Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
<strong>ya</strong> tanuru inaonekana karibu kuwateketeza, lakini Mtakasaji atawaleta kama zahabu<br />
iliyojaribiwa ao kutakaswa katika moto.<br />
Imani lnayovumilia<br />
Wakati wa taabu na maumivu makuu <strong>ya</strong>nayokuwa mbele yetu <strong>ya</strong>tadai imani ile inayoweza<br />
kuvumilia ulegevu, kukawia, na njaa, imani ambayo haitalegea katika majaribu makali.<br />
Ushindi wa Yakobo ni ushuhuda wa nguvu <strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong> kushurutisha. Wote watakaoshikilia<br />
ahadi za Mungu, kama alivyofan<strong>ya</strong>, watafaulu kama alivyofaulu. Kushindana na Mungu--<br />
namna gani wachache wanaojua umuhimu wake! Wakati mawimbi <strong>ya</strong> kukata tamaa<br />
<strong>ya</strong>napopita kwa nguvu juu <strong>ya</strong> mwombaji, namna gani wachache wanashikamana katika imani<br />
na ahadi za Mungu.<br />
Wale wanaotumia imani ndogo tu sasa wanakuwa katika hatari kubwa <strong>ya</strong> kuanguka chini<br />
<strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> Shetani. Na hata kama wanavumilia jaribu watatumbukia<br />
katika wasiwasi kubwa wakati wa taabu kwa sababu hawakuifan<strong>ya</strong> kamwe kuwa zoezi la<br />
kumtumaini Mungu. Inatupasa sasa kutibitisha ahadi zake.<br />
Kila mara taabu ni kubwa linapofikiriwa aotendwa la mbele kuliko wakati ule kwa hakika<br />
linapashwa kutendeka ao kuonekana, lakini hii si kweli juu <strong>ya</strong> wakati wa taabu unaokuwa<br />
mbele yetu. Maelezo mengi <strong>ya</strong> wazi ha<strong>ya</strong>wezi kuikia ukubwa wa majaribu. Kwa wakati ule<br />
wa shida kila nafsi inapashwa kusimama yenyewe mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />
Sasa, wakati kuhani wetu Mkubwa anapofan<strong>ya</strong> upatanisho kwa ajili yetu, inatupasa<br />
kutafuta kuwa wakamilifu katika Kristo. Si kwa wazo ambalo mwokozi wetu aliweza<br />
kuwezeshwa kujitoa kwa uwezo wa majaribu. Shetani anapata ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> kibinadamu<br />
mahali padogo ambapo anaweza kupata tegemeo la kusimamisha mguu; tamaa fulani <strong>ya</strong><br />
zambi inatunzwa pale, na kwa njia ambayo majaribu <strong>ya</strong>ke kusimamia uwezo wao. Lakini<br />
Kristo anajitangaza mwenyewe: “Mkubwa wa dunia hii anakuja; na yeye hana kitu ndani<br />
<strong>ya</strong>ngu.” Yoane 14:30. Shetani hakuweza kupata kitu ndani <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu ambacho<br />
kingeweza kumwezesha kupata ushindi. Hapakuwa zambi ndani <strong>ya</strong>ke ambayo Shetani<br />
angeweza kutumia kwa faida <strong>ya</strong>ke. Hii ni kawaida ambayo inapashwa kujitenga kwao<br />
watakaosimama katika wakati wa taabu.<br />
Ni katika maisha ha<strong>ya</strong> ambayo tunapashwa kujitenga na zambi, katika imani kwa damu<br />
<strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong> upatanisho. Mwokozi wetu wa damani anatualika kujiunga kwake sisi wenyewe,<br />
kuunga uzaifu wetu kwa nguvu zake, kutostahili kwetu kwa matendo mema <strong>ya</strong>ke. Inabaki<br />
kwetu kushirikiana mbingu katika kazi <strong>ya</strong> kulinganisha tabia zetu kwa mfano wa Mungu.<br />
Kazi <strong>ya</strong> Shetani <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong> na uharibifu itafikia kipimo cha juu (mwisho) wakatiwa<br />
taabu. Maono <strong>ya</strong> kuogof<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> tabia isiyokuwa <strong>ya</strong> kibinadamu karibu <strong>ya</strong>tafunuliwa katika<br />
mbingu, kwa alama <strong>ya</strong> uwezo wa kazi za miujiza <strong>ya</strong> mashetani. Pepo waba<strong>ya</strong> wataendelea<br />
kwa “falme za dunia” na kwa ulimwengu wote, kuwashurtisha kuungana na Shetani katika<br />
mapigano <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho juu <strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong> mbinguni. Watu watatokea kudai kuwa Kristo<br />
254