12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wakati wa Taabu <strong>ya</strong> Yakobo<br />

Kwa namna Sabato inavyokuwa jambo la upekee la ushindani po pote katika jamii <strong>ya</strong><br />

Wakristo wote, italazimishwa <strong>ya</strong> kwamba wachache wanaosimama katika upinzani kwa<br />

kanisa na serekali hawapashwi kuvumiliwa, <strong>ya</strong> kwamba ni bora kwao kuteswa kuliko mataifa<br />

yote kutupwa katika fujo. “Inafaa kwetu ka<strong>ya</strong>fa akasema mtu mmoja afe kwa ajili <strong>ya</strong> watu,<br />

na kwa hiyo taifa lote lisiangamie”, Yoane 11:50. Neno hili litaonekana la kutibitisha; amri<br />

mwishoni itatolewa juu <strong>ya</strong> wale wanaotukuza Sabato <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine, kuwashitaki na kutoa<br />

uhuru kwa watu baada <strong>ya</strong> wakati fulani kuwaua. Kanisa la Roma kwa wakati wa ulimwengu<br />

wa mkufuru wa <strong>Kiprotestanti</strong> katika ulimwengu wa sasa atafuata njia ileilne. Watu wa zamani<br />

na Mungu watatumbukuzwa katika musukosuko hiyo <strong>ya</strong> taabu inaonyesha kama wakati wa<br />

taabu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kobo. Yeremia 30:5-7.<br />

Usiku wa Yakobo wa uchungu, wakati alipo shindana katika maombi kwa kuokolewa<br />

kutoka kwa Esau (Mwanzo 32:24-31) inaonyesha tendo la watu wa Munguwakati wa taabu.<br />

Sababu <strong>ya</strong> udanganyifu uliotumiwa kwa kupatabaraka kutoka kwa baba <strong>ya</strong>keambayo<br />

ilikuwa<strong>ya</strong> Esau, Yakobo alikimbia, alipojulishwajuu <strong>ya</strong> vitisho v<strong>ya</strong> kifo vilivyofanywa na<br />

ndugu <strong>ya</strong>ke. Baada <strong>ya</strong> kukaa miaka nyingi mbali na kwao, akachagua kurudi inchini <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

asili. Alipofikamipakani akajazwa na hofu kwa habari <strong>ya</strong> kumkaribia Esau, akahakikisha<br />

kuwa nduguye atalipisha kisasi. Tumaini pekee la Yakobo lilikuwa ni rehema za Mungu;<br />

ulinzi wake wa kipekee ulipashwa kuwa ni maombi.<br />

Peke <strong>ya</strong>ke pamoja na Mungu, akaungama zambi zake kwa unyenyekevu sana. Taabu<br />

katika maisha <strong>ya</strong>ke ilifika. Katika giza akaendelea kuomba. Gafula mkono ukawekwa juu <strong>ya</strong><br />

bega lake. Akafikiri kwamba adui ndiye alikuwa akitafuta maisha <strong>ya</strong>ke. Kwa nguvu zote za<br />

kukata tamaa akapigana kwa nguvu na adui wake. Wakati siku ilipoanza kucha, mgeni<br />

akatumia nguvu zisizokuwa za kibinadamu. Yakobo akaonekana kukauka na akaanguka,<br />

muombaji zaifu, mwenye kulia kwa shingo la mshindani wake wa siri. Akajua nyuma <strong>ya</strong><br />

kwamba alikuwa malaika wa agano aliyekuwa akigombana naye. Alidumu katika majuto<br />

wakati mrefu kwa ajili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke; sasa anapashwa kuwa na matumaini <strong>ya</strong> kwamba<br />

alisamehewa. Malaika akasihi sana, “Uniache niende, ni mapambazuko”, lakini mzee mkuu<br />

akapandisha sauti, “Sitakuacha kwenda mpaka utakaponibariki”. Yakobo akaungama uzaifu<br />

wake na kutostahili kwake, huku akatumainia rehema za Mungu mwenye kulinda maagano.<br />

Kwa njia <strong>ya</strong> toba na kujitoa, kiumbe hiki cha mauti na mwenye zambi akashindana na<br />

Mtukufu wa mbinguni.<br />

Shetani akamshitaki Yakobo mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa sababu <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke; akashawishi<br />

Esau kusafiri na kinyume chake. Wakati wa usiku wa mzee mkuu wa kushindana, Shetani<br />

akajaribu kumkatisha tamaa na kuvunja tumaini lake kwa Mungu. Alivutwa karibu kukata<br />

tamaa; lakini akatubu kwa kweli juu <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke na kushikilia Malaika imara nakaendelea<br />

na maoni <strong>ya</strong>ke pamoja na vilio v<strong>ya</strong> juhudi hata akashinda.<br />

252

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!