12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong> tanuru inaonekana karibu kuwateketeza, lakini Mtakasaji atawaleta kama zahabu<br />

iliyojaribiwa ao kutakaswa katika moto.<br />

Imani lnayovumilia<br />

Wakati wa taabu na maumivu makuu <strong>ya</strong>nayokuwa mbele yetu <strong>ya</strong>tadai imani ile inayoweza<br />

kuvumilia ulegevu, kukawia, na njaa, imani ambayo haitalegea katika majaribu makali.<br />

Ushindi wa Yakobo ni ushuhuda wa nguvu <strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong> kushurutisha. Wote watakaoshikilia<br />

ahadi za Mungu, kama alivyofan<strong>ya</strong>, watafaulu kama alivyofaulu. Kushindana na Mungu--<br />

namna gani wachache wanaojua umuhimu wake! Wakati mawimbi <strong>ya</strong> kukata tamaa<br />

<strong>ya</strong>napopita kwa nguvu juu <strong>ya</strong> mwombaji, namna gani wachache wanashikamana katika imani<br />

na ahadi za Mungu.<br />

Wale wanaotumia imani ndogo tu sasa wanakuwa katika hatari kubwa <strong>ya</strong> kuanguka chini<br />

<strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> Shetani. Na hata kama wanavumilia jaribu watatumbukia<br />

katika wasiwasi kubwa wakati wa taabu kwa sababu hawakuifan<strong>ya</strong> kamwe kuwa zoezi la<br />

kumtumaini Mungu. Inatupasa sasa kutibitisha ahadi zake.<br />

Kila mara taabu ni kubwa linapofikiriwa aotendwa la mbele kuliko wakati ule kwa hakika<br />

linapashwa kutendeka ao kuonekana, lakini hii si kweli juu <strong>ya</strong> wakati wa taabu unaokuwa<br />

mbele yetu. Maelezo mengi <strong>ya</strong> wazi ha<strong>ya</strong>wezi kuikia ukubwa wa majaribu. Kwa wakati ule<br />

wa shida kila nafsi inapashwa kusimama yenyewe mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Sasa, wakati kuhani wetu Mkubwa anapofan<strong>ya</strong> upatanisho kwa ajili yetu, inatupasa<br />

kutafuta kuwa wakamilifu katika Kristo. Si kwa wazo ambalo mwokozi wetu aliweza<br />

kuwezeshwa kujitoa kwa uwezo wa majaribu. Shetani anapata ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> kibinadamu<br />

mahali padogo ambapo anaweza kupata tegemeo la kusimamisha mguu; tamaa fulani <strong>ya</strong><br />

zambi inatunzwa pale, na kwa njia ambayo majaribu <strong>ya</strong>ke kusimamia uwezo wao. Lakini<br />

Kristo anajitangaza mwenyewe: “Mkubwa wa dunia hii anakuja; na yeye hana kitu ndani<br />

<strong>ya</strong>ngu.” Yoane 14:30. Shetani hakuweza kupata kitu ndani <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu ambacho<br />

kingeweza kumwezesha kupata ushindi. Hapakuwa zambi ndani <strong>ya</strong>ke ambayo Shetani<br />

angeweza kutumia kwa faida <strong>ya</strong>ke. Hii ni kawaida ambayo inapashwa kujitenga kwao<br />

watakaosimama katika wakati wa taabu.<br />

Ni katika maisha ha<strong>ya</strong> ambayo tunapashwa kujitenga na zambi, katika imani kwa damu<br />

<strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong> upatanisho. Mwokozi wetu wa damani anatualika kujiunga kwake sisi wenyewe,<br />

kuunga uzaifu wetu kwa nguvu zake, kutostahili kwetu kwa matendo mema <strong>ya</strong>ke. Inabaki<br />

kwetu kushirikiana mbingu katika kazi <strong>ya</strong> kulinganisha tabia zetu kwa mfano wa Mungu.<br />

Kazi <strong>ya</strong> Shetani <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong> na uharibifu itafikia kipimo cha juu (mwisho) wakatiwa<br />

taabu. Maono <strong>ya</strong> kuogof<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> tabia isiyokuwa <strong>ya</strong> kibinadamu karibu <strong>ya</strong>tafunuliwa katika<br />

mbingu, kwa alama <strong>ya</strong> uwezo wa kazi za miujiza <strong>ya</strong> mashetani. Pepo waba<strong>ya</strong> wataendelea<br />

kwa “falme za dunia” na kwa ulimwengu wote, kuwashurtisha kuungana na Shetani katika<br />

mapigano <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho juu <strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong> mbinguni. Watu watatokea kudai kuwa Kristo<br />

254

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!