You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Hakuna mtu anayeweza kutumikia Mungu pasipo kujiweka kwa kosa yeye mwenyewe<br />
kinyume cha ushindani wa majeshi <strong>ya</strong> giza. Malaika waovu watamshambulia, kukilisha hatari<br />
<strong>ya</strong> kuwa mvuto wake unapata mawindo kutoka mikononi mwao. Waovu watatafuta kumtenga<br />
kwa Mungu kwa njia <strong>ya</strong> majaribu <strong>ya</strong> kutamanisha. Wakati ha<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>faulu, uwezo hutumiwa<br />
kwa kushurutisha zamiri.<br />
Lakini kwa namna Yesu anavyodumu kuwa Muombezi wa mtu katika pahali patakatufu<br />
juu, mvuto unaozuia wa Roho Mtakatifu huonekana kwa watawala na watu. Wakati watawala<br />
wetu wengi wanapokuwa wajumbe wa nguvu wa Shetani, Mungu vivyo hivyo anakuwa na<br />
wajumbe wake miongoni mwa watu wanaongoja katika taifa. Watu wachache watadumu kwa<br />
kuzuia maendeleo <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> uovu. Ushindaji wa adui wa ukweli utazuiwa ili ujumbe wa<br />
malaika wa tatu uweze kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke. Onyo la mwisho litasimamisha uangalifu wa watu<br />
hawa waongozi, na wengine watalikubali nakusimama pamoja na watu wa Mungu kwa wakati<br />
wa taabu.<br />
Mvua Ya Mwisho Na Kilio Cha Nguvu<br />
Malaika anayeungana na malaika wa tatu ni kwa kuangazia dunia yote na utukufu wake.<br />
Ujumbe wa malaika wa kwanza ulipelekwa kwa makao yote <strong>ya</strong> utumishi ulimwenguni, na<br />
katika inchi zingine kulikuwa na usikizi wa dini kubwa sasa ulioshuhudiwa tangu wakati wa<br />
matengenezo. Lakini hizi zinapashwa kupita kwa onyo la mwisho la malaika wa tatu.<br />
Kazi itakuwa <strong>ya</strong> namna moja na ile <strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong> Pentecote. “Mvua <strong>ya</strong> kwanza” ilitolewa<br />
kwa kufungua wa habari njema kuwezesha kuotesha mbegu <strong>ya</strong> damani; vivyo hivyo “mvua<br />
<strong>ya</strong> mwisho” itatolewa kwa mwisho wake wa kuiv<strong>ya</strong> kwa mavuno. Hosea 6:3; Yoeli 2:23.<br />
Kazi kubwa <strong>ya</strong> habari njema si <strong>ya</strong> kufunga na onyesho ndogo zaidi la uwezo wa Mungu kuliko<br />
kutazama mwanzo wake. Unabii uliotimia katika kumiminiwa kwa mvua <strong>ya</strong> kwanza kwa<br />
kufungua kwa habari njema <strong>ya</strong>napashwa kutimia vile vile katika mvua <strong>ya</strong> mwisho wake. Hapo<br />
ndipo panakuwa “n<strong>ya</strong>kati za ufufuko” ambazo mtume Petro alikuwa akitazamia mbele.<br />
Matendo 3:19, 20.<br />
Watumishi wa Mungu, nyuso zao kungaa na utakaso mtakatifu, wataharikisha toka mahali<br />
mbali mbali kutangaza habari njema kutoka mbinguni. Miujiza itafanyika, wagonjwa<br />
wataponyeshwa. Shetani vivyo hivyo anatumika na maajabu <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong>, hata kushusha<br />
moto kutoka mbinguni. Ufunuo 13:13. Kwa hivyo wakaaji wa dunia watashawishiwa<br />
kuchagua upandeunao kuwa wao.<br />
Ujumbe huu utachukuliwa si kwa mabishano sana ni kwa tendo lauhakikisho wa ndani wa<br />
Roho <strong>ya</strong> Mungu. Mabishano <strong>ya</strong>meonyeshwa, vitabu vilitumia mvuto wavyo, lakini wengi<br />
wamezuiwa kwa kufahamu kabisa ukweli. Sasa ukweli umeonekana wazi kabisa. Mahusiano<br />
<strong>ya</strong> ujamaa, mahusiano <strong>ya</strong> kanisa ni zaifu kudumu kuwa waana waaminifu wa Mungu sasa.<br />
Lakini wajumbe waliochanganyika kupinga ukweli, hesabu kubwa huchukua kituo chao kwa<br />
upande wa Bwana.<br />
249