa Maandiko waliokubali upendo wa kweli watakaolindwa<br />

kwa madanganyo <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong>nayofan<strong>ya</strong> dunia kuwa mateka. Kwa ushuhuda wa Biblia hawa<br />

watavumbua mdanganyi huyu kwa umbo la uwongo wake. Je, watu wa Mungu sasa<br />

wanakuwa wenye imara sana kwa Neno lake ili wasingejitoa kwa ushuhuda wa mashauri <strong>ya</strong>o?<br />

Je, katika shida <strong>ya</strong> namna hii, wangeshikamana kwa Biblia, na kwa Biblia pekee?<br />

255

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!