You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wakati wa Taabu <strong>ya</strong> Yakobo<br />
Kwa namna Sabato inavyokuwa jambo la upekee la ushindani po pote katika jamii <strong>ya</strong><br />
Wakristo wote, italazimishwa <strong>ya</strong> kwamba wachache wanaosimama katika upinzani kwa<br />
kanisa na serekali hawapashwi kuvumiliwa, <strong>ya</strong> kwamba ni bora kwao kuteswa kuliko mataifa<br />
yote kutupwa katika fujo. “Inafaa kwetu ka<strong>ya</strong>fa akasema mtu mmoja afe kwa ajili <strong>ya</strong> watu,<br />
na kwa hiyo taifa lote lisiangamie”, Yoane 11:50. Neno hili litaonekana la kutibitisha; amri<br />
mwishoni itatolewa juu <strong>ya</strong> wale wanaotukuza Sabato <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine, kuwashitaki na kutoa<br />
uhuru kwa watu baada <strong>ya</strong> wakati fulani kuwaua. Kanisa la Roma kwa wakati wa ulimwengu<br />
wa mkufuru wa <strong>Kiprotestanti</strong> katika ulimwengu wa sasa atafuata njia ileilne. Watu wa zamani<br />
na Mungu watatumbukuzwa katika musukosuko hiyo <strong>ya</strong> taabu inaonyesha kama wakati wa<br />
taabu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kobo. Yeremia 30:5-7.<br />
Usiku wa Yakobo wa uchungu, wakati alipo shindana katika maombi kwa kuokolewa<br />
kutoka kwa Esau (Mwanzo 32:24-31) inaonyesha tendo la watu wa Munguwakati wa taabu.<br />
Sababu <strong>ya</strong> udanganyifu uliotumiwa kwa kupatabaraka kutoka kwa baba <strong>ya</strong>keambayo<br />
ilikuwa<strong>ya</strong> Esau, Yakobo alikimbia, alipojulishwajuu <strong>ya</strong> vitisho v<strong>ya</strong> kifo vilivyofanywa na<br />
ndugu <strong>ya</strong>ke. Baada <strong>ya</strong> kukaa miaka nyingi mbali na kwao, akachagua kurudi inchini <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
asili. Alipofikamipakani akajazwa na hofu kwa habari <strong>ya</strong> kumkaribia Esau, akahakikisha<br />
kuwa nduguye atalipisha kisasi. Tumaini pekee la Yakobo lilikuwa ni rehema za Mungu;<br />
ulinzi wake wa kipekee ulipashwa kuwa ni maombi.<br />
Peke <strong>ya</strong>ke pamoja na Mungu, akaungama zambi zake kwa unyenyekevu sana. Taabu<br />
katika maisha <strong>ya</strong>ke ilifika. Katika giza akaendelea kuomba. Gafula mkono ukawekwa juu <strong>ya</strong><br />
bega lake. Akafikiri kwamba adui ndiye alikuwa akitafuta maisha <strong>ya</strong>ke. Kwa nguvu zote za<br />
kukata tamaa akapigana kwa nguvu na adui wake. Wakati siku ilipoanza kucha, mgeni<br />
akatumia nguvu zisizokuwa za kibinadamu. Yakobo akaonekana kukauka na akaanguka,<br />
muombaji zaifu, mwenye kulia kwa shingo la mshindani wake wa siri. Akajua nyuma <strong>ya</strong><br />
kwamba alikuwa malaika wa agano aliyekuwa akigombana naye. Alidumu katika majuto<br />
wakati mrefu kwa ajili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke; sasa anapashwa kuwa na matumaini <strong>ya</strong> kwamba<br />
alisamehewa. Malaika akasihi sana, “Uniache niende, ni mapambazuko”, lakini mzee mkuu<br />
akapandisha sauti, “Sitakuacha kwenda mpaka utakaponibariki”. Yakobo akaungama uzaifu<br />
wake na kutostahili kwake, huku akatumainia rehema za Mungu mwenye kulinda maagano.<br />
Kwa njia <strong>ya</strong> toba na kujitoa, kiumbe hiki cha mauti na mwenye zambi akashindana na<br />
Mtukufu wa mbinguni.<br />
Shetani akamshitaki Yakobo mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa sababu <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke; akashawishi<br />
Esau kusafiri na kinyume chake. Wakati wa usiku wa mzee mkuu wa kushindana, Shetani<br />
akajaribu kumkatisha tamaa na kuvunja tumaini lake kwa Mungu. Alivutwa karibu kukata<br />
tamaa; lakini akatubu kwa kweli juu <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke na kushikilia Malaika imara nakaendelea<br />
na maoni <strong>ya</strong>ke pamoja na vilio v<strong>ya</strong> juhudi hata akashinda.<br />
252