You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 39. Wakati wa Taabu<br />
“Kwa wakati ule Mikaeli atasimama, Mfalme Mkubwa anayesimama kwa ajili <strong>ya</strong> wana<br />
wa watu wako; na kutakuwa wakati wa taabu, kama usivyokuwa mbele tangu wakati taifa<br />
lilipokuwa hata wakati ule: na kwa wakati ule watu wako wataponyeshwa, kila mtu<br />
atakayeonekana ameandikwa katika kitabu.” Danieli 12:1.<br />
Wakati ujumbe wa malaika wa tatu unamalizika, watu wa Mungu watakuwa wametimiza<br />
kazi <strong>ya</strong>o. Wamepokea, “mvua <strong>ya</strong> mwisho” na wanajita<strong>ya</strong>risha kwa saa <strong>ya</strong> kujaribiwa<br />
inayokuwa mbele <strong>ya</strong>o. Jaribu la mwisho limekwisha kuletwa duniani, na wote<br />
waliohakikishwa kuwa watiifu (waaminifu) kwa amri za Mungu wamepokea “muhuri wa<br />
Mungu aliye hai.” Ndipo Yesu anapomaliza uombezi wake katika Pahali patakatifu kule juu<br />
na kusema kwa sauti kuu, “Imefanyika”.<br />
“Yeye aliye muzalimu azidi kuwa muzalimu; na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na<br />
mwenye haki azidi kufan<strong>ya</strong> haki; na mtakaifu azidi kutakaswa”: Ufunuo 22:11. Kristo<br />
amefan<strong>ya</strong> upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake na amefutia mbali zambi zao. “Na ufalme na<br />
mamlaka, na ukubwa wa falme chini <strong>ya</strong> mbingu” (Danieli 7:27) ni karibu kutolewa kwa wariti<br />
wa wokovu, na Yesu kutawala kama Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.<br />
Wakati anapoacha Pahali patakatifu, giza inafunika wakaaji wa dunia. Wenye haki<br />
wanapaswa kuishi machoni pa Mungu Mtakatifu pasipo mwombezi. Kizuio juu <strong>ya</strong> waovu<br />
kimeondolewa, na Shetani anakuwa na mamlaka kamili juu <strong>ya</strong> wasiotubu. Kwa mwisho Roho<br />
<strong>ya</strong> Mungu imeondolewa. Ndipo Shetani anatumbukiza wakaaji wa dunia katika taabu kubwa<br />
<strong>ya</strong> mwisho. Malaika wa Mungu wanaacha kushika kwa kuzuia pepo kali <strong>ya</strong> tamaa <strong>ya</strong><br />
wanadamu. Ulimwengu wote utahusika katika maangamizo <strong>ya</strong> kuogopesha zaidi kuliko <strong>ya</strong>le<br />
ambayo <strong>ya</strong>lifika juu <strong>ya</strong> Yerusalema <strong>ya</strong> zamani. Hapo kunakuwa majeshi sasa ta<strong>ya</strong>ri, zinangoja<br />
tu ruhusa <strong>ya</strong> Mungu, kueneza ukiwa po pote.<br />
Wale wanaoheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu watazaniwa kuwa sababu <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong> kuogopesha<br />
na umwangaji wa damu ambavyo vinajaza dunia kwa taabu. Uwezo uliofatana na onyo la<br />
mwisho umekasirisha waovu, na Shetani atachochea roho <strong>ya</strong> uchuki na mateso juu <strong>ya</strong> wote<br />
waliopokea ujumbe.<br />
Wakati kuwako kwa Mungu kuliondolewa kutoka kwa taifa la Wayuda, wakuhani na watu<br />
waliendele<strong>ya</strong> kujizania wenyewe kuwa wateule wa Mungu. Utumishi katika hekalu ilikuwa<br />
ikiendelea; siku kwa siku baraka <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa ikitakiwa juu <strong>ya</strong> watu wenye kosa <strong>ya</strong><br />
damu <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu. Vivyo hivyo wakati hukumu isiyobadilika <strong>ya</strong> Pahali patakatifu<br />
inapokwisha kutangazwa na mwisho wa ulimwengu ulikuwa wenye kuwekwa milele, wakaaji<br />
wa dunia hawataitambua. Kawaida za dini zitakuwa zikiendeleshwa na watu wale ambao<br />
Roho <strong>ya</strong> Mungu imeondolewa; juhudi <strong>ya</strong> shetani kwa kutimiza nia zake mba<strong>ya</strong> atachukua<br />
mfano wa juhudi <strong>ya</strong> Mungu<br />
251