12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 39. Wakati wa Taabu<br />

“Kwa wakati ule Mikaeli atasimama, Mfalme Mkubwa anayesimama kwa ajili <strong>ya</strong> wana<br />

wa watu wako; na kutakuwa wakati wa taabu, kama usivyokuwa mbele tangu wakati taifa<br />

lilipokuwa hata wakati ule: na kwa wakati ule watu wako wataponyeshwa, kila mtu<br />

atakayeonekana ameandikwa katika kitabu.” Danieli 12:1.<br />

Wakati ujumbe wa malaika wa tatu unamalizika, watu wa Mungu watakuwa wametimiza<br />

kazi <strong>ya</strong>o. Wamepokea, “mvua <strong>ya</strong> mwisho” na wanajita<strong>ya</strong>risha kwa saa <strong>ya</strong> kujaribiwa<br />

inayokuwa mbele <strong>ya</strong>o. Jaribu la mwisho limekwisha kuletwa duniani, na wote<br />

waliohakikishwa kuwa watiifu (waaminifu) kwa amri za Mungu wamepokea “muhuri wa<br />

Mungu aliye hai.” Ndipo Yesu anapomaliza uombezi wake katika Pahali patakatifu kule juu<br />

na kusema kwa sauti kuu, “Imefanyika”.<br />

“Yeye aliye muzalimu azidi kuwa muzalimu; na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na<br />

mwenye haki azidi kufan<strong>ya</strong> haki; na mtakaifu azidi kutakaswa”: Ufunuo 22:11. Kristo<br />

amefan<strong>ya</strong> upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake na amefutia mbali zambi zao. “Na ufalme na<br />

mamlaka, na ukubwa wa falme chini <strong>ya</strong> mbingu” (Danieli 7:27) ni karibu kutolewa kwa wariti<br />

wa wokovu, na Yesu kutawala kama Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.<br />

Wakati anapoacha Pahali patakatifu, giza inafunika wakaaji wa dunia. Wenye haki<br />

wanapaswa kuishi machoni pa Mungu Mtakatifu pasipo mwombezi. Kizuio juu <strong>ya</strong> waovu<br />

kimeondolewa, na Shetani anakuwa na mamlaka kamili juu <strong>ya</strong> wasiotubu. Kwa mwisho Roho<br />

<strong>ya</strong> Mungu imeondolewa. Ndipo Shetani anatumbukiza wakaaji wa dunia katika taabu kubwa<br />

<strong>ya</strong> mwisho. Malaika wa Mungu wanaacha kushika kwa kuzuia pepo kali <strong>ya</strong> tamaa <strong>ya</strong><br />

wanadamu. Ulimwengu wote utahusika katika maangamizo <strong>ya</strong> kuogopesha zaidi kuliko <strong>ya</strong>le<br />

ambayo <strong>ya</strong>lifika juu <strong>ya</strong> Yerusalema <strong>ya</strong> zamani. Hapo kunakuwa majeshi sasa ta<strong>ya</strong>ri, zinangoja<br />

tu ruhusa <strong>ya</strong> Mungu, kueneza ukiwa po pote.<br />

Wale wanaoheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu watazaniwa kuwa sababu <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong> kuogopesha<br />

na umwangaji wa damu ambavyo vinajaza dunia kwa taabu. Uwezo uliofatana na onyo la<br />

mwisho umekasirisha waovu, na Shetani atachochea roho <strong>ya</strong> uchuki na mateso juu <strong>ya</strong> wote<br />

waliopokea ujumbe.<br />

Wakati kuwako kwa Mungu kuliondolewa kutoka kwa taifa la Wayuda, wakuhani na watu<br />

waliendele<strong>ya</strong> kujizania wenyewe kuwa wateule wa Mungu. Utumishi katika hekalu ilikuwa<br />

ikiendelea; siku kwa siku baraka <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa ikitakiwa juu <strong>ya</strong> watu wenye kosa <strong>ya</strong><br />

damu <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu. Vivyo hivyo wakati hukumu isiyobadilika <strong>ya</strong> Pahali patakatifu<br />

inapokwisha kutangazwa na mwisho wa ulimwengu ulikuwa wenye kuwekwa milele, wakaaji<br />

wa dunia hawataitambua. Kawaida za dini zitakuwa zikiendeleshwa na watu wale ambao<br />

Roho <strong>ya</strong> Mungu imeondolewa; juhudi <strong>ya</strong> shetani kwa kutimiza nia zake mba<strong>ya</strong> atachukua<br />

mfano wa juhudi <strong>ya</strong> Mungu<br />

251

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!