You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kwa namna Shetani alivyomshitaki Yakobo, ataendelea na masitaka <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> watu wa<br />
Mungu. Anakuwa na taarifa sahihi <strong>ya</strong> zambi alizokuwa wakiwajaribu nazo kutenda na<br />
anatangaza <strong>ya</strong> kwamba kwa haki hawezi kuwasamehe zambi zao kwani kumwangamiza na<br />
malaika zake. Anadai <strong>ya</strong> kwamba watolewe mikononi mwake kuangamizwa.<br />
Bwana anamruhusu kuwajaribu iwezekanavyo. Tumaini lao kwa Mungu, imani <strong>ya</strong>o,<br />
itajaribiwa kwa ukali. Wanapo jikumbusha <strong>ya</strong>lipopita, imani <strong>ya</strong>o inazama, kwani kwa maisha<br />
<strong>ya</strong>o yote wanaweza uzuri ndogo. Shetani anajaribu kuwatisha kwa mafikara kuwa kezi zao<br />
hakuna matumaini. Anatumaini pia kuharibu imani <strong>ya</strong>o ili wajitoe kwa majaribu na kugeuza<br />
utii wao kutoka kwa Mungu.<br />
Maumivu Makuu ambao Mungu Atalaumiwa<br />
Kwani maumivu ambayo watu wa Mungu wanateseka nayo si hofu <strong>ya</strong> mateso. Wanaogopa<br />
<strong>ya</strong> kwamba katika kosa fulani ndani <strong>ya</strong>o wenyewe watashindwa kupata utimilifu wa ahadi <strong>ya</strong><br />
Mwokozi: “Mimi nitakulinda, utoke katika saa <strong>ya</strong> kujaribiwa iliyo ta<strong>ya</strong>ri kufikia dunia yote”.<br />
Ufunuo 3:10. Je, wangeonekana kuthibitishwa kuwa wasiostahili kwa sababu <strong>ya</strong> makosa <strong>ya</strong>o<br />
wenyewe <strong>ya</strong> tabia, ndipo jina takatifu la Mungu lingelaumiwa.<br />
Wanaonyesha kwa toba <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> wakati uliopita wa zambi zao nyingi na kuomba ahadi <strong>ya</strong><br />
mwokozi: “Ao ashike nguvu zangu, afanye salama nami; Ndiyo afanye salama nami”. Ysa<strong>ya</strong><br />
27:5. Ijapo kuteseka kwa mashaka na msiba, hawaachi maombezi <strong>ya</strong>o. Wanaweka mshiko wa<br />
Mungu kama Yakobo alivyoweka mshiko wa Malaika; na msemo wa roho zao ni “Sitakuacha<br />
kwenda, kama haunibariki.”<br />
Zambi Zilifutiliwa Mbali<br />
Katika wakati wa taabu, kama watu wa Mungu walikuwa na zambi zisizoungamwa<br />
kuonekana mbele <strong>ya</strong>o wanapoteseka na hofu na maumivu makali, wangezamishwa. Kukata<br />
tamaa kungaliondoa imani <strong>ya</strong>o, na hawangeweza kumuomba Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu.<br />
Lakini hawakuficha maovu kwa ku<strong>ya</strong>funua. Zambi zao zimetangulia kwa hukumu na<br />
zimefutiliwa mbali, na hawataweza kuzikumbuka.<br />
Bwana anaonyesha katika matendo <strong>ya</strong>ke pamoja na <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> Yakobo <strong>ya</strong> kwamba kwa ginsi<br />
yo yote hawezi kuvumilia uovu. Wote wanaoachilia ao kuficha zambi zao na kuziruhusu<br />
kudumu katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni bila kuziungama na bila kusamehewa watashindwa na<br />
Shetani. Zaidi wanapoheshimu nia wanapoishikilia, ni uhakikisho wa ushindi adui waoa.<br />
Wale wanaochelewesha mata<strong>ya</strong>risho hawataweza ku<strong>ya</strong>pata wakati wa hatari, wala wakati wo<br />
wote unaofuata. Kesi za wote kama wale ni bila tumaini.<br />
Historia <strong>ya</strong> Yakobo pia ni matumaini <strong>ya</strong> kwamba Mungu hatatupa wale ambao,<br />
waliodanganywa katika zambi, na wamerudi kwake na toba <strong>ya</strong> kweli. Mungu atatuma malaika<br />
kuwafariji wale wanaokuwa katika hatari. Jicho la Bwana ni juu <strong>ya</strong> watu wake. Ndimi za moto<br />
253